Sura 15

1 Walipisa kodi na batenda dhambi banafika kweke yesu kumusikiya. 2 Bafalisayo na ba wa ndukasi wasemeseme kati yabo, na kusema mutu uyu ana pokeya batenda dnambi, na kukula nabo. 3 Yesu anawambia mezali nakusema. 4 Na kati yenu kamutu kondoo miamoyo akipote moyo kondo, atawasha wele kondo makuni kendenake ata enda kutafuta, kule kuzangwa ile ilipoteya saaime onekana 5 Wakati anaona abeba ku mabeka na kupata furaha 6 Wakati anafika kunyumba na kuita baraki yake nakusena. 7 Nakuwa anasema ntaku wa na furaha na mbingu du mutu moya ya ndambi ana okoka,na kupita bale ba libaki makumu kende na kende balibakia na mioyo magumu abapende kookoka 8 Na kama mwana muke alikuya pesa kumi, wakati ana vubula anapoteza liani moyo ata wakisa tala na kuka matakifakiyo na kufika kama asione tena. 9 Wakati imeone kana atalika baenzake na bazilaki yake na kusema furahinami juu napata ile nili poteza. 10 Na sema nanyu furaha itakuwa ata kwa bamalaika na lungu juu ya mutu moya ja dhambi a na koka 11 Na yesu anasema mutu moya alikuwa batoto kiume mbili. 12 Na uyu mundoka anasema na baba yake baba patiya miye sahi sahenu yangu naye anakabula utajiri yabo 13 Nyuma ya massiku mingi ntoto ya nyuma akafunga bitu yake na kwenda inchi kwamba ana libisa pasa yake na mambo mabaya kuuza mabitu aina mana kumaisha. 14 Ana libisha pesa bure nzala kubwa ina mufunga inchi kigeni akuwaa akili ya kukamatane. 15 Na kuwa mutumishi ya mutu mwingine, na kumu tuma inchi kuuza tshakula yaba nguluwe. 16 Alipenda naye kukula tshakula ya nguluwe juu nzala ilipita na akuna mutu ya kumupatia tshakula. 17 Wakati kizana yepeke anasema,watu ngapi watumisi yababa yangu, wanakula nakuishi muzuri alafu miye nakufa na nzala. 18 Niende kule nirudiye kwa baba yangu na nita mwabiya na, baba, na tenda dhombi kwako na mbingu. 19 Sitakuwa tena kuitua mutoto yako, basi nikuwe mutu ya kaziyako. 20 Na kizana anatoka na kurudiya kwa baba, basi alikuwa mbali, baba yake anamuona , na anatoka kukibiya kumupokeye na kukumbatiya nakumufarizi. 21 Mwana anasema ,na tenda zambi mbele ya mbingu nambele yako aikomuzi niitue mutoto yako ? 22 Baba nasema na watumishi mumuleteye kanzu mzuri muvalishe na lopete avale kukilole na musukule mukuri. 23 Na mukuye na mutoto ya ngombe ya mafuta nakuwa au tukule tu shere. 24 Juu mtoto yangu alikuwa anaonekana, na shere imeaza. 25 Na wakati noluku mukubwa alitoka nashamba, anakalibia nyumba nasikiya sauti ya miziki na wa metshuza. 26 Ana ita mtu mishi mumoya nakumuliza ni nini? Tena ina toka ku nyumba. 27 Mutu mishi ana sema, ndugu yako anarutiya ku nyumba basi baba an sema tu uwe mwana ngombe juu ana fika naye ana sema yeyetu, basi miye. 28 Na mwana ana kwazika, na akupenda kufika ku nyumba, baba yake na toka kumufata, kuzungumuza, mtoto ya mbele. 29 Aka mujibu baba yake, naikala miaka mingi na weye aku siku unani tendea vile, akuna ata siku moja ukipatiye mwana ngombe na unapendaka kupatie mwenzangu. 30 Wakati mtoto aliona vile uyu akiaribi bitu na usarati nalipo kumuwiya ngombe. 31 Baba anasema, mtoto, uko na miye sikuzote ya nguni yote. 32 Na nimuzuli tufurai, juu ndugu yako a alikuwa, ana kufa nasaii ikomasi alimupoteya na anaonekana nasi.