1 Ku mwezi wa kwanza ku bayuda, maika makumi mbili ya mfalme Artashasta, wakali vinyo ilkuwa mbele yake, ni likamata pombe na nikamupatia mfalme. Hakuna siku nilionekana na sikitiko mbele yake. 2 Mfalme ananiambia: unasikitika ju ya nini? Haugonjwe, inawezekana ni uzuni wa roho tu. Ni liogopa sana. 3 Na nikamujibu mfalme acha mfalme aishi kwa milele nisisikitike ju ya nini, wakati muji ambayo muko makaburi ya bazozi yetu inaribika na milango yake yote unalungula na moto? 4 Na mfalme ananiambia unalomba nini? Nitaomba Mungu wa mbinguni. 5 Na nikamujibu mfalme: kama mutumishi wake anamupendaza, unitume Yudea, ku mungini ya ba baba yangu ju niyajenge upia. 6 Mfalme karibu na bibi wake akaniombia: utafwanya kule siku ngapi na utarudia wakati gani? Ilimufuraisha mfalme aniashelu niende, na nikamupa wakati moja. 7 Kisha nikamwambia mfalme ikimufuniasha, mfalme banipatie ma baruwa kwa baliwali benye biko ngambo ya bahali ju baniache niingie Yudea. 8 Na baruwa moya ju ya Asafu mwenye kulinda mashamba ya mfalme ju banitafutie miti ya kutengeneza milango yenye ilijengewa muzuli karibu na nyumba ya Mungu, ju ya bibambazi ya mugeni na ju ya nyumba kwenye nitaikala. Mfalme aka nipatia mabaruwa yenye kwa sababu mukono na Mungu wangu ilikuwa yulu yangu. 9 Nikafika kwa baliwali ngambo ya bahali, nikabapatia mabaruwa ya mfalmr, naye mfalme alinishindikiza na biongozi wa bajeshi na bapanda punda. 10 Sabalati, Moroni na, Tobia, mutumishi mwonono, kisha kusikia, balifurai sana kwa sababu mutu anakuya kutafuta uzuri ya batoto ya Izraeli. 11 Nilifika Yelusalema na nikafanya siku tatu. 12 Kisha, nilikuwanaoka busiku na banaume nusu bila kuambia mutu yenye Mungu wangu aliniambia ju ya Yelusalema. Hakukuwa na nyama pamoja na miye. 13 Nikataka inje usiku kwa njia ya bonde, nikapita njia ya kisima ya nyama ya joka na mulango ya chakula ya nyama milikuwanangalia bibambazi ya Yelusalema yenye kuvundika na kuwaza jinsi milango yake ililungula na moto. 14 Kisha, nilipita karibu na mulango ya kisima na ziwa ya mfalme, na hakakuwa tena na njia ya kupita kwa nyama mwenye alikuwa chini yangu. 15 Nilipanda busiku kukisama, na nikaangalia tena kibambazi, nikarudia. 16 Baamuzi habakujua kwenye niliende na yenye nilikuwana fana. Mpako wakati hiyo, sikusema hata kitu kwa bayaudi, wala bakuhani, bakubwa, baamuzi, wa lahata umoja ya bafanya biashara. 17 Nika bambia: munaona mateso gani tuko nayo! Yelusalema inaribika, na mitango yake ina lungula na moto, mukuye tuje,ge upiakiba mbazi ya Yeluslema na hatutakuwa tena na haya. 18 Na nikabaombia jinsi mukono muzuli wa Mungu ilikuwa juu yangu na neno yenye mfalme aliniambia. Bakasema: tusimame na tujenge! Na bakapata nguvu kwa maamuzi mazuli yenye balikamata. 19 Sambalati, Mhorini na Tobia, mwa moni na Geshamu, Mwarabu kisha kuisikia, bakatucheka na kutuzanao, na bakasema: muna fanya nini pale? Munatombokea mfalme? 20 Nikabajibia: Mungu wa mbinguni atatupatia ushindi. Siye batumishi bake tutasima na tutajenga, lakini nyinyi hamuna haki wala kumbukumbu ku Yelusama.