Sura 1

1 Yakobo mutumishi wa Mungu na bwa Yesu kwa makabila kumi na mbili wenye katika mu ta awanyiko: amujambu. 2 Muwa kubali wote kama msingi wa furaha, wandugu, wakati munapita kuvipimo mbali mbali. 3 Mukijua kwamba mutihani wa imani yenu inatowa nguvu. 4 Uhudari umeleta mzao, kwa gisi muwe wenye ku endelea na ji eneza, na gisi musikose cho cho te. 5 Mu moja kati yenu aki wa na lazima ya hekima, aombe kwa Mungu, mwenye kumupa yoyote kwa uzuri bila kosa kwa wote wenye kuomba, na ata mupatia. 6 Lakini hombe kwa imani, asi hofu kitu kwani yeyote ahofia yuko kama mabimbi ndani ya bahaki kuu yenye inatembezwa na pepo yenyi kuvukika ngambo zote. 7 Kwa ni mtu huyo na wezi kuwazia kupatakitu kwa bwana. 8 Mutu kama nuyu iko asio ku ji uzuru, ha kamilike ku ma nfia yake yote. 9 Kwa ndugu maskini aji sifu na gisi ya muinoko wake. 10 Lakini mtafiri na namna yake ya yakushuka, kwani ataoita kama vile tunda ya pori ndnai ya majani. 11 Kwani jua ikitoka na vukutu kali na ikikaukasha ma jani. uwa li ka anguka na uzuri wake uka haribika. namna moja kwa mtajiri ata konda safarini. 12 Heri mutu mwenye ku vumulia majaribu. kwani kalisha kushinda majaribu, atapokea taji la maisha, yenyi ilihadiwa lwa wale wenye kupenda Mungu. 13 Ye yote asiseme wakiti anapo jaribuwa: «Nimejaribi wa na Mungu.» Kwa sababu Mungu hawezi kujaribiwa kwa ubaya, wala hajaribu mutu. 14 Lakini kula mutu kajaribiwa na vitendo viake vibaya, njo inamuba na ku mugeuza akili. Kisha, wakati unaunda wazo mbaya, inazaa zambi. 15 Na kwisha zambi kukomaa anazaa kifo. 16 Musidanginyike, wandu wa penzi. 17 Zawa yote nzuri na yenye kuka mili ka juu. Imeshuka kwa Baba wa nuru, na kwake haku na mubadiko ao kiziwizi chakinyume . 18 Mungu alichangua kutu zaa kwa no la kweli, kwa ajili tuwe kama vile ma zao ya kwanza kati ya vitu yote aliye umba. 19 Mume jua haya, wandugu wapenzi : kwa kila mutu awe mwepesi kwa kisikia, na mzito kwa kusema, na hasirike kwa wepesi. 20 Kwa kisirani kia mwna adam, haionyeshe hukumu ya Mungu. 21 Sasa muhache mambo yote ya uchafu na ya wingi wa ubuya. Kwa kujishusha, pokeeni neno lenyi nguvu, na yenyi ya weza kuponyesha nafsi zenu 22 Muwe wenye kutumikisha neno, sio weye kusikiatu. Mukidanganya wenye. 23 Kama uko mutu mwnye kusikia neno bure lakini si mutumishi. iko kama mutu kajia angalia bure ku kio. 24 ikijiangalia peke yake na kwisha akiyenda na akisahabu pale pale gisi alijifana. 25 Lakini mutu akiangalia saana ndani ya amri nzuri na yenyi kuokowa, na zidi kuwa musikaji bure na akisahabu, mutu huyu ata narikiwa kwa yote ata kaye tenda. 26 Mutu aki zani wakioni lakini hachu nguze masemi yake, akidanganya moyo wake, na dini yake naina manufaa. 27 Kanisa nzuri na safi mbele ya Mungu Baba ni hii: Kusaidia mayatima na wa jane ndani ya mateso yao, ku ji chunga vizuri na hui dunia.