1 Yesu akisema kwa wanafunzi «alikua na kapita . wakimusemea kama kapita ni mwizi wa vitu yake. 2 Mtajiki akamwitana kumwambia: nini ni nasikia kutabiayako? fanya hesa bu ya vita yote unapo. kwa sababu hauko tena kapita wa bitu yangu. 3 Kapita akisema binafsi, ni fanye je, kwani bwana wangu ananitowa kukazi ya muchungaji? sita weza kuchimba shimo, kuomba omba ni matatizo kwangu . 4 Nina wazo moja , na wakati nita fuku zua kukazi ya kikapita, watu watanipokelea vizuki kumanyumba 5 Kapita akaita kila mumoja na wauza via shara watajiri wake, na aki waomba kwamba: deni yako yote ningapi? 6 Akisema machupa ya mafuta mia ya oliva» kamata bome na uzime na utie makumi tano. 7 Kapita aki mwambia mwengine: weye deni yako hi ngapi: akasema, akasema makopo miamoja ya bunga ya ngano, "akamwambia" chuguwa kikartasi chako na uandike makumi munane. 8 Mwalimu alimusifu sana kapita mbaya kweni alitenda jambo la hodari. 9 Na wale wa dunia wako hodari kwa wapata no wao kuliko wa mwangaza hawana ayo. Nina wa ambia, muwe na urafiki na matajiri wabaya kwani wakati watakosema, awapoke yeni ndani ya makao zao. 10 Mwenye kua mwaminifu mambo kiloko atakua ata ku bikubwa, na mwenyi haiko mwaminifu kumambo kidogo hatakua vile vile mumambo kubwa. 11 Kama haukua mwaminifu ku utafiri mubaya, nani atakutumaini na utafiri muzuri? 12 Namna moja, kama haukukua mwa aminifu bitubia batu, nani atakupatia bile biako? 13 Haku na mutu akaye tumikia walimu wawili kwa mara moja, atakataa mumoja na atamu penda mwengine, ao atajipana kua umoja na akamuacha mwengine. Haku na mutu mwenye anaweza kutumikia Mungu na utafiri 14 Moja Sasa mafarisayo wenye tamaa ya franga wakimurau. 15 Na aki waambia.«mumejitia kama watu wazuri mbele ya watu, lakini Mungu amejua ma roho yenu. yenye watu wame onesha wazi wazi nakua Mungu haikubali. 16 Sheria na unabii ulikua na uwezo mupa ka kuja kwa yohane-Mubatizai. Tangu pale, habari njema ya ufalme wa Mungu inatangazua, kila mumoja afikaze kwa kuingia. 17 Lakini ni kwepesi mbingu na duchia ipite kuliko nukta ya barua ya sheria isi aribike. 18 Mutu wote mwenye ku achana na mke wake na aki wote mwenye kuowa mwana muke aki achna na bwana wake ametenda uzinifu. 19 Kulikua mtajiri moja aliyaanguwo na anasa. 20 Kuzikua maskihi moja jina lake lazaro aketi pa mulango wake, na vidonda wote . 21 Alikua natafuta kula chakula kidigo ile lilkua ikanguka chini yameza yake tajiri, na pembeni yake, mbua yake tajiri, napembeni yake, mbua ilikua na lambula bilonda yake. 22 Maskimi akifa na akibebwa na wamalaika ka juu ya kifua kia abrahamu. Tajiki pia akifa na akazikwa. 23 Ndami ya kaburi , ali tatizua, aka nyanyua macho na akio na kwambali abrahamu na lazakoku kifua yake. 24 Na akilala mika akisema: Baba abalayama, naomba uni hurumie na umatume lazaro atie kidole chake ndani yamai na ni regeze mulibu kwani nateswa sana kati ya moto. 25 Lakini abalayama akisema:" mutoto wangu, kumbuka ginsi uli ishi, utipata vizuri bingina lazaro alipata maisha mbaya. kwa sasa, amepata mapumuziko nzuri na wewe ujikuta kumateso. 26 Kwisha yote ile, shimu kubwa ilitiliwa , juu ya wale wanataka kutoka uku kwenda kule basi wezi, mutu wakule hawe kuya ngambo yetu! 27 Mtajiri akisema: ni nakulomba, Baba abalayama, tuma ujumbe kunyumba ya Baba yangu. 28 Kwani waonye wandugu zangu wa tano benye beko kule juu wasije wakateseke kama mimi. 29 Lakini abalayama akasema: musa na manabii beto kule basilize. 30 Tajiri akajibu: apana, Baba abalayama, kama mutu akitoka kwa wafu akisenda kule beko, watatubu. 31 Likini abalayama akamwambia kama hawatasikia musa na manabi; awawezi kusikia ata mutu akifufuka kutoka ku wafu