Sura ya 13

1 Sasa ndani la kanisa ya Antiokia, mulikuwa ma nabii na walimu. Walikiwa Barnaba, Simeoni (anaitua Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni alikomalishua pamoja Heroda kiongozi wa mpoa na Saulo. 2 Wakati walikuwa na abudu bwana na kufunga chakula, roho mtukatifu akasema,muniwekee pembeni Barnaba na Saulo wa janye kazi niliyo waitia. 3 Kishaa mafungo na kuomba, na kuwekeya mikano waka watuma. 4 Kwa iyo Barnaba na Saulo waka tii roho mutakatifu na wakashukiya Seleukia. Toka pale bakatelemukiya kwa kisanga ya Kipro. 5 Kufika mujini Salami wakatangaza neno la Mungu ndani la Shirika ya wayuda. Walikuwa na Yoane Marko kama msaidizi. 6 Kisha kukatiliza kisagan ya Pafo waka kuta mchawi moja, nabii mu ongo muyunda, ani itua Bar-Yesu. 7 Alikuwa na kiongozi wa jimbo Sergio Paulus, mutu wa akili. Mutu uyu akitisha Barnaba na Saulo, na akioneshaa kama alipenda kusikiya neno la Mungu. 8 Lakini Elimasi mchawi, vile jina lake ina sema, aliwasimamiya na akili ya kwatyanisha mkikubwa wa jimbo na imani. 9 Lakini Saulo anaye itwa Paulo, alikuwa na aziwa na roho mtakatifu, aka mkaziya matsho. 10 NA akasema: we mtoto wa shetani mwenye kujaziwa na udanganifu na ubaya. Uko adui ya namma yote ya usalama hautakoma kudaganza ndiya Salama ya bwana?. 11 Tazama sasa, mukona wa bwana uko juu lako utakuwa kipoya hauta ona juwa uakati moya. Palepale ukungu na giza zika angukiya Elimas akaanza kuzunguka kutafuta mutu moya a shike mukono wake amu ongoze. 12 Sasa kiongozi wa jimbo kwa kuona ile ilitendeka, aka amini, sababu mafusidho inasemeya bwana ilimushanga. 13 Paulo na nafiki zake wakasafini pa mayi toka Pafo na kufika Pamfilia. Lakini Yoane aka waacha na kurudi Yeruzalema. 14 Paulo na wezake wakasafiri toka perge na kufika Antiakia Pisidia. Kule waka ingiya siku ya sababo ndani ya shirika na kwikala. 15 Kisha kusoma mikanda ya Sheria na wa nabii, biongozi ya shirika wa kawatumiya ujumba na kusema: ndugu kama muko na ujumbe ya kuleta nguvu kwa watu mui seme. 16 Paulo akalamusha mukono na kusimama na kusema: "watu wa Israeli na ninyi wenye kuesimu Mungu musikiye. 17 Mungu ya watu wa Israeli ali changuwa wa kambo yetu kuwakuisha wengi wakati walikuwa ndani ya udongo wa misri akanyolosha mokono wake na kuwatosha kule. 18 Myaka makuni ine, aka waongoza ma jangwa. Muda karibu myaka makumi ine aka wa linda ndani ya jangwa. 19 Kisha ya kuharibu mataifa saba mu inchi ya kaanani akai toa kwa watu wetu kama uriti. 20 Maneno yote iyi yalitendeka kwa muda myaka mya ine makumi tano. Mungu wapa waamuzi mpaka nabii Samweli. 21 Baada manena iyo, watu waliomba mfalme. 22 Kisha Mungu akaondosha ufalme kwake na kuileta kwa Dawidi. Ni DAwidi akasemeya: na mkuta mkato wa yese apendeya na roho. kafanya mapenzi yangu. 23 Mu kizazi yake kufuatana na masemo yake mungu ana leta makozi wa Israeli Yesu, 24 Mbele ya kuzalika kwa Yesu, ikafanyika, Yoane aki ubini watu wa Israeli kubadirika kwa myoyo sababu ya ubatizo. 