Sura ya 4 5

1 Kisha, mutu moja jina yake Ananie, muke wake jina yake Safira, baluizisha kipande moja ya shambe yabo. 2 Na bakaondasha nusu ya makuta, ingine bakaleta bwa bamitume. 3 Lakini petro alisema: Anania juu ya nini shetanu anayalisha moyo wako mpaka udauganye roho- mutaka na kuyichika nusu ya makuta ya beyi ya shamba? 4 Pale ulikua hauyauzisha ilikua shamba yaka?Na nini uma waza hiza hivi nda ndani ya moyo wako? Hakudangu batu lakini Mungu. 5 wakati anania alinikia hivi, akaanguka na kufa. Na mutu wate mwenye alisikia vile, aliogopa sana. 6 Biyina banaume, balifinga kumangue na baka muzika. 7 Nyuma ya saa tatu, bibi yake akafika, hakujua yenye ilipita. 8 petro akamuse meya: Umiambiye kama hii njo beyi muliu nayo shamba. Akajibu: ndiyo, ni kwa ile beyi. 9 petro akasema : sababu gaui munapatana juu ya kuyaribu roho wa bwana? . 10 akanguka palepale na akafa, na bale biyana banaume, bakamukuta anakufa, bakamubeba na kumuzika pembeni ya kaburi ya bwana yake. 11 Kauisa mzima ikaogopa, kila mutu wote mwenye alisikia aliogopa. 12 Miuyiza na maayabu mingi mitume baliikala pamoya kumulanga wa salomoni. 13 Lakini hakuna mutu aliye juunga, kwa sababu watu aliheshimiga mitume sana. 14 Na baamini baliongezeka sana kwa bwana, banaume na banamuke. 15 Bakaanza kuleta bagonjwakunjia, bakalalisha, na wakati petro anapita, kinvili yake inafinika wengime. 16 Kundi kubwa ya batu kutoka kumijini anayo zunguuka yerusalema, bakaleta wagonjwa na batu benye kusumbu ka na mapepe chefu, na bate baliponepeshwa. 17 Hakini bakuhaui bakubwa na batu bengime, bakasimama na kujazwa na chuki. 18 Bakakamata mitume na kutupa ndani yanyumba ya bafungwa. 19 Na malaika wa bwana alifungula mulango wa nyumba ya wafungwa, ilikua usiku; akabatosha na kusema: 20 Mwende ndani ya hekalu, mukatangazie batu manena ya uzima. 21 Wakati balishkiya vile, bakaingiya ya hekalu asubuhi baka fundisha . Lakine kuhani mukubwa na batu bengine, bakaita batu ku banaza, na bazee bote ba izeseli, bakatuma batu kutafuta wamitume kunymba ya wafungwa. 22 Byongozi waliotumiwa, habakubaona ndani ya nyumba ya bafungwa, bakaleta habari kwa makuhani wakubwa. 23 Tulikuta nyumba ya bafungwa inafungwa inafungiwa muzuri, na balinzi balikua pale, wakati tulifungula mulanga, hatukukuta mutu ndani. 24 Wakati kyongozi wa balinzi wa hekalu na bakuhaui balipikiya vile, bakaogopa sana, juu ya yenye itatokeya nyuma ya kutoroka kwa mitume. 25 Nyuma mutu moya akaya kuboambia: batu mulifungaka, bakonafundisha batu ndani ya hekalu. 26 Kyongozi wa balinzi wa hekalu na watu wengine balienda kubakamata, bila fujo, baliopopa kupikiwa majue na batu. 27 Wakati balibaleta, balibaweka mbele ya baraza. bakuhaui bakabauliza. 28 Wakasema: Tulimikataza wazi-wazi kufundisha na ile jima, lakini munayalisha yerusalema na mafundisho yenu, na munapenda kutuangushia damu ya ule mutu kukicwa yetu. 29 Petr wa mitume wengine wakagibu: tumuheshimiye Mungu au tuheshimu watu. 30 Mungu wa baba yetu, alimufufula yesu, ule miilimutundika yulu ya muti na kumu uwa. 31 Mungu ana muinua kumuweka kumukono wa ku ume juu awe mufalme na mukombozi juu ya kusamehewa kwa zambi: 32 Tuko bashahidi pamoja na roho mutakatifu ule Mungu anabapitia bale balio mutu. 33 Wakati balisikiya ile maneno ku baraza ya bazee, balisirika, balisirika sana, na bakapenda kubauwa bamitume. 34 Mufarisayo moyo jina lake gamalieli, mwalimu wa shria, aliheshimiwa sana na batu. alisimama na kuruhusu mitume batoke inje kwa mda mfupi. 35 Tena akasema: Nyinyi ba Izraeli, angalisho sana juu ya bile munapenda kafanya juu ya haba batu. 36 sababu tedas alijiinua na . kujiwaziya sana, batu mingi balimufata, zaidi ya watu mia moya, aliuwawa, na bote baliyo mufata batawanyiha na balionekana batu ba bure. 37 Nyuma yake, yuda wa galilaya akatokeya, na watu mingi balimufata. Na yeye alikufa, na bote bote balimufata , bakatawanyiko kyenyeji . 38 Sasa nabasemeya, muachane na bale batu, na mubaache na amani, kama hii mipango na hii kazi inatoka wa batu, haitaendea. 39 Lakini kama unatoka kwa Mungu, hamutabaweza, mutakuya kujikuta munamugombauisha Mungu na wote wakakubaliana naye. 40 42 Balibaita tena bamitume, kuwapiga na kubakataza kutaya jina ya Yesu, na bakabaacha. 41 Mitume balitoka kubaraza na furaha sana, juu banatona ni vema bateswa sabatu ya jina ya yesu. Walikua nahubiri na kufundisha kila nyumba na ndani ya hekalu, kuonesha batu kama Yesu njo Masia