Sura 15

1 Batu beingine balishuka kutoka Yudea na kufusha bandugu kusema: Kama hauya tayarisikiwa vilz sheria ya Musa Inasema, kuokoka. 2 Wakati Saulo na Barnabasi balibishana nabo, bandugu bakaomuwa kama Paulo na Barnabasi bapande Yerusalema bakutoe na mitume na wazee juu baongeye kuhusa kutahiriwa. 3 nyuma ya kutumiwa na kanisa balipitia Fenisi, Samaria na kubadilisha bapagano. Bakaleta furaha kubwa sana kwa bandugu bote. 4 Wakati balifika Yerusalema, balipokea na kanisa, na mituma pia na wazee, na akawaonesha yote Mungu alibatendeya. 5 Kisha, batu bengine wa kundi ya bafarisayo banye baliamini, bakasimama na kusema: Inastalihi batahiriwe, na kubaruhusu wafate sheria ya Musa. 6 Mitume na wazee balikutana tena sababu bafikiri tena juu ya ile neno. 7 Nyuma ya kubishana sana, Petro alisimama na kusema: Bandugu, mutumbua kama tangu zamani, Mungu alichagua kati yenu, kupitiya kinya changu, bapagano basikiye habari njena na baamini. 8 Na Mungu anayetambwa myoyo, alishudia na kubapatiya Roho Mutakatifu kama alivyo fanya na siye. 9 Nahakukuwa tena tauti yetu na baona myoyo yabo ikatakaswa kwa imani. 10 Juu ya nini kumujaribu Mungu, kwa kubebesha banafunzi mizigo mitozo kushing yabo, yenye na ba baba yetu hatuta weza kubeba. 11 Lakini tuna amini kama tutaokaka kiwa neema ya Bwana Yesu sawa na bao. 12 Batu bote balibakiya kimia wakati beko nasikiya Barnaba na Paulo kuwasemeya miyiza yenye Mungu alitende kati ya bapagano, kupitia Barnaba na Paulo. 13 Wakati balimaliza kusema, Yakobo masemi na kubaambia: Munisikiye. 14 Simoni anahadiya namuna gaui Mungu alibasaidiya kwa neema bapagano kushudi achagule kati yabo kundi ya batu benye batabeba jina yake. 15 Maneno ya manabü ikaambatana na ya mitume, kwa sababu alindikwa: 16 Nyuma ya haya nitarudiya na kujenga tena hema ya Daudi Yenye ilibomaka nitainyolosha na kuirusha mupya. 17 Na watu wengine bwana, pamoja na bapagano banye balibeba jina yake. 18 Na ile njo bwana alisema ye mwenye alifnya bitu byote bilijulikana tangu zamani. 19 Njoo maana, mawazo yangu ni kusema yusi sumbuwe bapagano benye banageuka kwa Mungu; 20 lakini tubaandiye tu bajitenge na vinyinge na ibada ya masanamu na tamoa ya uzinifu ina kula damu. 21 Kutoka bizazi bilipitoka kunakua batu kila mujini, biko yna hubiri na kusoma Musa ndani ya mashikira yabo, kila siku ya Mungu. 22 Ilipendaza kwa mitume, wazee na kanisa yote, bachagwe Yuda aitwaye Banabasi na Sila bawe basimamizi wa kanisa na kubatuma Antokia pamoja na Paulo na barnaba. 23 Bakaandika hivi: mitume, wazee na wandugu, kwa wandugu wa Antokia, suriya, silisiya jambo! 24 Tuna sikiya kama banye hatukuleteya hata ruhusa moya, balifika kwenu na kuleta fujo kwa mafundishoyenye kusumbua mioyo yenu. 25 Ilitupendeza tupane juu tu chagwe batu, na kutuma kwenu pamoja na Barnaba na Paulo, 26 benye batakufa na kupoteza maïsha yabo juu ya jina ya Bwana wetu Yesu-Masiya. 27 Tulituma tena Yuda na Sila, batasemeya ile neno moya tu. 28 Kwa sababu ilipendeza kwa Roho Mutakatifu na kwetu, tusiwape tena bitu bingine, benye habina maana. 29 Na muhepuke na bitu bilitolewa kumasanamu damu, nanyonge na tama ya Uzinifu. Kama mukahepuka na na bile bitu itakuwa muzuri sana. kwa herini. 30 Balienda, bakafika Antokia na kutanisha makutanona kupatia baruo. 31 Wakati baliisoma, baka furahi. 32 Juda na Sila pamoja na banabü balibaomboleza na kupatiya moyo kwa maneno mzuri. 33 Nyumba ya wakati murefu kupita, balibarudisha na amani kwa bake benye balibatuma. 34 Ilimupendeza sila kubakiya pale. 35 Paulo na Barnaba ballibakiya Antikiya pamoja na bengine, pale bakafudisha na kuhuribi neno ya Bwana. 36 Paulo akasema na Barnaba: Turuye tukaangaliye bandugu tuliyo hubiri neno ya Bwana, sababu tujue banaendeleya hamuna gani. 37 Barnaba alipenda baende na Yohani anayetwa Marko. 38 Lakini Paolo haikumupendeza kwenda naye kwa sababu alibaachaka huku Mpafilia, na hakubasaidiya kwa kazi tabo. 39 Kutokupatana kukatokeya tena kati yabo, bakaachana. Na Barnaba akamukamata Marko, akaenda naye Shipre. 40 Lakini Paulo akachagua Silasia na akaenda naye ruhusa ya bandugu na kwa neema ya Bwana. 41 Balivuka suriya na Silasia kubati ya wandugu moyo katika makanisa.