25 Kwa kumaliza kazi lake Yoane akasema, lakini munielewe, kisha mimi, moja eko myuma yangu si stahili ata kulekesha kamba ya viatu yake ku miguu. 26 Ndugu ni kwetu ujumbe ulitumiwa, waatoto wa kizazi la Abrahamu na wale waki abudu Mungu. 27 Kwani wale wenyi kuishi Yerusaleme hawaku mutambua tena wanatimiza masemo ya ma nabii wana semaka kwa kila sabato kwa kumhukumu Yesu akjule. 28 Isipokuwa hawa kupata sababu nzuri ndani yake juu ya kifo, wali omba kwa Pilato kifo lake. 29 Kisha kutimiza maneno yote kuhusu Yesu waka mushukisha ku muti na kumuweka mu kaburi. 30 Lakini Mungu aka mufufwa toka wafu. 31 Alionekana kwa siku mingi kwa bale alitembeya nabo pomoja toka GAlilaya kwende Yelusalema waku hana sasa ni mashahidi ya watu. 32 Hivi tu nawa leteyaa habari ngema la ahadi iliyo wa pewa kambo zetu. 33 Mungu aliweka ahadi iyi kwetu, batoto yabo, ndani yayo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katina uhai:ime andikwa katika zaburi: uka mtoto yangu nakuzala leo. 34 Tena kwa kumfufua toka wafu juu ya mwili yake usiaribike, anasema ivi nitakupatiya utakatifu na banaka ya DAwidi. 35 Kwa maana imea ndikwa zaburi ingine: Hautaatya mwili wa mtakatifu wako uoze. 36 Sababu kisha kufanya ile ilipendeza Mungu, alikufa akazikiwa pamayo na wazazi wake na alioza, 37 Lakini ule Mungu alifufua hakuoza. 38 Maneno hayo ya julikane kwenu ndugu, ni kupitia mutu uyu usamaa wa zambi imefundishua. 39 Ye yote anaye mwamini anasemelewa mambo yote hakupashe pata haki ya sheria la Mose. 40 Mufanye ange, kusiwafikiye mambo wa walisema. 41 Tazama, niye waku wa mavuno, mu shangae, na mupoteye, sababu nika tenda kazi mu wakati yenu, kazi moya hamutaitika kuyasemeya kwenu. 42 Paulo na BArnaba vile walienda, watu walikuwa na waomba waseme maneno hayo siku ya sabato ijayo. 43 Wakati mukutano wa shirika ulimalizika wa yuda wengi na waongofu thabiti walifata Paulo na BArnaba wa ongeye nawo na ku wapa nguvu waendeleye na neema ya Mungu. 44 Sabato ifatayo watu nyingi wa muji wali kusanika wasikiya neno la Mungu. 45 Wa Yuda kwa kuona watu wengi wa ka jagwa na winu piya kusema maneno ya kuwapinga yote Paulo akiwa ya sema, na walimtukana. 46 Lakini Paulo na Barnaba walikuwa na sema kwa ujazini: " ilikuwa na maana neno la Mungu lisemewe kwanza kwenu kuwa mutnaitupa na hamui kamate na faida uzima wa milele, tazama, tumetupa matsho kwa wapagano. 47 Kwani Bwana alitupa hoda na akasema: " nilikuweka kuwa nuru ya wapagano kwa kuleta wakovo hadi ku mipaka ya ulimwengu". 48 Wakati wapagano wakasikiya neno iyowakafurahi na kushukuru Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele wali amini. 49 Neno la Bwana ili enea inchi yote. 50 Lakini wa Yuda waliwasi wana muke muhimo pia biongozi ya inchi. Waka tesa Paulo na Barnaba na waliwa tupa inje ya inchi. 51 Lakini Paulo na Barnaba wali kunkuta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda muji wa ikonia. 52 Na wanafunzi walijazwa na furaha pamoja na roho mtakatifu.