Sura ya 7

1 Koani nkua akasema: vitu hivi ni uyekweli? 2 Sitefano akajibu: wandugu na wababa, munisikie: Mungu wa sifa mwenyi alimtokeaka bab yetu Abrayama wakati alikuwe mezopotamu, mbele aikae harani, akasema naye. 3 Toka ku inchi yenu na famaa lako na uwende ku inchi yenye nitakuonyesha. 4 Akato ku inchiza Ukaldayo akaenda kubakuya ku Haranio, kiisha kufa kwa baba yake, Mungu akamleta ku inchi muko na yo ua. 5 Hkumpatiaka hata kitu moja, hata nafasi ya kutia miguu lakini akampatia tumaini, hata vile Abrayama akukuwa na mtoto uyu anaweza kumpatia inchi ya kuikalia, ata kizazi, kiisha yeye. 6 Mungu akamwambia na watu wa inchi ile watakamata zawa watumwa na watawatisa muda wa mukamia ine. 7 Na mitasambisha ile kabila pale watakuwa watumwa, Mungu akasema, na kiisha hiyo wta ondoka ku ile inchi na wataniabudu ku hii inchi. 8 Akampa Abalayama Agano ya kukata yando, pia Abalayama akazaa Izaki, akakatuwa yando kiisha siku nane; Izaki akazaa Yakobo na Yakobo akawa baba ya vizazi kumi na vuwili. 9 Wababu zetu wakamuonea Yusufu wivu, wakamuuzisha batika inchi ya Egypto, na Mungu akame naye. 10 Na akamukinga batika magumu yote na akampa Numa na mayele mbele ya Farao mfalme wa Egypto. Farao akampa cheoya Sultani ya jimbo la mfalme wa Egypto na nyumba yake muzima. 11 Njaaa kali ikotokea na mateso kubwa kati Egypto na Canana na wababa wetu hawakuwa na chakula na chakula. 12 Lakini wakati Yakobo alisikia kama ngano iko Mesri akatuma wa babazetu mara ya kwanza. 13 Mara ya pili Yusufu akajionyesha kwa wandugu yake; na famaa lake ikajulikana na mfalme Farao. 14 Yusufu akatuma wandugu wake kusema na baba yake afike ku Misri pamoja na famaa lake Lote. Wote walikuwa jumba makumi saba natano. 15 Njo vile Yakobo akashuka Misri. Kiisha, yeye mwenyewe akafaa, pia na wababazetu. 16 Wkabebwa Shekemu wakazikwa ku udongo wenyi Abalayama aliminuaka ku bey ya feza na watoto wa Hamori huko chekemu. 17 Wakati wa haadi yenyi Mungu alimuagaka Abrahama ilienea watoto wa Israeli waligua na wakazidika kule Misri. 18 Mpaka wakati Misri wakapata mwengine mufalme, Mfalme mwenyi akujua Yuzufu. 19 Ni ule mfalme akadangasha watu wetu na kuwatesa wa baba zetu, mpaka mukufika kutupa watoto wa changa, wasiishi. 20 Musa akazaliwa mu ile wakati. Akawa mtoto mzuri ku macho ya Mungu, Akagulishwa mda wa miezi tatu ndani ya nyumba ya baba yake. 21 Wakati walimuacha, Binti wa Frarao akamkamata na mugulisha kama vile mwana wake kabisa. 22 Musa akahadibishua kama mu Misri, akawa nguvu ya kusema na katiza matendo zake. 23 Wakati alifika na miaka makumi ine akawa na roho ya kwenda kuangalia wandugu zake, watoto wa Israele. 24 Akaona mu Israeli moja kati ya kuteswa na mu Egypien Musa akamchunga na akarudisho kisasi ya ndugu yake akampiga mu Egyptien. 25 Akawaza kama ndugu yake atajua kama mbono wake, Mungu atawasaidia, mlakini ndudu zake hawakujua kitu. 26 Siku ifatayo, akaenda tena ngamba ya wandugu wake wengine wa Israeli wenyi walikuwa na makelele. Akasubutu kuwaunganisha, akasema, ba bwana, muko wandugu, sababu gani kuna gombana. 27 Lakini ule alimfanyia mwenzake mabaya, akamsukuma na akasema: nani alikutiya Sultani wa kusambisha juu yetu? 28 Unataka kuniuwa kama vile uliuwa mu Egiptien jana? 29 Kiisha kusibia ile, Musa akakimbia. Akawa mgini mu inchi ya midiani, kule akazaa watoto wa wili. 30 Kiisha miaka makumi ine, Malaika wa Mungu akamshukia ndani ya fangwa ya Mlima wa Sinai, katikati ndimi ya Moto akatoka katika ya mti. 31 Musa a kaona moto akasangaa, akasogea kusudi angalie, sauti ya bwana ikasikilika ikisema. 32 Ni mimi Mungu wa baba zako, Mungu ya Abrahama, wa Izaki na wa Yakobo. Musa akatetemeka hakupima hata kufungua jicho. 