Sura 8

1 Saula ali hitika kifo chake, kwanza ile siku njoo mateso ya Yerusalema bakaenda Samaria beingine baka sambazwa kwenda Yedeya, lakini mitume balibaki pamoja. 2 Batu bazuri njoo benye bali muzika Stefano njoo masikitiko mingi ilikuwa juu yeke. 3 Lakini Saulo alifanya mambo mini mabaya ku kanisa juu alikuwa na ingia nyumba kwa nyumba kutafuta bakristu ku batosha inje pia kubatia ku munyololo wa baba na wa mama. 4 Njoo maana bakristo banye balisambazwa balienda biko na biko ubiri. 5 Filipo alienda ku mungini moja ya Samari iko na uburi neno la Yesu 6 Wakati watu wengi balisikia abari na kuona makubwa enye inafanyika na Filipo, waka kuja ku tega sikio ku ma nena alikuwa na sema . 7 Mingi na bale baliku pale na pepo ilikuwa na toka ku mwili yabo kusha ile pepo ilkwa na lala mika na ku baacha uhuru pia bishela na batu ya ukoma baka pona. 8 Kulikuwa na furaha kubwa ndani ya minguni. 9 Ndani ya ile mungini kulikuwa mulozi moja jina lake Simona, ku bulozi yake. 10 Batu yote ya Samaria iwe Bakubwa na watoto balikuwa na heshima balikuwa na sema: «Uyu mutu iko na nguvu ya Mungu ule mwenye bana muita mukubwa.» 11 Tangia zamani balikuwa na musikia juu balikua na shangha sana sababu ya bulozi yake. 12 Wakati Filipo ali ubiri habari njeme ya ufalme wa Mungu kupitia jina la Yesu, wa babana wa mama bali amini pia babatiziwa. 13 Simona naye alibatiziwa akupenda tena ku mu acha Filipo wakati aliona miujiza na matendo makubwa aka shangala. 14 Ku yerusalema wakati mitume walisikia Samaria ilipokea habarinjema wali mutuma mtume Petro na Yohane. 15 Wakati balifikia balio wahombea juu wa pokee Roho Mutakatifu. 16 Mpaka wakati ile Roho Mutakatifu ilikwa bado ku wa shukua bali tu ku jina la Bwana Yesu. 17 Njoo baka pokea Roho Mutakatifu. 18 Wakati Simona aliona balipokea Roho Mutakatifu kwa kuwa tilia mikono, akalita makuta. 19 Akasema «Mukamata makuta kisha muni patie uwezo kama na miye mutu mikono na ye apokee Roho Mutakatifu. 20 lakini Petro akamwambia: «Weye na pesa yako muharibikie, una waza kamakipaji ya ina uziwata na makuta? 21 Kwani hauna kitu hao fazi ku hii maneno, juu hoo yako aiko imara mbele ya Mungu. 22 Geuza Roho yako unafaa mubaya, pia omba Bwana sazingine Mungu ata weza kuku huruma hu mawezo yakombaya. 23 Njoo naona uka ndani ya zambi iko kama sumu mbaya zaidi.» 24 Simona akajibia: « Unione Bwana juu maneno yote una sema isinifikie. 25 Wakati Petro na Yohane balisikia ushunda ile, walitangaza neno la Bwana, bali rudi Yerusalema, njiani wali ubiri ihabari njema ndani ya vijiji ya Samaria. 26 Sasa malahika ya Bwana ika mwambia Filipo ika sema: «Simama kwenda ngambo ya magaribi ku njia ya Yerusalema ku mungini ya Gaza. (Njia hii ilikuwa kufangwa.» 27 Alisema nakuenda akiona muchuga mali ya mufalme wa Ehiopa iko juu ya shareti na kujielekeza Yerusalema ku abudu Mungu. 28 Alikuwa ndani ya shareti iko na soma kitabu cha nabili Isaya. 29 Roho ya Mungu ikasema na Filipo: «Wende sindikiza ile shareti.» 30 Njoo Filipo akijiarikila fikua pembeni ya ya shareti akakuta iko na soma kitabu cha nabili Isaya, küsha akasema:« Na juwa byenye uko na soma?» 31 Mtu wa Etiopa aka mujibu: «ni ta juwe-je kama akuna mutu mwenye ku ni anesha ? Akaomba Filipo apande ku shreti juu amufafa nulishe. 32 Maandiko yenye mtu wa Etiopa alikiwa nasema ni ihi: « Balimu peleka kuzama kondoho ku nyumba ya kumuuwa bila kusema kitu pia akungula kihywa chake. 33 Juu ya kujishusha yake njoo kuukumiwa kwake ilitoka, pia kizazi yake nani ata baezea? Sababu bana mutosha ku dunia. 34 Wakati tawasi akamuliza Filipo «Nakulomba nabihi alisema nani? yeye peke ao mutu mwengine ? 35 Filipo alianza ku maandiko ya nabihi Isaya küsha aka ubiri abari ya Yesu. 36 Ginsi baliku na tembea njani, balifika pembeni ya shimu ya mayi tawazi akamwambia « Angalia mayi njoo hii nini inakataza uni batize?» 37 - 38 Tawazi akaleta oda basimamishe shareti pia bakashuka njoo bakagea ku mayi Filipo natawazi njoo vile Filipo aka mubatiza. 39 Wakati batika ku mayi Roho ya Bwana ikamubeba tena, alifurai sana pia akaendelea na safariya Njia yake. 40 Wakati Filipo alifika Azopta . Akambuka ile fimbo na kueleza habari njema katika mingi yote mpaka Kaisaria.