Sura 2

1 Ilikuwa na siku ya Pentekote, wanafunzi walikuwa fasi moya. 2 Gafula walisikiya chindu kubwa kutoka mbingu kama uwezo ka, li, ikiyaza nyumba yote walikuya bameketi. 3 Inaonekana ndimi kama moto ya kwakila mutu wao. 4 Wao bote wame jazwa na roho mtakatifu wa walisema na lugha zingine, vile roho mtakatifu ili bahongoza kusema. 5 Na wayuda na wali kuwa kati ya Yerusaleme, bali ogapa Mungu, kuliko vizazi yole tshini ya mbingo. 6 Na sahuti kubwa watu balisikiya banafika na wasi wasi nakila mutu alisikiya na ruga yake mwenye we. 7 Wana gawi ya na kushangala, wa lisema kweli na kuzungumuza siyo wagali gana. 8 Juu ya nini tunasiki? kilamto ya ruga wawo? tuli zaliwa nao. 9 Waparti na Wamedi, na Waelamu, na Wasio Mesopotania, Yudea na Kapadokia, Ponto na Asia. 10 Furigia na Pamfilia, Misri na kipande ya libia, karibu na Kurene,atakirene, Waroma. 11 Wayahudi wa kiogopa, Wakrete na Waarabu, tuna wasikiya kusema naruga zetu na uwezo ya Mungu. 12 Wote bishana na kushesha na kwa ona kwao, hi na sema nini?. 13 Basi mengi wa lishanga na kusema, awa wamelewa pombe ya sasa. 14 Lakini Petro nasimama ye na bakumi na moyo, akapaza sauti, kusema na watu ya Yedea na bote banaishi Yersame, iy ijulikane kwenu siki ya kwa na kini yangu. 15 Watu awa hawadolewa kama nu na wazia kwa asubui sana na mapema saa tatu. 16 Lakini mabo yote ilisemaya kupitiya unabi, ya yoeli. Itakuwa wakati ya mwisho, Mungu alisema, ni tamwanga roho yangu kwe watu wote. 17 Wa biti wenu watabiri na vijana wenu bata hona, bawazee wata lota ndoto. 18 Juu ya watumishi yangu, na watumishi banamuke katika siku ya mwisho, nita mwanga roho yangu, nao batabiri. 19 Nitaonesha maajabu ya mbingu juu na alama dunia, damu, moto na muvuke ya moshi. 20 Na juu itakuwa giza na mwezi itageuka tamu, kabia siko ku ya malifa haiyafaka siko ku. 21 Itakuwa kwamba kila mutu ambaye ali theza na jina ya Bwana Mungu. 22 Batu ya Isreali, kamata maneno iki, Yesu wa Nazareti, mwana dumu aliki kisua na Mungu kwu unu juu ya matondo makubwa na uwezo ya masabu, katika mokono yake kama munazua. 23 Kwa sababu ya mipangu mabaya, mulikana tangu mwazo. ya marifa ya Mungu, alipaniya na nyiye, kwa miko ya bato mabaya kumutas na akufe. 24 Ambaye Mungu alimuweka ju, alitosa mateso ya mauti kwake, kwa mana abatabakiya fasi yake. 25 Namuna dahudi alisema, juu yake, niliona mfalme yangu siku yote namana iko siku yangu yote sita ogopa na kulia. 26 Kwamana moyo wangu ilipata furaha na kinyua yangu ata mwili yangu ilifurai sana, si taishi katika mabaya. 27 Usiche nafsi yaku ipoteya iende kuzimu, uta towa tena mutkatifu ku ona tena nazalibu. 28 Wewe unafunga uwangu nzia ya uzima, anani fanya nidjaza na furaha yo uso waku. 29 Ndungu nuni natshiye niseme pasipo woga namboya baba yetu Daudi, ye alikufa na azikwa ku kaburi yake iko pamaja nasie ata leo. 30 Ata alikuwa nabi alitambuwa Mungu iko, alilaka kwa kiapo kwake atatosha ufalme katika uzao yake kwenye kiti ya cha enzi. 31 Ali tangulia kohama maneno aya mapema, iyi ni juu ya ufufuu oya Yesu anafsi yake ahitabaki ya ku uzimani, ata mwili yake ahitaoza. 32 Yesu uyu Mungu Baba alifufua, yeye sisi wote tuna musuudia kwa batu. 33 Kweli ana muhinu wa ku mukono yake Mungu, na kupoke ya roho mtakatifu sa zawadi ya baba, yeye alipana ile aidi ile munahona na kusikiya. 34 Mana Daudi aku panda mbingu na, alisema Bwana alimwa Bwa yangu. 35 Na ikala ku mukono ya kulia, atatiya wadui yake chini ya mingu yako. 36 Na hi nyumba zote ya Israeli iyuwe kama inili tuna na yeye kuwa Bwana Kristo, Yesu ali suru biwa. 37 Tangu balisikiya iyo mioyo yao na waka, wakasema Petro motume sisi wanduku tufanye? 38 Petro aka waonesa, tubani nakila moyo abatize, katika jina la Yesu Kristo na ju ya musama ya dhambi yenu na mupate zawadi ya roho mtakatifu. 39 Juu kweno ahidi hikwa jili yenu na bale baliko mbali na batu yote, Mungu anahita batu yote. 40 Mancho mingi alifundisa, na wasi isemewa, kujipo neshe na kutoka katika vizazi ya kiovu. 41 Ndipo wakamini maneno yeke na kubatizwa, na waki ongezeka na siku iyo watu elf tatu . 42 Wakiendeleya katika mafundiso ya mitume na ushirikiano, katika kukabula mukate na kata mahmbi. 43 Boka iki yala na kila mutu (nafsi), ishara na mwisusa, inafaniya kupitiya mi tume. 44 Bote ba likubali na kuhamini, walikuwa fasi moya na ku kababula bitu vyo kwa umoya. 45 Ba lihuza bitu pamoja kuptiya kila mutu kilingana na itaji ya kila mutu. 46 Ivi kila siku baada ya siki na iliendelea wali kuwa na lengo moja katika ekalu na wali kabula mukate katika nyumba na nyumba na kukula na furaha kate yo roho moja. 47 Bana sifu Mungu na, waku wa na huwezo mbele ya batu yote, Bwana aliwaongezeka siku kwa siku wa likuya wakioko lewa.