1 Siku moja ya Mungu wakati alienda nyumbani ya sultani moja ya wafarisayo kwa kula mikate, wafarisayo waka muangaliya karibu sana. 2 Ona kulikuwa mtu moja mbele yake mwenye alifunguwa wa kuvimba mwili. 3 Yesu akauliza benye kufua vizuri sharia ya wayuda: Sheria yeku inapana ruisa ya kuponyesha mugujua siku ya Mungu ao hapana ? 4 Bakaikala kimia, Yesu akangusa, akapana na akamuacha aende. 5 Akawambia : nani kau yenu akuwa na mtoto ao ngombe ikianguka ndani jashimo siku ya Mungu hataifatilia kuitosha. 6 Balikosa fibu ya kupatia juu ya mambo hiyo. 7 Wakati Yesu aliona ginsi watu wenye walialikua ku feti wanashangua nafasi ya heshima, akasema kwa fumbo. 8 Wakati unaolikua ku feti ya ndoa, ushiikale na fasi ya heshima, inawezekana bitu mweingine wa heshima kukushindia almitua. 9 Wakati mtu mwenye aliwaita anafika, ata kuambia : Upane na fasi ile kwa mutiu muingine, na haya utaenda kukamata na fasi ya nyuma 10 Wakati bana kuita ku feti, wende kukaa una fasi ya nyuma, wakati mwene alikuita atafika, atasema refiki wende mbele, na ivi utakuwa na heshima mbele ya watu mwenye wa hikala ku meza na weye. 11 Kwani bote batu jipandisha, bata mushukisha na vile ata jisukisha joo bata mupandisha. 12 Yesu akasema pia na mtu mwenye ali ita watu ku feti, wakati unaandari kalamu(feti) ya kula hushiite tu wa refiki ao wandugu, ao wazazi ao watu mali mwenye kua karibu kama vile wana weza nao kukuita, kwani nao wata kurudishiaka namna moja. 13 Lakini wakati utaka kufanya mazamu uite masikini valema na wapafu. 14 Utafurai kwani hawatakurudishia kitu, kuani itapata zawadi wakati wa ufufuka ya watu sawa. 15 Wakati mtu moja kati ya mwenye alikala na Yesu pamoja ku meza alisikya maneno aya, aka sema «na mtu vile ata kulaka lipa ku ufalme wa Mungu.» 16 Yesu akasema : mutu alitengeneza theru yake ku ufalme akaita watu wenge. 17 Wakati wa kuanza theru akatua tayari, akawatuma mtumishi wake waite watu walio itua, muye kwani vyote viko tayari. 18 Wote wakajitayarisha na namna moja wakwanza akasema; hilinunua shamba na ninapashwa kwenda bwana unirumie. 19 Mungine akasema : hilimua ngombe kumi, naenda kuzitunza, unirumie. 20 Na mtu muingine akasema : natoka kuoa, ndjo maana siwezi kuya. 21 Mtumishi akarudia kwa bwanae na akasema vyote, mwenye nyumba akakasoirika, akamwambia mtumishi ; uende mbio ku njia nanafasi kubua wa makutano, alite wa masikini, vilema, vipofu. 22 Mutu wa kazi akamuambia : bwana, vyote uliotayarisha inaenea lakini uzaliki tanafasi. 23 Mkubwa akamwambia mtu wa kazi : wende tena ku banjia kubwa pia nafasi yote na penda nyumba iyale. 24 Nakuambia hakika hakuna ata mtu moja kwa wale nili tumia bakuitatio ata Musa ku chakula yangu. 25 Watu wengi wakaenda pamoja naye, akageuka nasakema. 26 Kama mtu anakuya kwangu na hakatae baba yake, Mama bibi yake, watoto, ndugu zake, wanaume na wadada, pia na maisha zake, hawezi kuya mwanafuzi wangu. 27 Wowote anaye bataa kubeba msalaka wake na kuja kwangu hauezi mwanafunzi wangu. 28 Nani kati jenu anapenda kujenga nyumba inafaa aikele kwanza ,kujifunza hesabu inastairi kwa kujenga ? 29 Wakati anafanya msingi hajuke na mayele ya kwuimalisa , wenyi kuyaangalia wataanza kumucheka. 30 Wakisema ;mtu uyu alianza kujenga , hakukuwe na akili ya kwuimaliza. 31 Mfalme gani wakati anakwenda ku vita kupigana na mulfame mwengine ,hatajaribu mbele na kuuliza mashauri kama iko na mayele ya kupigana na waskari elfu kumi kwa kupinganisha mfalme mwengine myenyi kiya na waskari elfu makumi mbili ? 32 Kama haiko vile wakati mfalme mwengine angaliki mbali, atatuma mupatanishe kuomba shurti juu ya kimia. 33 Kwa ayo , hata mmoja kati yenu hawezi kuwa mwanafunzi wangu kama hajatubu yenyi alitendaka. 34 Chunwi ni kitukizuri, lakini kama ikipoteza utamu wake, namuna gani inaweza tena chunwi nzerai ?haiwezekane tena. 35 Haizi tena kutumika wala kwa mdongo hata kwa mbolea . itatupia mbali . mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie.