1 Kisha kibambiya kujengwa upia na nikaitia milango, bakatia balinzi, bayimbaji, na balewi. 2 Nikapana kazi ya kuongoza Yerusalema ku ndugu yangu Hanani, na Haninia kiongoza wa maaskari, mukubwe kwa wengine ju ya uwaminifu yake na kuogopa. 3 Nikawambia: Yerusalema haita funguwa mulango mbele ya jua kutoka, na milango ita fungwa na makomeo mbele yenuo wakaji wa Yelusalema watafanya ulinzi, kila mutu na fasi yake mbele ya nyumba yake. 4 Mugiru ilikuwa na fasi mingi na tena kubwa, lakini haikuwa na batu mingi, pia manyumba haikujengewe. 5 Mungu wangu akanitia mu roho ju nikusanye bakubwa, waamuzi, na tarifa ju ya kuhesabiawatu. Nikakuta kitabu kya vizazi ya wenye walifita mbele, na mule nikaona mandiko yafwatayo. 6 Ona watu ya jimbo wenye walitoka ku uhamisho, wenye Nebukadeneza, mfalme wa Babilona, alikamata watumwa, na wakarudia ku mugini yake. 7 Walienda na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Azaria, Seraya, Reelaya, Naahamani, Mondekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehemu, Baana. Hesabu ya wanaume ya watu ya Israeli. 8 Watoto wa Paroshi, elfu mbili mia moja maukmi saba na mbili. 9 Watoto wa shefatia mia tatu makumi saba na mbili; 10 Watoto wa Ara, mia sita makumi tano na mbili. 11 Watoto ya Pahath-Moabu, wa batoto wa Yeshu na Yoabu, elfu mbili mia munane kumi na nane; 12 Watoto wa Elamu, elfu mojo mia tano makumi tano na ine; 13 Watoto wa Zatu, mia munane makumi ine na tano; 14 Watoto wa Zakai mia saba makumi sita, 15 Watoto wa Binui; mia sita makumi ine na munane; 16 Watoto wa Babai, mia sita makumi mbili na munane; 17 Watoto wa Azgadi, elfu mbili mia tatu makumi mbili na mbili; 18 Watoto wa Adonikamu, mia sita makumi sita na saba; 19 Watoto ya Bigwai elfu mbili makumi sita na saba; 20 Watoto wa Adini, mia sita makumi tano na tano; 21 Watoto ya Ateri, wa jamah ya Ezekias, makumi kenda na kumi na munane. 22 Watoto wa Hashumu, mia tatu makumi mbili na mnane; 23 Watoto ya Besai, mia tatu makumi mbili na ine. 24 Watoto ya Harifu, mia moja na kumi na mbili, 25 Watoto ya Gibeoni, makumi kenda na tano; 26 Watu wa Bethelemu na Netofa, mia moja makumi mnane na mnane; 27 Watu wa Anathothi; mia moja makumi mbili na ine. 28 Watu wa Beth-Azmawethi, makumi ine na mbili. 29 Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba makumi ine na tatu; 30 Watu wa Rama na Geba, mia sita makumi mbili na moja; 31 Watu wa Mikmashi, mia moja makumi mbili na mbili; 32 Watu wa Betheli na Ai, mia sita makumi mbili na moja; 33 Watu wa Nebo nyingine, makumi tanu na mbili, 34 Watoto wa Elamu nyingine, elfu mojamia mbili makumi tano na ine, 35 Watoto wa Harimu, mia tatu makumi mbili, 36 Watoto wa Yeriko, mia tatu makumi ine na tano; 37 Watoto wa Lodi, na Adidi, na ono, mia saba makumi mbili na moja. 38 Watoto wa Senea, elfu tatu mia kenda maumi tatu; 39 Wakuhami, watoto wa Yedata, wa nyumba ya Yoshua, mia kenda makumi saba na tatu, 40 Watoto wa Imeni, elfu moja makumi tano na mbili; 41 Watoto wa pashuri, elfu moja mia mbili makumi ine saba; 42 Watoto wa Harimu, elfu moja kumi na saba; 43 Walewi: watoto wa Yeshwa na Kadmieli, na watoto ya Hadiva makumi saba na ine. 44 Wayimbaji, watoto wa Asafu, mia moja makumi ine na ine. 45 Wazamu: watoto wa Shelumu, watoto wa Ather, watoto ya Thalmoni, watoto ya Akibu, watoto ya Hathitha, watoto ya Skobai, mia moja makumi tatu na mnane. 