Sura 3

1 Nyuma ya ile wakati, Petro na Yoane balienda ku chalu juu wakati ya maombi ili timia saa tesa kamili. 2 Kulikuwa kisheta moya walikwuwa wakimubeba kilasiku ku mulango ya kuingiya Hekalu enye bana hiita " Bela" alikuwa na omba ba musaidie na sadaka ya uruma ku batu yote, benye balikuwa na ingiya ku shirika. 3 Na wakati aliona Petro na Yoane biko na kuya ku Hekalu, aka baomba ba musaidie 4 Petro akamuangalia pamoya na Yoan pia bakisemaka " utu angalia". 5 Kisheta aka bangalia akazania bata mupatia kitu kidogo aka mwambia ". 6 Atuna franka ao zaabu lakini ile nikonaya njoo nita kupatia: " katika jina ya bwana Yesu ya nazareti tembea". 7 Petro aka mushiha ku mukono wa kuume, aka musima misha, ku ile wakati miguu yake ika nyoloka pia bitanga ya miguu yaka ika pata nguvu. 8 Kisheta aka simama, aka ruharuka pia akaanga ku tembea; akaingia kukanisa pamoja na Petro na Yoane alijazwa na furaha aka imba, aka rukaruka na kutukuza Mungu. 9 Batu yote bali muona alijazwa na nguvu ya ku tembea na ku imbia mungu. 10 Wakati bali muona kama hama ni huyu mutu njoo alikuwa kila siku ku mulango ya shirika enye bana ihita "Bela" kwenye alikuwa na omba msaada baka shangaa sana na uzuri enye ili mufikia. 11 Ginzi alikuwa pamoja na Petro pia na Yoane watu wote baka bafata mbiyo ku mbango bana ita Salomona kwa kwa kuona mamba ma kuu. 12 Wakati Petro aka baona, akiba uliza" watu wa Israeli juu ya nimi muna shangaa? pia muna tu angalisa? kuzania siye benyewe njoo tu na tembeza uyu mtu ku nguvu yatu ao uzuri wetu?". 13 Mungiu wa Abraha, na Isaka na Yakobo na wazee wetu, ana tukuza mutumishe wake Yesu, ule mwenye muli mutowa na muka mukana mbele ya Pilato, wakati balitaku ku mutosha ku mabusu. 14 Muli mukataa mutakatifu mwenye haki, mukapenda mutu mbaya njoo bamu toshe muuwaji. 15 Muli muhuwa mwenye uzima ule mwenye Mungu alimufufula kati la wafu na tuko washuuda wake. 16 Kumbi kwa Jina la mutu mwenye mu na ona kujwa njoo muna pashwa ku amini na ile jina ina mupa nguvu, alitua imani kwa Yesu njoo muna inuona ku mahisha iko na afia nzuri 17 Sasa bandugu yangu ngiye na ba kubwa yenu mulifanya bitu bila kujuwa. 18 Lakini kitu enye Mungu alitabiri ku kinywa ya ma nabii, iliamba masiya ateswa, imehisha timilika. 19 Gerikeni kwa kutubu Zambi zenu kwajili ikondoke, kwani ihi ni wakati wa uwepo mbele ya Mungu inafika. 20 Yesu Kristo alichaguli kwa kuya kiwenu. 21 Yeye ndie mbingu itaweza kupata vitu vyote wakati Mungu alisema zamani ku kinya ya ma nabihi takatifu. 22 Musa alisema "Bwana ata tuma nabihi wa kuni fanana dani yenu, muta musikia byenye ataba elezea. 23 Utakuwa mtu mwenye ahata musikia, atahabiswa habisa ndani yenu. 24 Ndio tangia nabihi Samuele na bale benye balikuya nyuma balisema pea juu ya hiyi siku. 25 Muko batoto ya wanabihi, benye Mungu alifanya upatanisha nawa tate yenu kusema na Abrahamu "Jamaa yote ya dunia ita barikiwa na kizazi yako. 26 Wakati Mungu ata tosha mutumishi wake hubatumia, juu abariki batu yote bata acha zambi yako.