Sura ya 22

1 Ndugu na laba, musikiye kujiteteya kwangu. 2 Wakati makutano balisikiya Paulo kusema kwa luga ya kibrania, balinyamaza nakusema: 3 Mimi ni muyuda muzaliwa wa Tarse pale Silisia, niligfundishiwa pale, ku mikulu ya Gamalieli. Nilifundishiwa katika njia nzuri ya sheriya ya ba baba yetu. Niko na juhudi juu ya Mungu kama vile benye. 4 Nilisumbua hadi kufa benye balifata mafundisho ya Yesu. 5 Tena bakuhaui wakubwa na wazee batashuhudiya, kama nili pata bana kutoka kwabo juu ya wandugu wa Daniasi. Nirudiye ku Yerusalema nafunga watu kamba na kuhazzibu batu ba njia ya Yesu. 6 Alifika wakati niko kusafari, karibu na DAmasi, mana moya, na saa sita muchana, mwangaza mukubwa taka mbinguni ukanizaunguluka. 7 Nikaanguka kubulongo, nikasikia sauti moya, inasema: Saulo, Saulo! juu ya nini unanitesa? 8 Nikajibu: ninani bwana? akasema: Mimi ni Yesu wa Nazareti anaye tesa. 9 Bnegi balikuwa pamoja na miye baliona ule niwangaza, lakini habakusikiya sauti ya mutu anayesema na miye. 10 Nikasema: nifanye nini Bwana? Bwana akaniambiya: Simama na wende DAmasi, kule batakua mbiya benye utafanya. 11 Sikuona tena juu ya mwangaza ule, na nikaenda Damasi nikiongozwa na batu tulikuwa nabo. 12 Nilikutana na mutu jina yake Anania, anayeogopa Mungu kupitiya sheriya ya Musa, na batu bote bana mushuhudia muzuri. 13 Alikuya pembeniu yangu, nakusema: Ndugu Saulo, fungua macho. Mara moya nikaona. 14 Na akasema: Mungu wa ba baba yetu anakuchakule juu utambue mapenzi yake, juu uone mema na juu usikiye sauti ino yotoka ku kinywa chake. 15 Sababu uta mushuhudiya mbele ya batu juu ya yote uliyoona na kusikiya. 16 Unachunga nini tena leo? Simama na ubatizwe nini na Zambi yako itakaswe uite jina lake. 17 Kisha kurudiya Yerusalema,na wakati nilikuwa naomba ndani ya ;hekalu, nikaanguka nikaona maonyo. 18 Ondoka mbiyo Yerusalema kwa sababu habata amini ushu huda wako kuhusu mini. 19 Nikasema, bwana, banajua nili funga na kupiga fimbo batu baliyokua mini ndani ya makanisa. 20 Wakati damu ya shahidi wako sitefana ilimwangika, nili kuwa pale, nikikubali na kuchunga manguo ya benye balimuwa. 21 LAkini aliniambiya: kwenda kwa sababu nakutuma mbali kwa bapagano. 22 Batu bali muru husu aseme mpaka pale. Kisha bakalalamika tena: Mumutoshe mutu wa hivi duniani, kwa sababu siyo vizuri aendeleye na kuishi. 23 Wakati beko na lalamika, kuttupa manguo na majiwe angaui. 24 Kyongozi mukubwa wa waskari akaamuru Paulo aingiziwe ku nyumba ya wafungwa sababu asambishwe kwa kupiya ffimbo juu atambue juu ya nini watu wanalalamika sababu yake. 25 Wakati balimufunga kamba, Paulo akasema na kiongizi wa baskari: inaru husiwa kwenu humupiga fimbo Muruni ambaye hayasambishiwa? 26 Wakati kiongozi wa baaskari alisikiya nvile, akaenda kwa kyongozi mukubwa wa baskari na kumuambia: unapenda kufanya nini? kwa maana huyu mutu ni mwanainchi wa kirumi. 27 Kyongozi mukubwa wa baaskari akakuya na kusema: unisemeye, uko muruni? Akajibu: ndiyo. 28 Kyongozi mukubwa wa waaskari akajibu : Ni kwa beyi kubwa nilipata ruhusa ya kuwa murumi. Na Paulo akasema mini nilizaliwa murunii. 29 Batu lenye balikuwa naenda kumuuliza, balitoka pale haraka. Kyongozi wa waaskari nayeye akaogopa wakati alisikiya kama Paulo ni muruni, na yeye aliamuru afungiwe kanisa. 30 Kesho yake, kyongozi wa baaskari alipenda kuya uhakika juu ya mastaki ya bayuda kuhusu Paulo balimufungula kamba, na kuleta oda kwa makuhani na kwa baraza ya bazee bakutane. Nguma alishusha Paulo na kumuweka mbele yabo.