SURA 1

1 Juu ya ninawi, Maono ya Nahumu , Mwelkoshi 3 Bwana Mungu ni wa wivu, akatomboka , akasinka na kufitinya aduvi zake. 2 Bwana nimwenye huruma, nkubwa kwa nguvu ; hataesabiya makosa ya ntu, bwana akatembeya katikati ya zaruba ; mawingu ni mavumbi ya niguve yake 4 Yeye akakemeya bahasi na ikakauka, pia kukausha mayi yote ; bashani na karmeli kunguya na mauwa ya libanoni. 5 Mulima ya kabambi na ya kidago ikatetemekaa na kuzama, nayo bulongo ikanyanguliwa mbeli ya mecho yake , kweli dunia na batu bote. 6 mani ata simama na kwikala mbeli ya kisuani ? kisirani inatawanyika kama moto, na majime kunenjika mbeli yake. 7 Bwana ni njuri , tena nikimbiliyo wakati wa tabu, anajuwa benye banajipana kwake. 8 Lakini na zaruba inapita ataharibisha muji. Atafatihya ma aidui mpata mugiza 9 Munawaza nini juu ya bwana ? mwenye kunaribisha, tabu aitatoya mara mbili. 10 Kwa maana munachangana na miba, na sawa waleni wa pombe, mutalungula mwabote kama majani. 11 kwako kumetoka bale banawazaka mubaya juu ya bwana, aneye kuwa na mawazo ya makali. 12 Anasema bwana, ikwa wana nguvu na kuwa wengi, mutapanduwa na kutoweka, nitakufizereshe , juu usifeleshwe tena... 13 Nitavunja mizigo yako, na kukata mafungo yako, bwana akatowa amri, hautakuwa tena na uzao ambaje atabeba jina lako; na kukata mafunge yako. 14 Bwana akatowa amri , hautakuwa tenaa na uzao amboje atabeba jina lako, nitatowa mu nyumba ya muingu sanamu ya kuchora , nitakufanyiya kaburi, kuwa uko teketeke. 15 Ona yubu, ya milima migulu ya mutetayi habari ya amani ! anafurayi, habatapita tena katikati yako, watama liziwa wote.