Sura 5

1 Ilitokaikilio kubwa kwa batu ya taifa na ba bibi yabo ju ya bandugu yabo bayuda. 2 Kundi moja ikasema: siye, batoto wetu ya banaume na banmuke, tuko bamingi; batupatie chakula ju tukule na tuishi. 3 Bengine bakasema: tuna weka kwe deni mashamba yetu, mizabibu na manyumba yetu ju ya kupata ngano wakati wa njaa. 4 Bengine bakasema: tunakopapesa ju tulife kodi ya mfalme kwa kuweka kwe deni mashamba yetu. 5 Lakini mwili yetu ni sawa na mwili ya bandugu yetu, batoto yetu sawa na ba toto yabo, na tumatia mu butumwa ba toto ya banaume na ya banamuke, na ba toto yetu ya banamuke banaishaingia mu butumwa, na mashamba yetu, na mizabibo yetu inakuwa ya batu bengine. 6 Niliuzunika sana wakati nilisikia bilio na maneno ile. 7 Nikaamuwa kukaripia bakubwa na baamuzi, na nikabaambia: ni nini?muna kopesha kwa faida bandugu yenu!na nikakusanisha mukutano kubwa ju ya kushindana nabo. 8 Na nikabaambia: tulikombola kwa uwezo yetu bandugu yetu bayahudi benye baliuzishwa ku mataifa, na munataka muuzishe bandugu zenu, na batauziwa kwa sisi benyewe! bakanyamaza, na bakakosa kitu ya kusema. 9 Kishi ni kasema! yenye munafanya haiko muzuli. Hamungi weza kutembea na kuagopa Mungu wetu, ju ya katuku ku kutukaniwa na mataifa ya maadui yetu? 10 Miye pia, na bandugu zangu, na batumishi bangu, tulibakopesha pesana ngano. Tubaatie zile madeni! 11 Mubarudishie leo mashamba yabo, mamizabibu yabo, ma mashamba ya mizutuni, na manyumba yabo, na funga ya mia ya pesa, na ngano, na divoii, na mafuta yenye mulibalomba sawa vile faida. 12 Bakajibu: tutabarudisha, na hatuta balomba hata kitu, tutafanya yenye unatuambia. Kisha nikaita bakuhani, mbele yabo nikabalapisha kyapo ya kueshi mia neno yabo. 13 Na nikakunguta nguo yango, ni kasema: acha Mungu akungute naye vile vile inje ya nyumba yake, na bitu yake, mutu yote mwenye atakosa kutii (kueshima) neno yake, na hivi njo yule mutu akungutiwe na aachiwe bila kitu. Makutano wote bakasema: ndio! bakamwambudu Bwana wa milele. Na taifa ba kaishimia neno. 14 Kuanzia siku enye mfalme ilinitia liwali ku inchi ya Yudea kuanzia mwaka ya makumi mbili mpaka mwaka ya makumi tatu ya mfalme Athaashasta, katika miaka kumi na mbili, ikuwe miye wala bandugu yangu hatukuishi na malipo ya uliwali. 15 Mbele yangu, kuacha makuta, baliwali bakwaza balikuwa banalemea batu, na kupokea kwabo chakula na vinyo, zaidi sekeli makumi ine, na bafanya kazi yabo pia balikuwa banatesa taifa. Sikufanya tena vile vilen ju ya kuogopa Mungu. 16 Kipita hapo, nilitumika kwa kutengeneza kibambazi ile, na hatukuuza ata shamba moya, na batu yangu ya kazi bote balikuwa ku kazi: 17 Nilikuwa na batu makumi tanu ku mesa yangu, bayahudi na baamuzi, kuacha benye balikuwa na kuya kwetu toka ku ma inchi ya pembeni pembeni. 18 Kila siku balikuwa banatingeneza chakula, ngombe moja, kondoo sita yenye inachaguliwa, na ma ndege, na kila siku kumi balikuwa bana tengeneza pombe yote ya maana. Ata hivi, sikudai hata malipa ya buliwali, ju kazi ilikuwa ku mikono ya bale bataifa. 19 Unikumbuke, Ee Mungu wangu ju ya kazi yote yenye nilifabya ju ya taifa hivi.