Sura 13

1 Yoshua alikuwa mzee sana, Bwana akasema; unakuwa mzee, na inchi utatawala ni kubwa. 2 Tazama inchi inayobaki: Mitoa yote ya wa Felistia na Geshurieni. 3 Kutoka shukor mpaka kusini ya Ekloni, kwenye kukaa watoto tano ya wafalme, wa wafilistia, Gaza, Asdod, Askaloni, na wa Gati. 4 Kutokea kusini, na inchi yote ya Kanani, Meara, Sidonia, Afeke mpaka Amola; 5 Inchi ya Guiblia, Libanoni ya mashariki mpaka Bala-Gad, chini ya mulima Hermon mpaka maingiliyo ya Hamata. 6 Watu wote wa mulima, hadi Libanoni mpaka Miserefoti-Maim, na Sidonia yote mitawafukuza mbele ya watoto wa Israeli. Upawe wa Israeli kama nilivyo sema. 7 Na ukabule inchi kwa vizazi kenda na kwa nusu ya Manasi 8 Wa Rubeni, wa Gadi na kizazi ya Manasi walipata miti upande wa Yoldani, kama vile Musa aliamuru. 9 Kutoka Aroera, pembeni ya kisima Arnoni, na bonde ya Madeba mpaka Diboni. 10 Mijini yote ya Sihoni, mfalme wa Amola, mwenye alitawala Hesboni na Amoni. 11 Galad, mtaa wa Gushuria, na Makatia, kilima ya Hermoni, Basani mpaka Salka. 12 Ufalme wote wa Og, pale Basani, alitawala Refaim. Musa alipiga na kuwafukuza wafalme wao. 13 Lakini batot ya Israeli, habakufukuza wa Gushiria na wa Makatia, benye baliishi kati yabo mpaka leo. 14 Musa haku leta sehumu ya uriti kwa kizazi ya Lawi, Zabihu ya kuteketeza mbele ya Bwana, Mungu wa Israeli, ilikuwa uriti wao. 15 Musa alibapatiya batot ya Lubeni, shemu yabo sawa na jamaa yabo. 16 Balipata mtaa, kutoka Arori, pembeni ya kisima. Arnoni mpaki nijini wenyekuwa ku bonde pembeni ua Madeba. 17 Hesboni na mijini ya bondeni, Diboni, Hamoti Bet-Bala Maoni. 18 Yahata, Kedimoti, Mefata. 19 Kiryataim, Sibuma, Tereti Hashashari. 20 Beti-Peori, Piska, Beti Yeshimoti, 21 Mijini yote, na ufalme wa Sihomi, mfalme wa Amola, Mwenye alitawala Hesboni; Musa alimupiga na watoto wa wafalma wa Madiani, Evi; Rekem, Tur, Huri, Na Reba. 22 Benye baliuwa batoto ya Israeli, bali mu uwa tena nabii Balama, mtoto wa Beori. 23 Yolodani ilisaidiwa mpaka, kati ya mataa wa Lubeni na vizazi yake. 24 Musa alibapatia kizazi ya Gadi, na watoto wa gadi sawa sawa na vizazi vyao. 25 Balipata mtaa, mjini wa Galadi, nusu ya Inchi ya watoto wa Amoni, mpaka Aroeri mbele ya Labba. 26 Kutoka Hesboni mpaka Ramata Mispa na Betonim, Mahanaim, hadi Debiri. 27 Ndani ya bonde Beti-Haram, Beti-Nimrani, Sikoti na Tafoni, na baliobaki ufalme wa Sihoni, mfalme wa Hesboni. 28 Huu ni uriti wa batoto wa Gadi. 29 Batot ya Manasi balipewa sehemu yaba na Musa. 30 Balipata mtaa kutoka Mahanaim, Basani ufalme wa Og, na Yairu Basani, mijini makumi sita. 31 Nusu ya Gadi, Ashutorito, na Adrei, Og. 32 Hivi njo Musa alifanya, wakati balikuwa mu bonde ya Moaba, ngambo ya Yolodani karibu na Yeliko. 33 Musa akuleta sehemu ya uriti kwa kizazi ya Lewi, Bwana, Mungu wa Israeli, alikuwa yabo ya uriti.