SURA 4

1 Wakati taifa yote ikaishaku tambuka Yordano, Bwana Mungu aka ambiya Yosua: 2 Muchukuwe batu kumina wawili mutu moya kwa kizazi, 3 Uba patie Agizohii: Ondoheni apa, katika Yordani, Penye makuhani walisimama kwa mikulu yabo majiwe kumi na mbili yenye mutabeba pamoja na mwenye, na mutaiweka pafasi mutapita usiku hii. 4 Yoshua akaitabale batu kumi na bawili benye ali chakula kati ya batoto ya Israeli, moja kwa kila kizazi. 5 Aka wa ambiya: mu pite mbele ya sanduku la wa milele, mungu wenu abebe jiwe palibeka yake kufwata na Hesabu yabizazi ya batoto ya Israeli 6 Juu ikuwe alama katikati yenu. wakati batoto yenu bata mi ulizaka siku moja: hii majiwe ina maanisha nini kwenu? 7 Muta wambiya: mayi ya Yordano ili katikaka mbele ya sanduku ya agano ya wa milele; wakati ili pita kati ya Yordano, mayi ya Yordani ili katikaka, na majiwe hii ita kuwa milele ukumbusho kwa batoto ba Israeli. 8 Batoto ba Israeli bakafanya ile Yosua ali ba agiza. Baka beba majiwe kumi na mbili mukatikati ya Yordano, vile wamilele ali muwambiya UYosua, kufwatana na Hesabu ya bizazi bya bya batoto ya Israeli, wakatoka nayo pamoja nao, na wakaiweka pale balila busiku ile. 9 Yosua naye akasimamisha majiwe kumi na mbili katikati ya Yordani, pale fasi palisima maka bikanyangiyo ya ba kuhani benye kubeba sanduku ya agano; na ili bakiya pale paka leo. 10 Makuhani benye kubeba sanduku balisimamaka katikati ya Yordani kufika mwisho wakuti mizika kwa yote Mungu aliagiza Yosua ku wa ambiya watu, kufwatana na ile yote Musa ali mupa Yosua amri. Na watu wakatambuka kwa upesi. 11 Wakati watu wote wakaisha kupita, sanduku ya wa milele na ma kuhani wakapita mbele ya watu. 12 Watoto wa Rubeni, batoto wa Gadi, na ile kipande ya kizazi ya Manase, wakapita namasilaha mbele ya watoto wa Israeli, vile Musa ali wa agira. 13 Karibu na watu elfu makumi ine, benye bali pewa vifaa na vita na tayari kwa kupambana, bakapita mbele ya wa milele mu ma bonde ya Yeriko. 14 Mu ile siku, wa milele akamu inuwa Yosua ku macho ya Israeli yote; na bakamu ogora, vile walimu ogopa Musa siku yote ya maisha yake. 15 Wa milele akamwambiya Yosua: 16 Leta agiro kuma kuhani benye kubeba sanduku la ushuuda, wa toke mu Yordano. 17 Na Yosua aka agira makuhani: mutoke ndani ya Yordano 18 Wakati ma kuhani benye kubeba sanduku la agano ya wa milele bana toka katika Yordano, na bika nyangiyo byabo bina kanyanga pa kikavu, mai ya Yordani ikarudia pa fasi yake na ikayala kawa zamani ngambo na ngambo. 19 Watu wa katoka katika Yordani musiku ya kumi ya mwezi ya kwanza, na wajenga hema pa Gilegali, ku ngambo ya mashariki mwa Yeriko. 20 Yosua akasimamisha pale Gilegali ile Majiwe kumi na mawili ile balibeba mu Yordani. 21 Aka ba ambiya batoto ya Israeli: wakati ba toto yenu bata ulizaka siku moja ku ba baba yabo: maana ya majiwe ni nini? 22 Muta ifundisha batoto yenu, na kuwa ambiya Israeli alipataka Yordano hii lwa chini pakikavu. 23 Kwa maana wa milele, Mungu wenu, alikausha mbele yenu mayi ya Yordano kufika wakati muli pita vuka, vile wa milele, Mungu wenu ali ifanyaka pa bahari nyekundu, yenye alikaushaka mbele yetu kufika wakati tuli vukaka. 24 Juu mataifa ua dunia yote bauwe kama mukono ya wa milele iko na uwezo, na juu mukuye siku zote na boka ya wa milele, Mungu wenu.