1 Wakati sambalati alisikia kama tumajenja tena kibambazi, akasikia mubaya na akasinika. 2 Akacheka bayudi, na akasema mbele ya bandugu yake na ba askari ya samania: akasema, bayaudi aba benye habama Uwezo banatumika nini? Tuache batumike? kweli batajitolea? Na batamaliza? Banaweza bakapana Uzima kwa majiwe yenye ilizikiwa chiniya vumbe na ikalungula na moto? . 3 Tobia, mwamoni, balikuwa karibu na ye na akasema : Acha bayenge tu! Mbweha akipandiya, atavunja ki bambazi 4 Sikia, Ee Mungu hivi tunazarauliwa! Ubaangushie matusi yabo juu ya bichwa yabo, na ubatae ku inchi ya manyanyasu kwenye batajuwa batumwa. 5 Usisamehe zambi yabo ya kusudi, na acha makosa zabo isivutiwe mbele yako, kwa sababu banakoseya benye banajenga. 6 Tukajenga tena kibambazi, yenye ilimalizika kote mpaka nusu ya urefu yake. Na taifa banakamata kazi ku noho 7 Lakini sambalati, tobia, ba Arabu, baamoni baasheloli, baliuzumika sana wataki ba lisikia kama kutengenezwa kwa kibambazi inaendelea, na matundo inaanza kufungiwa. 8 Baka jiunga bote pamoja ju ya kushambulia yelusalema na kuiyaribisha. 9 Tulimomba Mungu wetu na tukaweka ulinzi usikuna muchana ju yako ju ya kubapinga mashambulizi yako. 10 Kisha yuda akasema: benye balibeba mizigo habakukwa na nguvu na kifusi tele ziko; hatutaweza kujenga kibambazi. 11 Na baadui yetu bakasema: habatajuwa wala kuona mpaka tutafika kati yabo; na tutabauwa, na tutawaatisha kazi ya kuyenfa 12 Kisha bayahudi benaishi karibu nabo, balikuya, mara kumi kutupitia angalisho, na fasi yote kwenye balikuwanaenda, kwetu. 13 Njo maana nikatia , ndani ya mashimo nyuma, ya kibambazi na paviwanja vikaru, batu ba kila jomaa, jamaa, bote na mipanga yabo, na mikuki, na pinde yabo. 14 Niliangalia na nikasimama, nika baambia bakumbwa, na baamuzi, nikabaambia bakubwa, na baamuzi, na mabaki ya batu: Musibaogope! mukumbuke, Bwana , mukubwa na wakuogopesha, Mupigane ju ya bandugu yenu, batoto yenu ya bana ume na banamuke na babibi yenu na ju ya banyumba yenu 15 Wakati baadui yetu balisikia kama tunapata habari, Mungu akavunja mipango yabo, na tuka nudia bote ku kibambazi, kila moja ku kazi yake. 16 Kuanzia ile siku, kipande ya balumishi balitumika, na kipande kingine kili kuwa na mikuki, na pinde, na danii na ngao. Biongozi balikuwa nyuma ya nyumba vuda. 17 Benye balikuanajenga, kibambazi, na benye belikuwanabeba mizigo, balitumika mukono moja na ku makono ingibalikuwa banabeba silaha. 18 Kila umoja wao, kukazi, alikuwa na mupanga ku kiuno yake Mwenye alikunapiga banagumu alikuwa karibu na mimi 19 Nikaboambia bakubwa, na boamuzi, na batu baliabakia: na ni kubwa, na tunasambalana juu ya kibambazi, bamoja mbali na bengine. 20 Kwa sauti ya banagumu , mukusanyike karibu na sisi, ku fasi yenye mutasikia; Mungu wetu atatupigania. 21 Njo hivi tuliendelea na kazi, bamoja kati yetu balikuwa na mikuki ku mukono kuanzia mapambazuko mpaka usiko. 22 Mu ile wakati, nikaambia tena batu: kila umoja alale mu yelusalema na mutu mishi wake, tufanye ulinzi usiku na tutumike mehana. 23 Hatukuvua manguo, ikuwe mimi, wala bandugu yangu, ikuwe batu ya kazi, wala balinzi benye balikuwa nyuma yangu, kila umoja alikuwatu na silaha yake namaji