1 Waaribifu walitembeya juu yako, chunga silaha ! linda njia , kaza moyo , vongeze nguvu zako . 2 kwa maana bwana anaweka utukufu ya yakobo na Isiraeli, kwa wizi wasibaibe tene, na kuaribisha miti ya mizabibu yao. 3 Ngao ya mashuja wake wali ifanya kuwa nyekunda wapiganaji walinala nguo za nyekundu, nagari ya vita ingaara kama ya kujitengenezeya, na mukuki yabo inatisha. 4 Nagari ya vita yanafanya makelele munjia, zina sogeyana sogeyena mu njia kabambi. tunazioma, sawa sawa na bendera, ziko na mmendo kama umeme. 5 Akabakumbuka batu bake benye nguvu, alakini awakuchoka katika safari yabo, bakafanya mbiyo kufika kukibambazi, na wakajitayarisha kujichunga 6 Milango ya maji yafungulitana, na nyumba kuanguka. Ilifanyika. 7 Alibakiya bushi, anachukuliwa, na wafanya kazi wana wake wananguruma kama njiwa, na kupiga kifuwa 8 Hakini ninani kutaka zamani alikuwa kama kisima kya mayi, mpaka hivi wana kimbiya, musimami! hakimi kusikuwe wakurudia nyuma. 9 Mukamate pesa dhahabu! Muko na hakiba yenye aina mwisho, mali ya bitu bya kungara. 10 Walikamata, na ikuwa , na wakaharibisha , na mpaka roho kufazaika , magoti kugongana, gongana, kiuma yote inabuchungu na fura za wote zilikuwa mweupe juu ya hofu. 11 Nyumba ya simba iko wapi? wana kulishiya wopi watoto wa fimba, fasi walitembeleya simbi mwangume, bibi na wotota, bila mtu waku wasumbuwa? 12 .simba alikamata chakula juu ya wototo na bibi zaki, hata kuyalisha chakula lupango yake 13 Angalya miye niko juu yako, Asema bwana wa majeshi, mi miye nitalungaza ya nta, na mupanga itakula ntoto wa simba, na miye mitakukatahya mawindo katindo katika inchi, na hamutasikya tena sauti ya wajumbo.