1 Tazama nchi watoto wa Israeli wali pata kitaka nchi ya kanaani, ambayo Eleazari kuhani, na Yoshua mutoto wa nuni, mukubwa ya jamaa ya makabila wa Israeli wali wa patiya. 2 Nikupitiya kura ya urithi yao, vile kama Bwana aliyo sema na Musa, kwa ajili ya ma kabila kenda, na ile nusu ya kabila. 3 Kwani Musa aliwapa urithi ile makabila mbila na nusu, ngambo ingine ya Yordani, lakini hakupatiya walawi urithi uwao kati yao. 4 Watota ya Yosefu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu; nao awa kupata sehemu pamoja na walawi katika nchi ile, isi pokuwa waliwapa mji wapati kuikaa, pamoja na makao yao kwa ajili ya nyama wa mifugo, na mali yao. 5 Watoto wa Israeli walifanya vile Mungu wa milele ali leta kwa Musa, nao wakaigawanya ile nchi 6 Watoto wa Yuda wakamkaribia Yoshua, pale pale Gilgali, na Kalebu, mwana wa Yefume, wa Nkenizi, wakamwambia: wajua kwamba Mungu wa milele alisema na Musa, ule mtu wake, kwa ajili yanguna wewe ku kadeshi Barnea. 7 Nilikuwa na miaka makumi ine wakati Musa, mtumishi wa Mungu wa milele, alinitumaka niende kotoka Kadesh-Barnea, juu ya kupeleleza ile nchi; na nilimletea ripoti ya kweli. 8 Wa ndungu zangu wale nili kwenda nao waka vunja watu moyo, lakini miye nilimufwata Bwana Mungu wangu wa milele. 9 Siku ile Musa akalapa, na kusema: nchi ile ambayo miguu yako imekanyanga itakuwa watoto wako, kwa sababu uli mfuata Bwana Mungu wako wa milele. 10 Ona sasa Mungu wa milele akanipa uzima, kama vile alipo sema kupita miaka makumi ine na tano, tangu wakati Mungu wa milele alimwambia Musa. Wakati Israeli waliku wa kitembea katika jangwa; na sasa leo nina miaka makumi munane na tano. 11 Na hata sasa ningali sujaa ivi leo kama vile nilikuwa siku ile Musa alinitumaka nina usujaa ile nilikuwa nayo kwa vita na kwa kutoka nje, na kuingia ndani. 12 Basi sasa unipatie kilima iyi, ambao ambao Mungu wa milele alisema siku ile, kwani ulisikia kama waanaki wali kuwa pale, na miji kubwa yenye boma; Mungu wa milele ata kuwa nami, nitawafukuza, vile Mungu wa milele alisema. 13 Yoshwa akabariki kalebu, mutoto wa Yefune, na kumupa Hebroni kama urithi mpaka leo kwa sababu alifata kwa utimilifu njia ya Mungu wa milele, Mungu wa Israeli. 14 Kwa hiyo kalebu, mutoto wa Yefune, Mkenizi, alipata Hebroni kama urithi mpaka leo kwa sababu alifata kwa utimilifu njia ya Mungu wa milele, Mungu wa Israeli. 15 Hebroni ilitwa kwanza Kiriath-arba; ule Arba alikuwa kibonge kwa wa Anaki. Pale nchi ikatulia, vita vikakoma.