Sura ya 4

1 Wakati Petro na Yohane waalikuwa wamesemezana na watu, palitoke viongozi na wa sadukayo. 2 Walikasirika sana kwa kusikia mafundisho ya Petro na Yohani ku watu kwa kuhusu Yesu na kutangaza ufufuko kwa kutokea wafu. 3 Walifungua na walitiwa gerezani adi kesho asubui. 4 Walikisikia mafunzo kisha wali amini, esabu ya watu walio amini ilikwa elfu tano. 5 Viongozi wao bote wakusannyika kesho yake muji Yerusalemi. 6 Wakuu wa makohani wali kuu apo, kama vile, anasi kayife, Yohani, iskanda na jamaa lote ya kohani mkuu. 7 Petro na Yoane walisambishiwa mbele yao, walypenda wajuwe uwezo na hukumu gani wamewametenda mambo haya. 8 Petro kujaziwa na roho ntakatifu, aliwambiya. 9 Tuko tunaulizua kwa ajili ya kitendo kizuri tuna kifanya kwa ajili ya mugonjwa namuna gani? 10 Mujuwe wote wakaji wa Yeusalemi ni kwa jina la Yesu Kristo wa Nazarete ule mulimutundika musalabani, kwisha Mungu aka mufufuana wafu, nikwa ajili yake ndjo mutu uyu iko mbele yenu muzima na afia. 11 Yesu ni jiwe lenyi lilizarauliwa na wajengaji na likarudi kua na faida kubwa. 12 Hakuna kuokele wa na mutu ungine, na jina ingine haiko juu mbiguni yenye na nguvu ya kutu ponya. 13 Petro na Yohane walikua watu wisio julikana, lakini hawakua na inoga wa kufanya kazi ya Mungu. 14 Waliona kwa haki mutu anapona ha wakupata kiakusema. 15 WAli watosha mitume, wakibakia ku elewana ku bafraza yao. 16 Tu fanye nini na watu hana? kuani mujiza wao unajulika sana ku watu ya Yerusalemi, tu na jua sie bote. 17 Tu waikuwa kataza wasi ubiri jina ile. 18 Petro na Yoane wali wakokota masikio wasisububu kusema ao kufundisha kuji na Yesu. 19 Petro na Yohane wali wajibu wakiserma, tuta tii mungu, apana mweye tutasema mpaka ile tuli ona tulisikia". 20 Hatuwezi ku acha mambo yenye tumli ona na tulisikia. 21 Kwisha kuwa tombokea Petro na Yohane bali ba achilia bende yabo. Bila kupata kosa kawaida, ya kuwaazibu, wengi waliabudu Mungu kufuatana na mafundisho yao. 22 Mtu alie faniziwa miujiza alikua na miaka makumi ine. 23 Petro na Yohane saa tu baliba acha wakakimbilia kwa wanduku yako na wakina pomolea mambo yote wa liwatendea kule kwa wakuu wamakoha ni na wakuu wengine. 24 Kwishambe lezo ile wote waliomba kwa sauti ya juu kwa muumba wa mbingu na Dunia, bahari kuu na yote iliomo. 25 Kwa nguvu ya Roho mutakatifu nakwama semi ya baba yetu DAwidi mutumishi wako alisema: juu ya nini wapagano wamepata chuki na kuwaza mambo ya kienyeji. 26 Wafalme wa iyi inchi wali tomoba pamoja, na viongozi, wakiunga ngomo kinyume kia bwana Yesu. 27 Herode na Pilato na watu wote wali muchukia mutumishi wako mwema Yesu mwene ulimupakala mafuta. 28 Wali foreni wote kua kufanya mabaya yote uliekataza tangu mbele. 29 Bwana tu epushe na shaki yao, na utupe nguvu ya kuubiki neno lako. 30 Nyoocha mukono wako wxa uponyaji maaalama na miujiza itendeke kwa jina ya mtoto wako mutukufu YUesu. 31 Waliona bokafasi yenye walikua naomba roho mtakatifu aliwapatia nguvu na wali ubiri maneno ya Mungu bila kusikia boka. 32 Hesabu ya wa aminifu ili kwa yenye kupanda, balikua ma wazo na roho moya hakukwa kilamutu ya bitu yake biote bili kua pamoja. 33 Mitume walitangaza ushuuda wa kufufuka kwa bwana Yesu, mapenzi ya Mungu kubwa ilikuwa juu yao. 34 Hakuna kua mkosefu ku bote ata kitu kidogo, walikua na changisha makuta na bitu yenye balikua na uzisha. 35 Mi tume njo walikua na pokea na kuchanga bitu yote, na wao pia njo walikua na gawa kua kila mutu kufuatana na lazima yake. 36 Yozefu mulewi mutu wa kiro mitume walipanga, Barnabasi. (Maana yake mtoto wa maombi lezo). 37 Kauzisha sehemu ya kiwaja yake alileta makuta yote kwa manabii bila shaka.