Sura ya 17

1 Wakati balitoka ku mungini Amphipolia na Apolone baka ungizana ku mungini ye Thesalonika balikuta pale kanisa la bayuda. 2 Kama disturi ya Paulo alibakaribu juu ba zungumuze sabau ya maandiko ku muda wasiku tatu ya sabato. 3 Amlifungua maandiko pia aki waelezea ilikuwa keri Kristo akufe katika matesoi kisha afufuke joo akasema "ni Yesu njoo na waelezea iko Kristo". 4 Nusu ya bayuda baliitika pia baka jiunga kwa Paulo na Sila pia ba greke balikuwa fasi moja na ba mama ya Heshima kiisha watu wengi baka bafata. 5 Kumbi wa yuda wasipo amini walijazwa na chuki, wale tafuta batu babaya benye ngune juu bakamata tena batu mingi ya munguni batafute kwenda kupiganishe jauso na kuvunja nyumba yaku juu ya ku mukamata Paulo na Sila bawa bebe mbele ya watu. 6 Lakini abakubakuta baka mikamata Janso kiisha wandugu wengine walikuwa mbele ya wa hamzi wakilalamika kati yetu apa tuko na watu benye bana aribisha dunia. 7 Batu benye Janso alipokea bana vunja sheria ya Sezar juu bika na sema "Yesu njoo mfalme". 8 Wakati watuna wahanzi bali sikia vile bali sirika sana. 9 Njoo bili mulomba Janso alipe amande pia balimuacha arudi kunyumba yake. 10 Kuile busiku bandugu balibatuma Paulo na Sila bende Beree, walikati balifika bali ingia kunshirika ya bayuda. 11 Balikuwa na utafauti na ba uya ya Tesalokika juu balikuw pokea neno la Mungu na uchunguzi sana juu ya kujuwa kila siku kama enye bana baubiri iko kweli. 12 Joo maaana ba Greke mingi bali amini pamoja na wa mama waheshimiwa pia ba baba mingi. 13 Wakati ba yuda ya Tesalonika balisikua kama bayuda ya Beree Paulo alibaubiri neno la Mungu balienda kusirikisha batu. 14 MAra moja bandugu bilimutuma Paulo ku bahari juu avi chame lakini sila na tunote bali bakia pale. 15 Bale benye bali musindikiza Paulo, aliba ponyeshe ginsi gani ina omba Sila na Timoteo bamukute mbiyo ku Athene. 16 Wakati alibasuburi ku Athene, Roho yake ilisilika sababu mungini iliya na na masanamu sana. 17 Njoo maana aliba simamia nani ya shirika na bayuda pia bale benye balikua ma omba Mungu pale pamoja na bale bahubiri ya fasi yote kila siku. 18 Kumbi nusu ya Filazafia ya mugini Epikuria na Sitodia baka mugombanisha, ba moja bakisema "iko na sema nini?" ina onekana kama " iko na ubiri Mungu mugeni". juu iko na ubiri neno la Yesu na ufufuko. 19 Waka mukamata Paulo na baka mupeleka kwqa Areopage bakisema "utu ambie hii mafundisho gani enye uko na fundisha?" 20 Juu uho na sema ma neno enye atuya sikiaka, na hii mambo ina amanisha nini? 21 Kumbi batu yote benye balikua na hishi ku Atenia na wageni bakuwa na ponda muda yaba kwa ku sema na kusikia habari njena. 22 Kiisha Paulo akisimama kate ya ba Aropage aka sema " nyiye watu wa Antema na waona kama muko watu wenye bana juwa kuomba sana ku na muna yote. 23 Kumbi kwa kutembea ku mungini nakuchu nguza bitu enye muko na abudu, tukaona meza ya sadaka enye baliandika "Mungu mwenye aajulikane" alufa mwenye muko naomba amujuwe, njoo enye niko nawaambia. 24 Mungu mwenye alimba dunia na bitu yote juu iko bwana ya bingu pia na dunia ahikatake ku shirika enye bayenga na mikono ya batu. 25 Aba musaidiake Mungu awezi kusaidia kitu moja kwari ye mwenyewe njo ana leta uzima kwa watu pumuzi ya bitu yote. 26 Kwa mutu moja alifanya kizazi pia watu wote benye banaishi ku dunia, alitimiza wakate pia ku watengengea makao. 27 Njoo ina baombo kutafuta sazingine bata weza ku mutafuta pia batamuona lakini ahiko mbali yenu. 28 Yeye njoo anatu tembeza juu yake tuko wazima njoo tuko ahi, ginsime andikwa "juu sie bote tuko kizazi yake".. 29 Nginsi tuko kizazi ya Mungu atu weze kuwaza kama utukufu ma fanana na zahabu ao pesaao majiwe na bitu ya bei sana, ile mawazo ni ya batu ya dunia. 30 Mungu ahukumu mutu pasipo hujuwa lakini analeta oda juu mutu fasi yote watubu. 31 Mungu aliwayi ku weka sababu aliweka siku moja ile yeye alimuchaguwa. Kwa watu wote waka alifufuka kati ya wafu. 32 Wakati batu ya Antena bali mu sikkia kusema juu ya ufufuko ya wafu balimuzarau Paulo, kumbi bengine balusema tu na kusikia husema wara ingine tena". 33 Hiisha Paulo akawaacha. 34 Lakini batu bengine balimufwata ma bakaamini, pamoja Dnio mtu wa Aropage na mwanamuke moya anaitwa Damaria na wengine pamoja.