1 Kisha watu wote wakakutana kama mtu moja ku fasi yenye ilikuwa mbele ya mulanga ya maji. Wakamumbia Eza, muandishi, aleta kitabu ya amni ya Muse, yenye, Bwana aliamunu Israeli. 2 Siku ya kwanza ku mwezi ya saba, Ezra kuhani ataleta mbele ya mukusanyiko ya watu, na wote wenye walikuwa na uwezo ya ku musikia. 3 Ku fasi mbele ya mulango ya maji, na mbele ya watu, ya watu, EZra akasoma katika kitabu kuamzia asubui mpaka jua kati. Watu wote wakasikiliza usomoji wa kitabu ya shenia. 4 Ezra, Muwandoshi, akakuwa kwenye mesa ya mbao yenye ili jengewa ju ya ili kazi. kumukono yake ya kiume, walisimama, Matithia, shema, Anaya, Unia, Hilkia na Maaseya, na ku mokono yake ya kike, Pedaya, Mikaeli, Malkiya, Hashumu. 5 Ezra akafunguwa kitabu ku macho ya watu wote, kwa sababu alikuwa juu ya watu wote; na Wakati alifunguwa kitabu, wote Wakasimama , kila mutu na fasi yake. 6 Ezra akabariki Mungu mukubwa, na watu wote mikono juu, wakajibu: Amine! amina Wakaabudu mbele ya Bwana busa chini . 7 Yeshuwa, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kilita, Azaria, Yozabadi, Anani, Pelaya na Walawi walikuwa Wanafasilia watu sheria, kila mtu ku fasi yake. 8 Walikuwa wakasema musta kwa mustali kitabu ya shenia ya Mungu, na wakafasilia maana ju ya kudewesha yenye walisoma. 9 Nehemia, Liwali, Eszra , Kuhani na muandishi, na Walawi wenye Walikuwa na fundisha Watu, wakawambia wote: Hiyi ni siku takatifu, Kwa Bwana Mungu wenu, musilie na kuzunika. Ju watu wote walikuwa wa nalia wakati Walisikia kusoma wa sheria. 10 Waka waambia: mwende mukule nyama ya mafuta na mukule pombe yenye haileweshe na mupane musukwa Wenye hawakupika, Sababu ni siku takatifu kwa Bwana wetu; musizinike kwa sababu furabu furaha ya Mungu itakuwa nguvu yenu 11 Walewi walikuwa wa na nya mazisha watu, wakisema: munyamaze kwa maana ni siku takatifu. 12 Musiuzu nike. Na wote wakaenda kula na ku kunywa, ju ya kutuma musu, na kufunai sana. Sababu Walielewa neno yenye waliwafundisha 13 Siku ya kufwata, wakubwa ya majamaa ya mataifa yote, wakuhani na walawi, Wakakusanya karibu na Ezra, muanolishi, ju ya kusikia mafasilio ya neno ya sheria. 14 Na wakakuta imeandikwa katika sheria kama Bwana aliagiza kupitia Musa, kama watoto wa Israelia walipata ikala ndani ya hema kwa kusharekea karamu ya mwezi ya saba. 15 Na kutangaza katika migini yote na katika Yelusalema kwa kusema: mwende mu milima mulete matawi ya mzeituni, na matawi ya hadasi, matawi ya miti minene, ju ya kufanya vibanda gisi inaandikiwa. 16 Na watu wakaenda tafuta matawi, na wakayemga vyabo, ndani ya vi wanja na muzungoko ya nyumba ya Mungu, na mbele ya mulango ya maji na mbele ya Efraimu. 17 Makutano ya wake walitoka ku butumwa balijenga bibanda na wakakaa ndani tangu wakati wa Yoshua, mtoto wa Nuni mpaka siku ile, watato wa Israeli habaja sherekeya kamahii. Kukuwa furaha kubwa 18 Wakasoma katika kitabu ya sheria ya Mungu, kila siku kuanzia siku ya kwanza mpaka ya mwisho. Wakasherekea masiku saba, na siku ya mnane kulikuwa mukusanyiko wa heshima sana kama ilivioa maia.