Sura 9

1 Lakini Saulo, akaendela kusema na ku uwa banafunzi babwana, akaenda kwa mkubwa wa makuhami. 2 Akabalomba ruhusa juu a funye yeyote atakuta ndani ya shirika ya Damasiko abalete Yerusalema. 3 Wakati wa safari, akakaribiya Damasiko, mara moja mwangaza toka mbinguni uka muwakiya; 4 aka anguka nakusikiya sauti ina sema: «Saulo, Saulo, una nitesa juu ya nini?» 5 Saulo akajibu: « ni nani bwana?» Bwana akajibu: «Niko Yesu mwenyi una tesa; 6 angaliya Simama wende ndani ya muji batakuambiya chakufanya.» 7 Benzake ya safari bakanyamanza; baka sikiya sauti bila kuona mutu. 8 Paulo akasimama, wakati alifungula macho, hakuweza kuona; baka mukata mukono naku mubeba mu Damasiko. 9 Akabakiya siku tatubila kuona, bila kukwa mova kunywa. 10 Pale Damasiko kuli kuwa mutumishi anaye itwa Anania; Bwana akamuonesha kwa ndoto: « Anania» aka sema « mimi hapa Bwana.» 11 Bwana aka mwambiya: «Simama wende mpaka kunyumba ya Yuda uliza mutu watarsisi kwa jina ya Saulo; iko na salikwa wakati huu. 12 Na aliona ndani ya ndoto mutu aitwaye Anania aki mubariki, juu apate kuona tena.» 13 Lakini anania akajibu: « Bwana, nilisikiya batu mingi bana sema juu ya mutu huyu, mateso ana fanya ba takatifu kule Yerusalemu. 14 Alikuwa na ruhusima na bakubwa ya makuhani ju ya kufunga yeyote mwenyi kuamini jina kalo.» 15 Lakini Bwana aka mujibu: « Wende, iko chombo mina chagula, ju ajulishe jina yangu kwa ba pagagano, ba falme na batu ya israeli; 16 nita muonesha mateso yenyi ata pata juu ya jina yangu. 17 Hivi Ana ia akaenda kule, aka sema :« Ndugu Saulo, Bwana Yesu, mwenyi alikutoya kunjiya ananituma juu upatee kuona tena na ujazwe na Roho Mtakatifu. 18 Mpaka pale, ika anguka vitu sawa magomba ndani ya macho yake na aka ona, aka ,shimama na ku pata ubatizo. 19 Kisha akakula akapata nguvu. Akabakiya na wana funzi waDamasiko siku mingi. 20 Hapo hapo aka anza kutangaza Yesu ndani ya shirika, akisema iko mtoto wa Mungu. 21 Bale bote balimusiya baka shangala sana aseme:«Haiko uyu njo alianza ku uwa batakatifu mu Yerusalemi? Tena alikuya juu afunge bengine ababebe kwa wakubwa wa makuhani. 22 Lakini Saulo akazidi ku wa na nguvu, wayuda wa Damasiko waka changanuikiwa ku ona Saulo ana leta ushuhunda wa Yesu ku wa ni Kristo. 23 Kisha masiku mingi, baka sikilizana juu ba muuwe. 24 Mipango yabo ika julikana kwa Saulo. Milango ilifungiwa naku shungiwa busiku na mchana juu ba mu uwe. 25 Katikati ya busiku wanufuzi waka mukimbiza baka muweka mukikapo maku mushushiya ku pitiya kibambazi. 26 Wakati ana fika Yerusalemi, Saulo akataputa gisi yaku kutana na wanafuzi, lakini bote bali miogopa, habaku juwa kama naye ni mwanafunzi. 27 Kisha Baraba akamabeba kwa mitume. Aka ba elezeya gisi Saulo aliona Bwana kunjiya na Bwana aka ongya naye piya vile ali hubiri na bidii mu jina ya Yesu ndani ya Damasiko. 28 Aka baelezeya gisi alikuwa na ingiya na kutoka mu Yerusalema. Alisema bila boga kwa jina la Bwana Yesu 29 alikuwa ana zozana na wa Yuda wa kigrekia; lakini bali endeleya kutafuta akufe. 30 Wakati bandugu bali sikiya hii mambo, baka mubeba mpaka kaisaria, na kumufikisha Tarso. 31 Ivi kanisa ilikuwa na amani ndani ya Yudeya, Galilaya, na Samariya, baka ongezeka na ku tembeya baki ogopa Bwana kwana nguvu ya Roho Mtakatifu,batu baka ongezeka ndaniya kanisa. 32 Hivi inaonesha kama disi Petro alizunguluka mkoa yote, alienda piya kwenyi waaminifu wenyi kuishi kule Lidia. 33 Kule akakuta moja kwa jina ya Ainea, alilala kukitonda miaka mimane sababu migonjwa ya kupooza. 34 Petro aka mwambiya: Ainea, Yesu anakuponyesha. Simama tengeneza kitanda yako.» Mpaka pale aka shimama. 35 Na watu wete wa Lidia na sharoni waka amani Bwana wakati waliona mutu huyu. 36 Sasa kulikuwa pale yafa mwanafunzi moja kwa jina ya Tabitha, yani "Dorcas" mwanamuke huyu alikuwa anafanya matendo mazuri na wema yenyi alifanyiya wakosefu. 37 Aka gonjua nakufa; wakati balimusukula baka mulakisha kwenya chumba ya maombi. 38 Gisi Lidia ilikuwa pembeni ya Yafa, banafunzi balisikiya kama Petro iko huko. baka tuma batu mbili kuambiya Petro akuye mbiyo. 39 Petro akasimama na kwenda pamoja nabo. Wakati muzingira bakalia na ku muonesha mavazi Dorcas ali shona naku bagabulia wakati alikuwa hai. 40 Petro akatosha batu yote inje, aka piga magoti nakuhomba; aka angalia mqaiti, aka sema: «Tabitha, simama!» Aka fungula macho, wakati aliona Petraka ikala. 41 Petro aka mukamata kumukono aka mushimamisha. Wakati aliita wa aminifu na wa jane aka muonesha kwabo akiwa hai. 42 Hii mambo ika julikana yafa mzima na wenyi wali amini jina ya Bwana. 43 Petro akabakiya masiku kwe yafa kwa mutu kwa jina ya Simoni.