Matendo ya mitume 6

1 Siku ile wakati hesabu ya wanafunzi ili ongezeka, banyunani baka anza malalamiko kwa wa ebrania juya ubaguzi wakati ya kugabula chakula kwawa jane wabo na wengine. 2 Mitume kumi nambili baka kusanya bana funzi mingi na kuba onesha. Haiko muzuri tuache kazi ya kuhubiri juu tu gabule chakula. 3 Ba ndungu mu chagule mu nyiye saba benyi tabiya muzuri, biko na roho mtakatifu na hakili, tubapatiye hii kazi. 4 Na shiye tu endeleye na ma ombi na kuhubiri. 5 Bote bali furahi na ile mipango. ndipo baka chagula Stefano, alikuwa na Roho mtakatifu na imani, na Filipo, Prokora, Nikarori, Timoni, Parmera, na Nikola, wa Antiokia mwenyi alikubali mungu wawa yuda. 6 Wa amini baka babebeya mitume, baka omba na ku bawekeya mikono. 7 Hivi neno la mungulika tembeya sana na hesabu ya batumishi ika ongezeka miyo mu Yerusalemu. Na kundi kubwa ya makuhani baka mwamini Yesu. 8 Kisha Stefano mwenyi ana jazwa na neema na nguvu ya Mungu, aka fanuya muijiza mingi sana ndani ua watu. 9 Lakini nusu ya batu ya mu shirika batu huru, ya warime na waeskanderia , na badogo ya Silisia na Azia baka tomboka. Baka bishina na Stefano. 10 Habaku muweza juu ya akiti ya akilina Roho ya mungu yenyi alikuwa na sema nayo. 11 Kisha baka ita batu kidogo kwa bufisho juu baseme kama balisikiya Stefano ana sema manene yenyi ina tukama Musa ma Mungu. 12 Baka tombokesha batu, bazee na ba andishi baka sambisha Stefano, baka mufunga na kumu beba mbele ya baraza. 13 Baka beba ba shaidi mbili baseme bongo: "mutu uyu ana endeleya kusema maneno mubaya juu ya fasi takatifu na sheria Musa. 14 Juu tuli musikiya ana sema kama huyu Yesu wa Nazareti ata bomola hekalu na kubadirisha desturi yenyi ili funshiwa na Musa. 15 Bote baka weka macho kwa Stefano na bakaona yake iko sawa malaika.