Matendo ya mature Sura 14

1 Akafikapa pa ikonio, Paulo na Barnaba wakaingia pamofa mu sinagogi( shirika ) ya wayuda na wakasema namuna sehemi kubua ya wayuda na bagiki waliamini. 2 Lakini wayuda hawana adaku na wasiyotu wakataka kuyayusha rohoza wapagano na kuwagenja wabaya mbele ya wandugu. 3 Wakalaki mda murefu kusema na hekina kwa nguwa ya Mungu na kueleza na hushuuda habari ya Meema, walifanyake ile kusudi ba alama na muiyiza ifanyeke kwa mikaro ya Paulo na barnaba. 4 Lakini sehemu kubwa ya watu ya mugini ikagawanyika wamoja wakawa ya wayuda wengine ngambo ya mitume. 5 Wakati bapagano na wayuda balipita ngombo moja juu kusudi wawatese Paulo na Barnaba. 6 Watu wengini wakawambia, nao wakakimbilia batika migini ya likaonia, lesha na Derbe na majembo ya karibu . 7 Na pale wakaubiri neno njema enjili . 8 Ku mugine ya lisha kulikwamtu moja, kilema cha miguu, kutoka kuzali kwake, hatembeake. 9 Mtu uyo wakati alisekia maubiri ya Paulo, Paulo akamuangalia babisa, akaona mtu uyu alikuwa na imane apone. 10 Akasemana saute kabwa: "semama" Na mtu wyo akasemama na kuanza kuruka ruka na kutembia. 11 Watu wengi walipona muujiza Paulo anafanya, wakalalamika na wakasema kuruga ya kilibaonia. Mungu imetushukia kwa sura ya watu. 12 Wakawaita Barnada" zeu" na Paulo "Heone" kwani, alikua musemaji kabisa. 13 Ekalu ya koani ie kuwa mwanzo ya mingi yeye na watu wangi walipenda butoa sadaka. 14 Wakati Paulo na Barnaba walisikihuyo, wakapasulanguo zao, na kuende, mbio kati ya watu wa kilalaka. 15 Wakisema: Wingetu "watu" sababu gani munafanya vile? Tuka watu sawa nginyi, wenyi mawajo sawa nyinyi, Tuliwaletea habari nyema sababu mupate kugeuza vetu visiyo na mafaa, mugeuke ngamba ya Mungu na maisha, mwenyi aliumbte mbangu na dunia, mabahari na vitu vyyote nyenji iko ndani. 16 zamari alirusia watuwote watembu katika banjazao. 17 Hata vite hakuacha kuwanyewa ushunda gonsi iko, kwa kufanya mema, kwa kuwapatia mvula kati yamawingu na wabote na kozaa, kwa kumusha na kuyaza moye zenu na fwata. 18 Fapohiyo, maneno, Paulo na baenaba hawawezi kumbataza jutoa sadaka. 19 Fapahiyo wayuda wa intiokiana wa ikonia waliona, wakakuja kuwashavishi wate wawa pige inye ya mgini, wakawaza kama anakufa. 20 Wakate wa nafunzi walikuna, wananzuka, akaamuka na akaingia ku mungine, siku ifatayo akaenda derbe yeye na Barnata. 21 Kiisha kuukiri enjile kati ya mugine, akafanya wanafunzi mingi, wakarudia husha, ikoni na Antiokia. 22 hawakuchoka kuwabaza kiroho wanafunzi, kuwatia nguvu na kitumani ndani ya Imani na kusema: Ni kati ya Mungu 23 Wakate walishimikua kuwa wazee wa kila mukusanyiko ya wahio amine, na wakati walimalija moombi-kufunga,wakauatoa kwa bwana, mwenyi walimsadibia. 24 Wakavuka pisidia na wakafika panfilia. 25 Wakaubiri neno nyema pale paga, wakatelemaka atalia. 26 Kutoka pale wakaingia kati ya mutu mbu mpaka Antiokia kwenyi baliitwa ya koji yenyi walilifanya. 27 Wakati walifika Antiokia, wakaita mukusanyika, bakaeliya yote Mungu alibafanyia, ku nam na gani alifungua mulango wa imani kwa wapagano. 28 Wakabakia muda murefu pamoja na wanafungi.