46 Wanethinia, watoto wa Tsisha, watoto Hasafu, watoto ba Taborothi; 47 Watoto wa Kenosi, watoto ya Siaha, batoto ya Padoni, 48 Watoto ya Lebana, watoto ya Hagaba, watoto ya Salmai, 49 Watoto ya Hanani, bato ya Gedeli, watoto ya Gahari, 50 Watoto ya Reaya, watoto ya Resini, batoto ya nekoda, 51 Watoto ya Gazamu, watoto ya Uza, batoto ya Pasea; 52 Watoto ya Besai, watoto ya Meunimu, watoto ya Neusimu; 53 Watoto ya Bakbuki, watoto ya Hakufa, batoto ya Harsha; 54 Watoto ya Basluthi, watoto ya Mehida, watoto ya Harsha; 55 Watoto ya Barkosi, watoto ya Sisera, watoto ya Tema; 56 Watoto ya Nesia, watoto ya Hatifa. 57 Watoto ya batumwa ya Sulemani; watoto ya Sotia, watoto ya Soferethi, watoto ya Peruda; 58 Watoto ya Yaala, watoto ya Darkoni, watoto ya Gideli; 59 Watoto ya Shefatia, watoto ya Hatile, watoto ya Pokeresh-Sebaiu, watoto ya Amoni. 60 Wa ba Nethini wote, pamoja na watoto ya batumwa wa Sulemani, mia tatu makumi kenda na mbili 61 Awa njo walienda kutoka Telmela, na Tel-Harsha, na Kerubu, na Adani, na Imeri, na wenye habakuweza kuonyesha manyumba wa bazazi yao na kizazi, yao ju wa kuonyesha kama walikuwa wa Israeli. 62 Watoto ya Delaya, batoto ya Tobia; watoto ya Nekoda, mia sita makumi ine na mbili. 63 Na katika makuhami: watoto ya Hobaya, watoto ya Hakosi, batoto ya Barzilayi, mwenye alikamata binti wa Barzilayi, Mugileadi, na aliitwa kwa jina yabo. 64 Walitafuta kitabu ya kizazi yao lakini hawakuipata. Baka baondosha mu kazi ya makuhani. 65 Na liwali akawakataza kukula chakula takatifu, mpaka kuhani moja aulize Mungu kupitia urumu na Thumimu. 66 Mukusanyiko yote ilikuwa na watu elfu makumi ine na mbili mia tatu makumi sita, 67 Bila kuhesabia watumishi ya wanaume na wanawake, wenye walikuwa, elfu saba mia tatu makumi tatu na saba katikati yabo, kulikuwa na bayimbaji mia mbili makumi ine na tano wanawake na waume. 68 Walikuwa na punda mia saba makumi tatu na sita, ngamia mia mbili makumi ine na tano. 69 Ngamea mia ine makumi tatu na tanu, na punda elfu sita mia saba makumi mbili. 70 Wakubwa wingi wa jamaa walitoa mali mingi ju ya kazi. Liwala akakapana hazina olarkoni ya zahabu elfu moja, mabakuli makumi tano, mavazi ya wakuhami mia tano makumi tatu. 71 Wakubwa ya majamaa walipana hazina ya kazi darkoni elfu makumi mbili ya zahabu na elfu mbili mia mbili ya pesa. 72 Taifa iliobakia wakatoa elfu makumi mbili ya zahabu, na mane elfu mbili ya pesa, na mavazi ya wakuhani makumi sita na saba. 73 Wakuhani na walai, na walinzi, waimbayi, na wengine wa watu, na wanetini na Israeli yote wakakaamigini miao. Mwezi wa saba ikafika, na watoto ya Israeli wakakaa mijini miao.