33 Muheshimiwa akasema, tosha viatu vyako kwani nafasi uponi takatifu. 34 Niliisha ona akika mateso ya watu wangu wenyi kuwa Misri. Nilisikia vio vyao. Nashuka kwa kuwafungua. Sasa, uwende; nakutuma misri. 35 Musa mwenye walikatala wakati walisema nani alikutia musimaziwa kusambisha watu? Ni weye Mungu alituma kama vile Sultani na mufunguaji. Mungu akamtuma kwamkono wa malaika mwenyi alishuka kwa Musa ndani ya kijiji chamti. 36 Musa akaongoza inje ya mirsi, kiisha kufanya miujiza na ba alama mu mini na katiya bahariya damu, na kati ya fangua mda wa miaka makumi ine. 37 Ni ule ule Musa alisema na wana wa Israela "Mungu atawatoshea nyinyi Muubiri kati ya wandugu, Muubiri kama mimi. 38 Ni huju mtie mwenyi alikuwa katikati ya kikundicha watu kati ya fangwa pamoja na malaika alimusema juu ya mulima wa Sinai. Ni yeye alikuwa na wa baba wetu, ni mtu ayepokea maneno ya uzima kwa kutuelezea. ni mtu ayepokea maneno ya uzima kwa kutuelezea. Nimtu uyu wa baba zetu walikataa kumtu. 39 Wakamsuma ndani ya roho zao kurudia ku Egipito (Misri). 40 Wakati ule wakamuambia Arona, utufanyizie wa miungu yenyi itatuongoza. Mambo yenye kuagalia Musa mwenyi alitutosha Misri hatuyui yenye ilimufikiaka. 41 Wakamtolia mwana wa ngombe na kumtoa Sadaka ya sanamu na wakajifurahisha sababu ya kazi ya mkono zao. 42 Lakini Mungu akawapatia magongo waabudu nyota za juu. Imaeandikwa katika kitabu cha wanabii hamukutoa sadaka ya wanyama yenyi kuchinjua na sadaka mda wa miaka makumi ine kati ya jangwa, nyumba ya Islaele?. 43 Mulikubalika hema ya mkutanio ya Moleke na nyota za mzimu ramfari, masanamu yenyi mulifanya juu ya kushukuru. Hivyo nitawabeba kupita Babilona. 44 Wababa wetu walikuwa na hema ya ushunda katika jangwa na hivyo Mungu akapana ruusa wakati alisemaka na Musa, alipaswa kuitosha mara ingine na ginsi aliiyona. 45 Ni hema yenyi wa baba zetu matembezi yao, wakaibeba ku inchi pamoja na Yosua. Ile ilifikaka wakati mulikamata taifa yenyi Mungu aliaka kwa baba zetu wakati alifukuza wenyi walikua wanaikaa ku inchi ile akawa pia vile mpaka masiki ya Dawili. 46 Mwenyi alipataka neema ya Mungu; akaomba nafasi ijengua sababu ya Mungu ya Yakobo. 47 Lakini Salomo akajenga nyumba ya Mungu. 48 Japo hiyo Mungu haikalake ya nyumba yenyi kujengewa na mikono kama vile Nabii alisemaka. 49 Mbingu na makao yake na chini (udongo) ni matembeleo ya Mungu yake nyumba ya namna gani munaweza kunijengea? Hugo ni masemi ya Bwana, wapi na fasi yangu ya kupumuzika? 50 Haiko mikono yangu inafanya vitu vyote? 51 Nyinyi watu wenyi shingo nguvu, wasio katwa kumbeni ya moyo na masikio, munatia ubishi na roho mtakatifu, muna fanya namna moja sawasawa na wababa zenu ginsi walifanya. 52 Ngo wa nabii ya wababa wenu walikuwa wanatundika? Waliuwa wa nabii wenyi walionambele kuja kwa mmoja mwenye haki, na kwasasa nyinyi pia munageuka wa toaji na wauwaji. 53 Nyenyi waliopokia amri za wamalaka yenyi walifanya lakini hamuikinga. 54 Wakati watu wa kupata mashauri waliposikia mambo aya wakawa na roho mbaya na kusaga meno juu ya Stefano. 55 Lakini Stefano akawa ikifazua roho mtakatifu akaangalia juu mbinguni na akaona ukubwa wa Mungu, akaona Yesu ansimama ku mokono wa kuume wa MUngu. 56 Stefano akasema, muangaieni. Naona mawingu inafunguliwa na mwana wa mtu anasimama ku mukono wa kuume wa Mungu. 57 Wajumbe wa baraza wakapaza masautizao na kufunga masikio wa kusema mapoja. 58 Wakamtupa inje ya mgini na wakamuapiza washuuda wakatia nguo zake chini ya kijana Mume aitwae Saulo. 59 Wakati walikuwa wanamulaani vibaya Stefano akapiga magoti na akalalamika kumuita Bwana akisema. Bwana Yesu pokea roho yangu. 60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kali. Bwana uwasema zambi zao. Kiisha akalala (kukata roho).