Sura 2

1 Wa ndugu musi changanisha amani ya Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu na ubaguzi ya batu bengine. 2 Kwa mufano muku ani ingiya ndani ya nkuardi yenu ana vala kikomo ya oa na manguo muzuri, na maskini ana ingiya na manguo ya buchafu. 3 Kama una angaliya ule ana vala manguwo muzuri na kusema: samani, ikala kwa iyi fasi ya heshima! Lakini una ambiya maskini: weye, simama pale, ao «Ikalala ku mangula yangu» 4 Ha ufanye ubagizi we peke? Ha mukuwe na kabula na mawazo yenu? 5 Ba ndugu bapenzi, Mungu ka changula ba maskini ya dunia kuwa batajini ndani ya imani, na kuwa warizi ndani ya ufalame ali lake benye bana mupenda? 6 Lakini mu na oneya wa maskini! haiko batajiri benye ku bateso? haiko njo abo bana babebaka kwenye chimba ya wa a mzi? 7 Na watukane njina nzuri yenu? 8 Njo kwa mana kama una timiza cheria ya maandiko: «uta penda mwezako kama wewe mwenyewe» una fanya muzuri. 9 Lakini kama una pendeleya batu bengine una fanya zambi na una umju shiria. 10 Sbabu yeyote anaye heshimiya sheria yetu, lakini akianguka kidogo ana haribisha sheria yote, ana pashwa ku hukumiwa. 11 Sababu nani alisema: «Hauta fanya busharati» aka sema tena «Hauta uwa» kama hausharatike lakini una uwa, una vuja sheria. 12 Hivi kusema na kutenda kwenu iwe kama ya batu bata sambishiwa ku fatana na sheria ya uhura. 13 Sababu Mungu hata sikiya uruma kwa ule ana kosa uruma juu uruma ni ya lazima kuliko kusambiswa. 14 Ndugu yangu nini ya muhimu kwa mutu akisema iko na imani bila matendo? ile imani yaweza ku muokowa? 15 Kama ndugu ana kosa manguo na chakwa. 16 Mfane moja wenu ana mwambiya: «wende na amani vala koti na kula ushibe.» Lakini Haumu leteye bila ana kosa juu ya mulili yake, ile ni muzuri kwa nini? 17 Namuna moja kwa imani, kama haina mapendo, ni yenyi kufa. 18 Ijapakuwa mwengine akisema: « uko na imani na niko na bitendo.» Ni oneshe imani yako bila matendo na miye nikuoneshe imani yangu kwa bitendo. 19 Una amini kama Mungu iko, una fanya muzuri. Lakini hata mapepo chafu wana amini na ku teteleke. 20 We mjinga una penda niku oneshe kama imani bila matendo ni bure? 21 Tate yetu Ibrahimu haku pata sheria ju ya matendo kwku mtowa mtote yake isaka kwenyi mazahubu? 22 Una ona kama na matendo ina tembeya njiya moja, na kwa matendo, imani yake ika zidi. 23 ivi maandiko iko timilika : «Ibrahimu aka amini Mungu na Mungu aka mufanya kuwa mwenyi laki», kwahivi Ibrahimu aka itwa rafiki yake.» 24 Una ona kama ni kwa matendo mutu ana pata haki, na laiko tu kwa imani. 25 Kwa namna moja piya, rahabu kahaba hakupata haki kupitiya matendo wakati ali karibisha wa jumbe, na akawa toroshe kwa njia yingine? 26 Juu vile mwili ina kosa nafsi niya kufa, imani matendo nayo ni ya kufa