Sura ya 20

1 Wakati fujo ili malizika, Paulo akawaita wanafunzi na akaomboleza. Kiisha akawaaza na akaenda Mesaduani. 2 Wakati alienda katika majembo fulani akawapa moyo wale walio amini, akaenda ku Bagreki. 3 Kiisha kupisha miezi tatu kule, wakamtungia shauri mbaya juu jake na yaudi wkati alikwa akitayazisha safari ndanita mashua kura kuenda Sulia, akakamatampango ya kurudia Makedonia. 4 Wakamsindikiza mpaka Asia, kulipokwako Sopatro mwana wa Pirho wa Berea, Aristarikona mtoto wapili wa muamini wa Tesalonika, Gayo wa Derbe; Timoteo; Tikiko na Trofima wa Azia. 5 Lakini watu wale wakatangulia mbele yetu na wakatuongojea kule Troa. 6 Tukabebwa kati ya mashua tokea Filipo kiishasiku ya mekare hisiyo tiliwa chachu, hiisha siku tano tukafika Troa kwenye hilibakwa siku saba. 7 Siku ya kwanza ya fuma wakati tulikusanyika kusudi tukule mkate. Paulo akasema kwa wamini. Akaanza kusema juu ya kuondoka kwake siku iyayo. Akaendelea kusema mpaka usiku kati. 8 Mataa ilikuwa minginndanija chumba chafuu kule tulikwa tuna kusanyika. 9 Ku dirisha, kulikuwa kijama moja anakaa jina lake Utiko, mwenyi alilasana. Wakati tule Paulo alisema mengi, kijama mwanaume mwenye alibebwa na lisingizi akaanguka tokea gorofa ya tatu na akaokotwa mwengi kufa. 10 Lakini Paulo akashuka chini na akalala juu yake, akamkata mikononi mwake. Akasema musiangaike iko mzima. 11 Kiisha kupanda tena akaumega mkate na akala. Kiisha tena kusema mingi mpaka Asubui na mapema, akaondoka. 12 Wakaenda na jule kijama mune, wakamuomboleza saana. 13 Sisi tukamlangulia Paulo ku mashua nakaenda naye ku Aso. 14 Wakati alitukuta Asso tukantia ndani ya mashua na akaenda Mitileni. 15 Kiisha pale, tukatembea katika mashua na tukafika kesho yake mbele ya kizuwa chakio, siku yayo, tukafika ku kiziwa cha Samo. Kesho yake tukafika mgini Mileto. 16 Kama vile Paulo alipenda opite kulewaefeso, Sababu kakupenda kupisha wakate kule Azia; kwani alifatilia afike Yelusalema siku ya kama ikiweezkana. 17 Pale Mileto akatuma watu Efeso kuwaita Wazee wa kanisa. 18 Wkati walipafika karibu yake, akawambia. Nyinyi wenyewe mulijia ya kwamba sika ya kwanza nilitia muguu yangu Azia, zzinsi ganinilipisha wakati wangu pamoja na nyinyi. 19 Niliongeza kumutumikia Bwana na unyenyekevu wa moyo, na machozi na kati ya magumu kutoka ku mastaki ya wongo ya wayuda 20 Munajua sikuwaficha kitu namma mulikuwa sawa na namma gani nili wafundisha inye, Pia kuenda nyumba kwan nyumba 21 Mulijua namma gani niliwakumbusha juu ya wayuda na ba Greki juu ya kutubu mbele ya Mungu na kuamini kati ya Bwana Yesu. 22 Kwa sasa, muone, haenda, Yelusaleme kufungwa na roho mtakatifu, sifui vitu uyenye vitanifikia. 23 Roho mtakatifu alinikumshaka kati ya migine kubwa, miyololo na magumu ya naniongoja. 24 Lakini siheshimu masha yangu, kama vile ya jazima, kwani nimalize mbio yangu kati ya kazi yenyi nilipata kwa Bwana Yesu mpate ushuuda ya kabari njema kwa nehema ya Mungu. 25 Sasa, muangalie, nujua kama nyinyi wote, pa aliyote niliubiri ufalme wa mbingu kamutoana sura yangu. 26 Ninawambie leo sina taka kwa ndamu ya mtu yeyote. 27 Kwani sikufija hata kitunkwa kuwambia mapenzi yote ya Mungu. 28 Muyiangalie nyenyi wenyewe pamoja na watu Roho mtakatifu aliwapa kuyachunga. Mufanye angalisho wakati muna chunga kanisa ya Bwana na yenyi alinunia kwa damu yake mwenyewe. 29 Najua kiisha kuondoka kwangu wa mbwa mwitu makali wataingia kati yenu na kurawa kundi. 30 Najua kati yenu watu wa ovu watakuya, na wata fundisha mambo mabaya kutafuta wa nafunzi wanafuete. 31 Mufungue macho, mukumbuke miaka tatu sekuacha kumufundisha kutoka machozi usiku na mchana. 32 Sasa namuombea kwa Mungu na meneno ya neema yenyi kuwa nguvu ya kuomboleza na kuwapa hitaji kati ya yote wenye walibarikuwa (kutiliwa mukono). 33 Sikutamani fianka ao Zahabu au nguoya mtu. 34 Nyinyi wenyewe, mulijua kama mikona hii ilinisaidia ku kazi yangu na ku kaziza watu wenyi nilikuwa nao. 35 Kwa mambo yote nulinaonyesha mfano, kwa kutumika unaweza kusaidia wabovu, muna pashia kukumbuka maneno ya Bwana Yesu, maneno yeye mwenyewe alisemaka. Heri kupana kuliko kupewa. 36 Kiisha kusema, akapiga magoti na kuomba pamoja na wote. 37 Wote wakalia mingi, wakajitupa ku shingo la Paulo na kumbusu. 38 Wakawa wote na huruma (masikitiko). Kwani alisema hawatama tena sura yake. Kiishawakamsindiliza ku mashua (peikebu).