Sura 10

1 Kulikua mutu moya wa Kaisaria, jina lake Kornelio, alikua kyongozi wa jeshi ya kütalia. 2 Alimupenda na kumabudu Mungu sana na nyumba yake yote. Alikua nasika wa Mungu sana na masikini. 3 Na saa kenda ya muchana, akapata maonyo, malaika wa Mungu akamujia. akasema: Kornelio! 4 Kornelio aliogopa akasema: Ni nini mukubwa ? malaika akasema maombi yako na musaada wako kwa bamasikini bina fika mbele ya Mung. 5 Sasa utume batu yope, bakamwite Simoni Petro. 6 Anabakiya kwa Simoni ule nyumba yake iko karieri na baharoi. 7 Wakati malaika alimwacha, Kornelio akaita batu yake ya kazi bawili, na askari aliyekwa naabudu Mungu. 8 Kornelio akabaelezea maneno yote na kuatuma Yope. 9 Nyuma ya siku mbili, na saa sita, wakati balikua kunjia, Petro alipanda juu aombe. 10 Alipanda kula juu alisikia njala, akapata maonyo. 11 Mbingu alifanyaka, na kitunga ki moya ikashuka na kitu kimoya sawa vile kilako kilishuka toka kumbingu, kinafungwa pembe yote ine. 12 Ndani yake mulikua namuna yote ya banyama bamikulu ine na bandeku wa mbingu. 13 Na sauti ikasema: Petro simama,chinja na kule ! 14 Lakini Petro akasema : Hapana Bwana, sababu sikulaki kinyonge wala kichafu. 15 Mara ya pili ile sauti alisema tena: Kitu Mungu atakitakasa, usikiite kichafu. 16 Ilifanyika mara tatu, na kitunga kikarudia mbingini. 17 Wakati Petro alichaganikwa sababu ya ile maongo, alipenda, kujua ina maana gani, abgaliya. Watu wa Kornelio banafika, 18 bakaita kwa sauti. kubwa na bakauliza kama Simoni banamwita Petr yuko pale. 19 Alikua nawaza juu ya maonyo, Roho Mutakatifu akamuambiya: Simama, angalia batu batatu banakutafuta. 20 Shuga na wende nabo. Usiogope kwenda nabo sababu miye njo nilibatuma. 21 Petro alisimama na kubaambiya: ni miye njo mutu munatafuta, sababu gani mutumwa kunitafuta? 22 Bakajibu: Kornelio kyongozi waskari, mutu muzuri mwenye kuabudu Mungu, na bayuda bote banamushuhudia vizuri aliongozwa na Roho Mutakatifu, akuite ufike kunyumba yake, sababuu sikiye habari moja kwake. 23 Petro aliabakeya, na kesho asubuhi, bakasimama na kwenda na wandugu wengine wa yope, balibasindikiza. 24 Siku ifatayo, bakafika kaizaria, Kornelio na barafiki yake wengi, balikua mbele yabo. 25 Wakati Petro aliingiya, Kornelio alipeta mbele yake, akapiga, mogoti juu amwabudu. 26 Petro akamusimanisha na kumwambiya: Miye ni mutu sawa sawa na weye. 27 Wakati Petro anaogeya naye,alingiya na kukuta batu mingi pamoja . 28 Akasema: Inakataziwa muyuda kuikala pamoja na bageni, 29 Mungu aknionesha kama hapana kumuita mutu kuwa muchafu. Njo maananili kuya bila kubisha, na nikua sababu gani ulinita? 30 Kornelio akajabu: Leo ni siku ine, na saa kenda, nili kua naomba kunyumba , mutu moya alisimama anavala nguo ya mweupe. 31 Akasema: Kornelio, Mungu anasikiya maombi yako na anakumbuku namuna unasaidiake ba masikini. 32 Tuma batu kule Jope bamuite Simon Petro, eko kunyumba ya Simoni, pembeni ya bahari. 33 Nilibatuma kukuita, njo maana tuko wote mbele ya Mungu sababu tusikye nini Mungu alikusemeya juu yetu. 34 Petro akafungula kinyua na kusema; kwa kweli najua kama Mungu hana waguzi. 35 Lakini Mungu anafanya bwena kwa kabila yote juu ya benye kumuogopa, kumuabubudi na kutenda haki. 36 Munajua ujumbe aliyotumia Baizraeli, na kutangaza habari njema ya amani Bwana wetu Yesu Masiya. 37 Munajua yote yenye Yudea nzima, kuanzia Galilaya,njuma ya ubatatizo wa Johane. 38 Yenye ilifanyika juu ya Yesu wa Nazareti namuona gani Mungu alipaka mafuta ya Roho Mutakatifu na nguvu. Alifanya bwena na kuponyesha benye balitawaliwa na shetani kwa sababu Mungu alikua naye. 39 Siye ni bashuhuda wa byote bilipitaka ku inchi ya bayuda mpaka Yerusalema. Yesu mwenye baliuwa kwa kutundika. 40 Ule mutu alimufufuwa katika bafu, siku ya tatu, na kumuonecha ku batu. 41 Haiko kubatu bote, lakini kwa bashaidi benye Mungu alichikula kutokeya mwanzo wa dunia. Kwa siye benye tukula naye na kunjua naye nyumba ya yeye kufufuka kutoko wafu. 42 Alituma tuende kuhubiri na kushuhudea mbele ya batu, kama Mungu alimuchakula kula muamuzi wa batu bazima na bafu. 43 Banabii bote balishuhudia juu yake, kama mutu wote mwenye atamwamini zambi yake itasamehe wa kwa jina yake. 44 Wakati Yesu akusema: Roho Mutakatifu akashuka juu ya mutu wota mwenye alisikiya mabiri yake. 45 Batu banye balikua mukundi ya baamini kutoka ku bapagono, benye balikuya na Petro balishangala kuona Roho Mutakatifu kushuka juu ya bapagani. 46 Sababu balisikiya bapagano kusema kwa luga, na banamutukuza Mungu. Petro akasema tena: 47 Juu ya nini tunapasha kukatala ubatizo wa mayi kwa batu benye banapokeyo Roho Mutakatifu sawa na siye ? 48 Akaruhusu bale babatiziwe kwa jina ya Yesu Masia. Bakalomba abakiye tena siku mingi pamoja nabo.