Sura 1

1 Teofili nilisema kati ya kitabu changucha mbele yale yote Yesu alianza kufanya na kufundisha, tokea mwanja. 2 Mpaka siku alinyanyuliwa kwenda mbinguri, kiisha kupana ba amri, kwa Roho ntakatifu kwa mitume aliye wachagua. 3 Kiisha kuteswa kwake aliwatokea mzima, na kuwaongesha alama munge, kujionyesha mba wa siku makumi ine siku makumi ine na kusema mambo yenyi kwangalia ufalme wa Mungu. 4 Vile alikuwa nao akawalazimisha wasiende mabli na Yelusalema, kungojea yenyi Baba aliwaaga, yenyi nilimwambia. 5 Yoana alibatiza kwa maji, lakini kwa siku chache mutabatezwa na Roho mtakatifu. 6 Mitume wakakwusanyeka wakamuuliza, Bwana, wakati gani utafanya usultani wa Isilaele? 7 Yesu akawajibu, haimutangalie, kujua Muda ao saa ni Baka yeye mwenyewe anajua ina Yeye kati ya usultani wake anajua. 8 Lakini muta pata nguvu wakati Roho mtakatifu atawashukua, mutakua washuuda wangu. Kati ya Yelusaleme na kati ya vijiji ya Yudana na Samalia mpaka mwisho wa dunia. 9 Wakati Yesu aliisha kuwambia maneno yote, na vile alikwa anaangalia juu angani. Akanyanyuliwa na kunkuku ikamfisha mbele ya macho yao. 10 Wakati wangaliki wakiangalia juu ku mawingu batu mbili wakawatosha, walivaa nguo nyenye. 11 akawauliza, nyinyi watu wa Galilaya, sababu bangi munabakia hapa, na kwangalia juu wani? Ni Yesu, anayepanda mbinguni na atarudia vile vile ginsi anaenda mbinguni. 12 Mitume wakarudia Yelusalema kujia ya mulima ya Olivia yenyi ilikuwa karibu ya Yelusalema, wufu wanjia ya sabato. 13 Wakati walifika Yelusalema wakapanda ku chumba cha maombie, kwenyi walizoea. Fina la mitume: Petelo, Yoana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomasi, Baltemea, Matayo, Yakobpo mtoto ya Alfae, Simoni wa Zobote na Yuida mwana wa Yakobo. 14 Walikuwa wote pamoja kama mtu mmojana waliomba pamojanafuudi, pamofa na wanamuke, kati yao Maria mama na Yesu na wandugu zotz. 15 Kati ya masikuzile, Petro ahaumama kati zandugu zake (mimue) walikua karibu 120 na akasema. 16 Wandugu inafaa Maandiko itimizwe kama vile iliandikwa, kama vile Roho mtakatifu alisema ku kenyua cha Daudi, sababu ya Yuda. Yule aliwasindikiza wenyi walimkamata Yesu. 17 Kwani alikuwa mmoja kati yetu na alipata shemu kati ya kazi ya Mungu. 18 Leo hii mtu oyu alinunwa shamba na mushaaena wake wa mabaya na akaanguka kichwa chini, na mwibi wake wote (viungo yake yote) na tumbo likapasuka. 19 Mambo aya yote ikafulikana nawatu wa Yelusalema na wakaipanga shambo hiyo katika ruga yao Hakeldama" shamba ya damu". 20 Kwenye kitabu cha nyemboza Daudi (Zaburi), shamba ile ni shamba lake uwe ya kwaribika hakuna mtu hatahishi ndani. Tumutie mwengione akamate nafasi yake. 21 Ni lazima mmoja kwa watu tulikuwa nao wakati wote, mbele ya Bwana Yesu kati yetu. 22 Tokea libatizo wa Yoana mpala wakati alipanda mbengine mbele yetu mmoja kati yao awe mushuuda pamoja nasisi yakufufuka kwke. 23 Wakaweka watu wawili. Yusufu mwenyi aliituwa Barnaba pia na Yusto na Matiasi. 24 Wakaomba na wakaszma, Bwana, mwenyi unajuamioyo ya watu wote, utuongesha sasa kati ya watu, nani unamshagu. 25 Wa kukamata nafasi ya kati ya kuubiri oyo Yuda mumuanza damu, afuate njia yako ya usawa. 26 Wakapiga kwa. Na Matiasi akachaguliwa na akawekwa pamoja na mitume.