Sura ya 24

1 Kisha siku tano, Anania, kiongozi mukubwa ya makuhanina waze kidogo, na musemayi moya anaitena Tertulo, waka enda pale, ku mustaki Paulo mbele ya liwali. 2 Wakati Paulo ilisimama bele ya liwali Tertula akamustaki na kusema kwa liwali: "juu yako tu naishi amani, na kuona mbali kwako kunatuleteya matengenezo mazuri ndani ya Taifa yetu". 3 Ni kwa shukurani sana tu na pokeyaka mambo yote uko na fanya muheshimiwa Feliski. 4 Nisi ponde muda wako, na kuomba unisikilize muzuri sana. 5 Uyu mutu tuna mukuta kuwa ugonya ya kotombokesha wayuda. Ni kiongozi ya zehebu ya watu wa Nazareti. 6 Tena alipenda ku ingiza hekalu yetu mu zehebu yake tu na mushika. 7 Lisiasi, afande ya waskari alikuya kutunyanganya Paulo ku mikano yetu na kuubeba. 8 Wakati utamuuliza maneno hiyi, uta yuwa weye mwenye sababu kani tuna mustaki. 9 Bayuda bote vile vile baka mustaki Paulo na ku hakikisha kama maneno ile ilikuwa ya kweli. 10 Lakini wakati liwali alifanya alama ya kumupa Paulo maneno aseme. Paulo akajibu: "na sikiya kusema kama oko muhamzi toka myaka mingi, na niko na futaha ni fasiliye miye mwenyewe". 11 Unaweza ku uliza hakuya pita masiku kumi na mbili na lipanda kuabudu Yelusalema. 12 Na wanani kuta ndani ya hekalo, sikwanza kubishana na mutu, wala kutombokesha kundi la watu; ikiwa mu shirika wala mu muguni. 13 Na hawa wezi kuhakikisha maneno bana nistaki sasa hivi. 14 Lakini naitika kama niko na mutumikiya Mungu kwa ile njiya wa naita zehemu. Niko mwaminifu kwa maandiko ya sheria na wa nabii. 15 Miye nabo pamoya tunaa tumaini kwa Mungu kama kuvo kufufuka wafu ya watu ya uhaki na wasiyo kuwa ndani ya uhaki. 16 Sababu nime mefanya nguvu yangu yote ni sikuwe na kitu kibaya mbele ya Mungu wala mbele ya watu. 17 Kisha myaka mingi, nali kuya na usaidizi wa franga na kutoa sadaka mu taifa langu. 18 Wakati nali fanya vile, wayuda wengine wa Asia walinikuta wakati ya kujitakasa ndani ya hekalu, bila kuwa na kikundi kya watu wala na wa ghasia. 19 Sasa batu aba kama beko na maneno kwangu banistaki. 20 o watu hawa waseme kibaya kani walikuta ndani yangu, wakati nali samba mbele ya washauri. 21 Isipokuwa kitu moya nalisema kwa sauti nguvu, wakati nalikuwa ndani yabo: "Ni sababu ya kufufuka kwa wafu na sambishiwa kwenu". 22 Feliks alijuwa luzuri ile nyiya hivi akasikiliza bayuda akasema: "wakati kamanda Lesia atarudi Yerusaleme, nita amuwa maneno yenu". 23 Kisha akatowa oda kwa kapitene alinde Paulo, wa mwatiyi uhuru kidogo bila kukataza wenzake kumu saidiya wala wasimutembeleya. 24 Kisha mmasiku kidogo, Feliski akarudiya na Drusila bibi yake, muyuda, aka mu itisha Paulo na kumusikiya kuhusu nimani ndani ya Yesu Kristo. 25 Gisi Paulo alikuwa na angeya naye kuhusu uhaki, uvumilivu, na ngisi Mungu ata sambisha wote, Feliski aka ogopa na ku sema: 'ondoka mbele yangu, nita kuitisha wakati nitapata muda". 26 Alikuwa natumaini asema Paulo ata mupa franga: ni kwa maana alikuwa namwitisha sana kuangeya naye. 27 Lakini