1 Wakati wafalme wa baamola ku magaribiya Yordano na wafalme wote wa ba kanana, karibu na bahari bali sikiya aseme Bwana. Ali kausha mayi ya Yordano mbele ya batoto ya Israeli kufika wakati tulipitashe bote,balifazaika na ku regeya mbele ya batoto ya Israeli. 2 Mwa ile wakati, Bwana aka ambiya Yoshua ujifanie bisu bya majiwe, nautahiri mara ingine batoto ba Israeli, mara ya pili. 3 Yoshua akajifania bisu bya majiwe na aka tahiri batoto ya Israeli pa mulimaya araloti. 4 Ona kwa nini Yoshua alibatahiri. Taifa yote ili toka misri, bana ume bote bapikanaji ba vita, bali kufa mu jangwa , munjia kisha kutoka misri. 5 Ile taifa yote ili kuya ya kutahiriwa, lakini hii taifa ili zaliwa katika jangwa, munjia, kisha kutoka misra, hawaku tahiriwaka. 6 Maana batoto ya Israeli wali tembeya myaka makumi ine katika jangwa mpaka uharibifu kwa ile taifa ya wapikanaji walitoka misri wale hawakusikiya sauti ya Bwana , Bwana aka lapa hata ba onesha ile inchi inye ali lapia ba baba yabo kutupa tia ayo inchi yenye ku vuya maziwa na asali. 7 Ni batoto yabo njo auweka bafasi yabo, na Yoshua aka wa tahiri kwa sababu bali kuya basipo kutahiriwa juha ba kuba tahiri wakati wa mwendo 8 Wakati balimaliza ku tahiri taifa mzima , wakabaki ya fasi moja ndani ya kambi mpaka kupona kwabo. 9 Bwana akasema na Yoshua: Leo, nami ondolea ile haya ya misri . Na ile fasi ikaitiwa Gilegali mpaku leo 10 Batoto ya Israeli baka ikala mu kumina ine ya mwezi, ku magaribi, katika bonde ya Yeriko. 11 Baka kula ngano inchi ile kesho yake ya Pasaka na mikate yasipo chacho, na mbeko ya kukalanga waka ikula siku ileile. 12 Mana ikakatika kesho yake , pale balikula ngano ya inchi, Batoto ya Israeli hakupata tena mana na baka kula chakula ya inchi Kanana mwaka ile . 13 Vile Yoshua alikuya karibu na Yeriko, akainua macho na ku angalia mutu moja alisimama mbele yake, na kisu yake ya ku angala mukono akamu karibiya naye na aka mwambiya: Uko wa ngambo yetu ao wa ma adui yetu 14 Aka jibu: Apana lakini niko kiongozi wa Jeshi ya Bwana, nafika sasa. Yoshua aka anguka sura chini, na kupika magoti , na akamwambiya ni neno kani Bwana yangu anasema na mutumishi wake? 15 Na kiongozi wa Jeshi la Bwana akamwambiya Yoshua : Tosha bilato byako ku mikulu yako, kwa kuwafasi yenye unasimama iko takatifu na Yoshua akafanya vile.