SURA 3

1 Ole mji inamwanga damu! inayala na bongo na kuyala na fujo. 2 Makalele ya fimbo, punda na gori zanta tumezisikiya 3 Mutebeza punda , alikuwa na mpanga ya kuangara, batu mingi balikafa mbele yake bila hesabu. 4 Kwa sababu ya buingi ya busharati, na uchawi anauzisha, inchi. 5 Angaliya, nakuya kwako asema Bawana wa majeshi, nitawaonesha mataifa buchi na haya yoka. 6 Nitakutupiya buchafu, na utakuwa wa kuzarauliwa. 7 Bote batakuona batakimbiya mbele yako, na watasema : Ninawi itabomolewa, nikutafutiye wapi wakukufariji? 8 Weye mimuzuri kuliko No-Amoni, mwenye alikala kakikati ya maji, na bahari ilikuwa kibambazi yake. 9 Kushi na misri balikuwa nguvu putu na walibia walisaidiana. 10 Tena walienda kuwamisho, utumwani, watoto watasangwa ku nja zote, na wakubwa kufungiwa kwa minyonno. 11 Na weye, utalewisha, kujifuchika, nakutafuta fasi ya kukimbiya 12 Ngome zako ni zita kuwa kama niti Inakukwa na begu yenye kuivya Ikitingiziwa, zina anguka katika kinya kyake anapenda kuzikula. 13 Taifa lako ni wanawake katikati yako, na milango ya inchi yako inafunguka kwa maadui wako, moto inalanguza bifilibyako. 14 Tega maji iwe tayari, tayarisha ngome zake, chimba bulongo sa kuikanyaga, tengeneza matofali. 15 Pale, moto italunguza, Mupanga itakumaliza, utamalizika kama zige, jifanye kuwa mingi kama Mipanza 16 Wafanya bayachara wako ni wengi kuliko nyota za mbingu, ni kama Mipanzi wakiruka. 17 Rawatoto wa mufalme na majenadari ni wengi sawa Mipangi, wana shuka siku ya baridi, juwa ikitoka wana ruka , na kwenda fasi usiyo julikana. 18 Wachingazi wana lala, Ee mfalme wa Ashuru, batu banata wanyika mu milima na hakuna kukutana. 19 Hakuna dawa, na bilonda byako utakufa, wote wata sikuya hadisi yako, watafurayi; kwamaana nani mwenye wovu aikupati?