SURA 8

1 Bwana aka mbwambia Yoshua: usiogope na usifazaike! Chukuwa wapikanaji wote pamoja nawe, simama wende kupikana na Aï. Tazama, na toa mikononi mwako mfalme wa Aï na taifa yake yote muji wake na inchi yake. 2 Uta mutendea Aï na mfalme wake vile ulimutendea Yeroko na mfalme; lakini bivuko byote na niara ni byenu. Weka kikundi kwa uficho nyuma ya muji. 3 Yoshua aka ondoka pamoja na wapikanaji, waka shambuha Aï. Aka chakua washujaa elfu makumi tatu, 4 aka watume waende usiku, akawapa oda hii: sikiyeni, mujitie kwa uficho nyuma ya muji, musi kuya mbali sana, muwe tayari. 5 Lakini mie na taifa yote iko pamoja nami, tu taikaribia muji. Wakati watatoka kupambara sawa na mara ya kwanza, tuta wakimbia. 6 Watatufwata mpaka tuta kokotambali na muji, na wata semezana: wana kimbiya mbele yetu, sawa na mara ya kwanza: na tutawakimbia. 7 Mutatoka kwenye uficho yenu, na muta vamia muji na Bwana Mungu wenu, ataitowa mikononi mwenu. 8 Wakati mutaivamia, muta ichoma, mutatenda kufwatana na kusema kwa Bwana: iyo ni oda nawapa. 9 Yoshua aka wacha waende, waka enda na kujificha katikati ya Beteli na Aï, ku magaribi mwa Aï. Lakini Yoshua akakuwa kati ya taifa usiku ile. 10 Yoshua aka lamuka asbui sana, aka esabia taifa, na kwenda kupikana na Aï mbele ya taifa, yeye pamoja na wazee wa Israeli. 11 Wapikanaji wote walikuya pamoja naye wakapanda karibu; wakafika karibu kando kando ya muji, wakajipanga kaskazini mwa Aï, waka kuwa ngambo ya bonde. 12 Yoshua aka chukuwa watu karibu elfu tano aka batia ku ufichi (ambushi) katikati ya Bateli na Aï. 13 Kisa kikosi kuji panga kaskazini mwa muji, na kikosi kya uficho magaribi mwa muji, Yoshua aka enda mbele usiku ile mu katikati ya bonde. 14 Wakati mfalme wa Aï aliona vile, watu wa Aï waka amka wote upesi asubui sana, na wakatoka kukutana na Israeli juu yaku pambana. Mfalme aka enda na taifa yake yote, kwenye walipikaniaka mbele ku ngambo ya mutelemuko, na hakujuwa kama kuli kuya nyuma ya muji kikundi kilifichana. 15 Yoshua na Israeli yote waka mudanganya kuwa bana pikwa mbele yao, na wakakimbia njia ya jangwa. 16 Pale taifa yote ilikuwa ndani ya muji ikakusanyika juu ya kuwafwata. Wakamufwata Yoshua, na waka kokotewa mbali na muji. 17 Hakuna mutu ndani ya Aï na Beteli mwenye hakutoka kupikanana Israeliu. Waka acha muji wazi, baka fwata Israeli. 18 Bwana aka ambia Yoshua: Nyanyuwa mukuki wako juu ya Aï, yenye kuwa mukononi mwako, maana nita itowa chini ya uwezo wako. Na Yoshua akanyanyuwa mukuki yenye kwa mkononi mwake. 19 Kisha kunyanyuwa mkono wa Yoshua wale walifichama bakatoka kwa mbiyo sana kwenye balikuwa, bakaingiya katika muji, baka kamata na kuchoma bila kukawa. 20 Watu wa Aï, baka angalia nyuma yabo, baka ona tu mosi ya muji kupanda, wakakosa kwa kujiokolea ata ngambo moya. Ile taifa ilikimbiya ngambo ya jangwa waka wageukia wale walianza kubafwata. 21 Maana Yoshua na Israeli yote, bakaona muji kukamatiwa na ile kundi ilijificha na ile mosi iliyo panda kwa muji, waka wageukia na kuwapika batu ya Aï. 22 Wengine wakatoka ndani ya muji , na kupambana nabo, na watu wa Aï waka zingira kwa Israeli kwa upande zote. Israeli aka wapika, pasipo ku acha mutu mzima ao wakukimbiya. 23 Waka mkamata mateka mfalme wa Aï, nakumuleta muzima mbele ya Yoshua. 24 Kisha Israeli alimaliza ku uwa wa kajaaji wa Aï musituni na mujangwa, kwenye balibafwata na ikawa banamaliza ku wachinja wote kwa ukali wa upanga. Israeli wote wakarudia kwenye Aï na kuipika kwa ukali wa upanga. 25 Kukawa maiti elfu kumi na mbili ya watu wale uwawa, 26 Yoshua akushusha mkono yenye ali nyanyuwa na mukuki juu ya Aï mpaka wakati wali maliza kuharibu na kulaani watu wote. 27 Lakini Israeli aka ponesha bivuko na nyara ya muji, kufwatana na oda ya Bwana ali agiza Yoshua. 28 Yoshua aka choma Aï, na akaivunja na ku acha kilima ya magafu kinakuwa paka leo. 29 Aka mutundika kumuti mfalma wa Aï; aka mu acha pale mpaka magaribi. Pa juwa ku kucha, Yoshua aka amuri waishushe maïti, wakaitupa pa mulango ya muji, na waka simamisha mawe mengi juu yake, iko ina onekana mpaka leo. 30 Kisha Yoshua akamjengea Bwana mazabau, Mungu wa Israeli, pa mlima ya Ebale. 31 Vile Musa, mutumishi wa Bwana, ali pana oda kwa watoto wa Israeli, na vile imeandikwa katika kitabu ya sheria ya Musa. Ili kuya mazabau ya mweye ya sipo kupasua, kwenye chuma haija twanga. Wakatolea Bwana sadaka kuteketeza, nakuleta sadaka za kushukuru. 32 Ni pale Yoshua aka andika juu ya mawe ile sheria Musa aliandika mbele ya watoto wa Israeli. 33 Israeli wote, wazee wake, viongozi vyake na wa amzi wake, wali simama ngambo na ngambo ya sanduku ya Agano, mbele ya ma kuhani, wa lawi, wenye pamoja na watoto wa Israeli wa likuwa pale, nusu ngambo ya mlima wa Garizimu, nusu ngambo ya mlima Abale, kufwatana na oda yenye Musa, mtumishi wa Mungu aliletaka mbele, ginsi ya kubariki watu. 34 Yoshua akasoma tena masemo yote ya sheria, ma baraka na ma laana, kufwatana na yote ime andikiwa katika kitabu ya sheriya. 35 Hakukubaki ata kitu mu ile yote Musa ali agiza, yenye Yoshua hakusoma mbele ya mukusaniko wote wa Israeli, wana wake, na watoto na wageni wali tembeya kati yabo.