Sura ya 19

1 Ikafika wakati Apolosa alikuwa Korintu, Paulo alikuwa na pita mu ma jimbo kubua na akafika mu mtaa ya Afeso akakura wanafuzi weny ndani. 2 Paulo aka wauliza: "Mulipokea roho mtakatifu wakati muli amini?"wakamujibu:"sisi bado kusikiya kutusemeya juu ya roho mtakatifu". 3 Paulo akasema: "Mulijata ubatizi wa namna gani. 4 Wakamujibu: "ubatizo wa Yoane". Sasa Paulo akasema: "Yoane alibatiza ubatizo ya kutubu. Alikuwa nasema na watu wa amini ule mwenye kuya nyuma yake, ni kusema Yesu". 5 Wakati waku walisikiya masema ile, waka batiziwa kwa jina la Bwana Yesu. 6 Wakati Paulo akawa tiliya mikono roho mtakatifu aka washukiyana wakasema kwa luga ya sasa na kutabini. 7 Kwa wote alikuwa watu kumi na mbili. 8 Paulo aka ingiya ndani ya shinika: myezi tatu muzima alikuwa nafundisha na uhodari, kuongoza wa Mungu. 9 Lakini bayuda wengine wa myoyo nguvu wakakatala kuti. Baka semeya njina la Yesu- Kristo maneno mubaya mbele ya watu wote. Hivi Paulo akawaocha, akabeba wanafunzi ku nyumba ya masomo ya Tiranus, na alikuwa na wafundisha kule masiku yote. 10 Ilifanika ivi myaka mbili watu wa Azia, wayuda na wa GHreki walisikiya neno la Mungu. 11 Mungu alikuwa na tenda ma ajabu na mikono ya Paulo. 12 Ata mapepo mubaya ili toka wote walikuwa wakigusa nguo ya Paulo. 13 Ndani kya njimbo mulikuwa wayuda wengine walikuwa na tembeya fasi yote wakitumikisha njina la Yesu kwa akili yabo, wakapima kufukuza ma pepo mubaya na kusema ivi: "na kupa oda utoke kwa njina la Yesu ule Paulo eko na ubiri". 14 Wale walikuwa na fanya ivi ni watoto wa Sceva saba, kuhani mukubwa muyuda. 15 Pepo mubaya ika mujibu: "najuwa Yesu na Paulo: sasa mwenye ni wa nani?" 16 Pepo mubaya ilikuwa ndani ya ule mutu akabarykiya kuwakanyanga na ubaumizi. Hivi waka kimbiya bila manguo na bilonda mwili muzima. 17 Watu wote wa Efeso, bayuda na wa Greki walisikiya maneno ile, wali ogopa sana na kushukuru njina la bwana Yesu. 18 Na waku wengi wali amini walitosha wazi mambo ya mubaya ile walitenda na kutubu. 19 Watu na wengine walitumikisha kazi ya uchawi balibeba bitu byabo byote na kubichoma mbele ya watu wote. Wakati wali esabu beyi ya bitabu yote balilunguza, ika anguka elfu makumi tano ya franga ya byuma. 20 Hivi neno la Bwana ika tangazwa katika nguvu sana. 21 Kisha Paulo kukamilisha kazi yake mu efeso, kwa roho akapitia Makedonia na Akaya juu ya kwenda Yerusalema, aka sema: "kisha kuwa kule, na taka nione Roma". 22 Paulo akatuma wanafunzi wake mbili Timothée na Eraste musaidizi wake mu Makedonia. Lakini akabaki yeye mwenyewe mu Azia kwa wakati moya. 23 Kwa ile wakati fudjo kubwa ili lamuka mu Efeso sababu ya ile njia. 24 Mutu moya njina lake Demetrio alikuwa na tengeza ma sanamu ya nyumba ya Mungu mwanamuke Diana, ilikuwa na lipa sana wa fudi.3 25 Aka wakusanya na wengine wa ile kazi na kusema: "waheshimiwa munajuwa kama kazi hivi ina tu ingiziya pesa mingi sana. 26 Munaona na kusikiya mambo Paulo ule eko na tenda. Eko nasela: myungu mikono ya watu ina fanya haiko myungu. 27 Hatari ya ma neno iyo haiko mpaka byashara byetu bika onekana bur, lakini iko tena heshima ya hekalu ua Mungu mukubwa muke Diana haitaheshima yake sana Asia mzima na mu Duniya. 28 Watu walisikiya masemo ile, bakatomboka nguvu sana na bakaanza kulalamika: Diana ya wa Efeso ni muheshimiwa. 29 Muji muzima ikachanganikiwa. Wakaenda ndani ya kiwanza kya michezo. Waka washika mateka rafiki wa Paulo ya Safari, Gayo na Aristariko, watu wa Makedonia. 30 Paulo alitoka kuingiya kati ya watu, lakini wanafunzi wakamukataza. 31 Na watumushi wa Serkabi ba rafiki ya Paulo balikuwa na ikola mu njimbo la Asia bakamutumiya miyumbe kumukataza Paulo asi ingiye mu kiwanza ya michezo. 32 Muvurugo uli kuwa nguvu wa nguvu sana ndani ya mukusaniko ya watu. Batu na batu balikuwa na lalamika namma yabo. Kwanza bengine habakujuwe sababu ya mukusaniko. 33 Bayuda bakamutosha Aleksandre ndani ya kikundi kya batu. Aleksandre aka fanya alama ya mukono batu baikale kimia na kuwaleteya wayuda sheria. 34 Wakati walitambua kama naye alikuwa muyuda, bote baka lalmika kwa sauti moya:" mweshimiwa mukubwa ni DFiana ya wa Efeso". 35 Kionozi wa njimbo kisha kunyamaza watu akasema: wa Efeso, watu wote wana juwa kama ni njimbo la Efseo yenye kulinda ekala la Mungu muke Diana, na Sanamu yake ilianguka ku mbingu. 36 Kwa kuangaliya mambo iyi musiende kwa haraka. 37 Sababu munatuketeya apa watu hawakuiba mu hekalu wala kumutukana Mungu wetu muke. 38 Kama Demetrio na watengenezaki wa ma sananu beko na mambo ya kustaki mutu moya, tuko na byumba bya cheria wazi na baamuzi beko, wastakiyane. 39 Lakini kama muko na manono ingine, itengenezewa kwa kudi inastahili. 40 Tuna weza kuchongelewa ya kusema tuna leta fudjo kwa maneno ina pita hapa haistahiuli. 41 Kwisha kusema vile aka fukuza kundi.