SURA 6

1 Nilikuwa sijiawaza kutia manguzo ya milango, wakati Sambalati , Tobia, Geshemu, mwarabu, na baadui yetu bingine bakasikia kama milijenga upia kibambazi na hakukubikia tena matundu. 2 Kisha Sambalati na Geshemu bakanitumia ujumbe bakasema: kuja , na tukutane pamoza kijiji kotika inchi tabonde ya ono. lakini balipanga kunifanya mubaya. 3 Nikabatumia mijumbe na jibu hiyi; ni na kazi kubwa ya kufanya na siwezi ju kazi itakati wakati nitatoka jii ya kukuja kwenu. 4 Bakanilomba mana nne kitu kimoja, nikabapitia ile ile jibu. 5 Sambalati akanitumia ile ujumbe mana ya tano ju na mutumishi wake mwenye aya kufunguka ku mokono yake . 6 Ilianolikana ku mataifa na Geshemu akaakikisha kama weye na bayahuoli munapanga kutomboka , na njo maana kwa ile lengo unajenga upia kibambazi. Inasemekana kama weye njo utakuya mfalme yabo. 7 Unaweka manabii ju ya kukukta ngza ku yelusalema mfalme wa Yudea . Na kwa sasa na maneno haya itafika kwa mfalme . Kuja tupange pamoza . 8 Nikamujibu Sambalati : yenye unasema haiko, ni weye mwenye unaitosha. 9 Bala batu bote balitafuta kutu ogopesha, na balikuwa bakajisemea: batapoteza nguvu na kazi haitafanyifa. Sasa , Ee Mungu, unipe nguvu ! 10 Nikaenda kwa shemaya mototo wa Delaya , mutoto wa Mehetabeli. Alijifungia, na akasema : tuende pamoza ku nyumba ya Mungu, nolani ya Hekalu na tufunge milango ya Hekali, kwa sababu bankuja ju njo batakuja ju ya kukuwa. 11 Nikajibu: mutu sawa na mimi nikimbie ! Na mutu gani sawa na mimi anaweza akaingiya mu Hekalu na apone ? Sita ingia tena. 12 Na nikatambua kama haiko Mungu njo mwenye alimutuma . Lakini alifanya unabii kwangu ju Sambalati na Tobia balimupatia pesa . 13 Vile balimuvuta, balitumainia kama niotaogopa , na nitafwata ma wazo yake, na nitatenda zambi, na balitafuta kupata njia ju ya kunifezelesha. 14 Unikumbuke, Ee Mungu, Tobia na Sambaleti na bitenoto byabo ! Kumbuka pia nabii nadi, na ma nabii benye banatafuta kuniogopesha ! 15 Kibambazi kilimalizika siku makumi mbili na tano ya mwezi wa sita , mu masiku makumi tano na mbili. 16 Wakati maadui yetu bote balisikisia, mataifa yenye ili kuwa kando kando na siye bakakuwa na boga balifezeleka sana na bakambua kama kazi iliti mizika kwa mapenzi ya Mungu wetu. 17 Wakati huo, kulikuwa na bakubwa bamaandikia Tobia mabanuwa mana kwa mara, na yenye ilikuwa natoka kwake. 18 Kwa maana batu ya Yudea mingi baliamba tana na ye kwa kyapo, kwa sababu alikuwa mukwe yake na Shekania, mutoto Ana na mutoto yake. yehehanani aliowa binti wa meshulamu mtoto wa Berekia. 19 Balikuwa banasema ata uzuri yake mbele yangu, na balikuwa bakamufikishiya masemo yangu . Tobia alikuwanatuna mabaruwa ji ya kuniogopesha