Sura 1

1 Neno ya nehemia mtoto wa hacalia, ku mwezi wa kenda, miaka makumbi mbili, wakati nilikuwa susheni ku muji mukuu. Hanania, umoya wa bandugu yangu na batu nusu balifika yadea. 2 Nilibauliza ju ya bayaudi benye balibakia ku butumwa na ju ya yelusalema. 3 Balinijibu: benye balibakia mu butumwa biko ku jimba mu mateso na milango yake inalungula na moto. 4 Nilikala udongo wakati nilisikia mambo hiyi, na nikalia masiku mingi, nilifunga na kuomba mbele ya Mungu wa mbinguni, .Na nikasema: Mungu wa milele, muumbaji wa mbingu, 5 Mungu mukubwa na wa kuogo ku ogopesha, weye mwenye kuchunga mapatano yako na kusikilia uruma benye banachunga maagizo yako! 6 Tega sikiyo yako na litazame: sikiliza kwa sasa ombi ya mutumishe wako, anakuomba muchana moiusiku, ju ya batumishi bako batoto wa israeli, na kutubu nzambi ya batoto batoto ya israeli, makosa yetu mbele yako, kwa sababu miye na nyumba ya biba yangu tulifanya zambi. 7 Tulikukosea, na hatuku eshemu maajizo yako, sheria na amri yenye ulimuandikia mutumishi wako misa. 8 Kumbuka neno yenye ulimwaagiza musa, mutu mishi wako juatangaje wakati mutafanya zambi, nitabasambaza katika mataifa. 9 Lakini mukimirudilia, na mukikeshimia maagizo yangu na kuitumikisha, basi, wakati mutakikusanisha, na nitaborudisha fasi yenye nilichagua ju ya kutukuza jina yangu. 10 Biko batumishe bako na taifa yako, benye uliokowa na uwezo kubwa na kwa mako wa nguvu. 11 Ah bwana! tega sikio ku mao mbi ya mutumishi wako na maombi ya batumushi bako benye banatoka kuogopa jina yako. Mupe le mutumishi wako ushindi, na umufanyie nehema mbele ya yule bwana nilikuwa munyonyeshaji wa mfalme