SURA 10

1 Adoni-Sedeki, mfalme wa Yerusalemu, aka sikia vile Yoshua ali shambulia Aï na vile ali vunja na ku ilaani, pamoja na mfalme wake, vile ali ifania Yeriko na mfalme wake, na vile wakaaji wa Gabaona wali fanya Amoni na Israeli na waka kaa katikati yao. 2 Akashikiya na oga sana; maana Gabaona ili kuwa muji kabambi, sawa na muji moya kati ya miji ya wa falme, kubwa kuliko Aï, na watu wake wote walikuwa washhujaa. 3 Adoni-Sedeki, mfalme wa Yerusalemu, aka tuma ba ambie Hohamu, mfalme wa Hebeloni, na Pileami, mfalme wa Yarmuti, na Yafia, mfalme wa Lakisi, tena na Debili, mfalme wa Egiloni: 4 Pandeni kwangu, muni saidie, tumpike Gabaoni, maana anaifnya amani na Yoshua na watoto wa Israeli. 5 Wafalme watano wa Amola, mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebeloni, mfalme wa Yarmuti, mfalme wa Lakisi, mfalme wa Egiloni, wakakusanika na kuti pamoja majesi yao, waka pika kambi karibu na Gabaoni na wakapigana nao. 6 Watu wa gabaoni waka tuma ba ambiye Yoshua, usi acha watumishi wako, panda kwetu upesi, utu wokowe, kuja utu saidie; maana wa falme wote wa Amola, wa kaaji wa milima, wanakusanika kwa kupikana nasi. 7 Yoshua akapanda toka Gilegale, yeye na wapikanaji wote pamoja naye washujaa wote; 8 Bwana aka mwambiya Yoshua: usi waogope, maana nakutolea bote mikononi mwako, hakuna mwenye ata simama mbele yako. 9 Yoshua aka washukia kwa gafla, akisha tembea usiku wote toka Gilegali. 10 Bwana akawa fazaisha mbele ya Israeli; na Israeli akawa uwa wengi sana karibu na Gabaoni, aka wa fwata kwenye njia inapanda Beti-Holoni, Bwana na akawapika mpaka Azeka na Makkeda. 11 Wakati wali anza kukimbiya mbele ya Israeli na wakawa pa kushuka kwenda Bet-Horoni, Bwana aka wa tupia mawe kubwakubwa kufika Azeka na wakafa; wenye wali kufa kwa mawe wakawa wengi kupita benye bali uwawa kwa upanga na watoto wa Israeli. 12 Alafu Yoshua akasema na Bwana, siku ile Bwana alitowa wa Amola ku batoto ya Israeli, na aka sema mbele ya Israeli: JUwa, simama juu ya Gabaoni, na we mwezi juu ya bonde ya Ayaloni. 13 Na jua ika simama, na mwezi ika acha mbiya yake mpaka wakati taifa ilikwisha kujimalizia makari juu ya ma adui zake. Yote hii si ina andikwa mu kitabu cha mwenye haki? Juwa ika simama katikati ya mbingu, na hai kwendakwa haraka kwa kushuka, karibu siku mzima. 14 Hakuja kuyaka siku kama ile, ao mbele ao nyuma kwenye Bwana ali kubalu sauti ya mwana damu, maana Bwana aliwakombania Israeli. 15 Na Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, bakarudi kwenye kambi ya Gilegale. 16 Wa falme watano waka kimbia, waka fichama ndani ya mugoti ya makeda. 17 waka ambia Yoshua aseme: wa falme tano wanijificha ndani ya magoti ya Makeda. 18 Yoshua akasema: Jazeni mawe kabambi ku tundu ya magoti, na mu ache walinzi pale. 19 Mweye, musimame, fwateni ba adui yenu, mu washamulie kwa nyuma; musi wa ache wa ingiye kati ya migini yabo, maana Bwana Mungu, Mungu wenu ana watowa mikonone mwenu. 20 Kisha Yoshua na watoto wa Israeli ku wapika wote, na ku wa pika wote kabisa, wenye wali weza kimbia wali jificha kwenye miji ya ukuta, 21 Na watu wote waka rudi kwa kimia kwenye kambi karibu na Yoshua ku Makeda bila mutu kusema neno mbaya juu ya Israeli. 22 Yoshua akasema: fungueni mungoti, muwalete wale wa falme tano kwangu. 23 Waka fanya vile, na wamuletea wale wa falme tano aliwa tosha kati kati ya mungoti, mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebeloni, mfalme wa Yarmuti, mfalme wa Lakisi na mfalme wa Egeloni. 24 Kisha kubaleta wale wa falme mbele ya Yoshua, Yoshua akaita watu wote, na kuambiya viongozi vya bapikanaji wote wenye walitembeya naye: musogee kwangu, mu wakanyange ku mashingo ya wafalme hawa. Wakosogea, na waka bakanyanga. 25 Yoshua aka wambiya: musi ogope na musifazaike, muji tie nguvu na muwe na bidii, ni kwa namna hii Bwana atatendea na adui benu bote mutapambana nabo. 26 Kisha pale Yoshua akawapika na kuwa uwa; akawatundika kwa miti tano, na wakabakia pale mpaka magaribi. 27 Kufika magaribi, Yoshua aka amuri bzshushe, na waka watupa ndani ya mungoti mule balifichana. Na wakaweka pa tundu majiwe kubwa kubwa yenye ikabaki pale hata leo. 28 Ile siku, Yoshua akaikamata makeda akai angamiza na ukali wa upanga, mfalme, muji na bote balikuwa ndani. Haku acha ata mutu moja kukimbiya, aka mutendea mfalme wa Makeda vile alitendea mfalme wa Yeriko. 29 Yoshua pamoja na Israeli wote wakatoka Makeda kwenda Libina na ku ishambuliwa Libina. 30 Bwana akaitowa vilevile, pamoja na mfalme wake katika mikono ya Israeli, akaipika kwa ukali wa upanga, muji na wale wote wali kuwa ndani. Haku acha tat mutu moja kukimbiya. Akamu tendea mfalme wa muji vile alitendea mfalme wa Yeriko. 31 Yoshua, pamoja na Israeli wote, wakapita libina kwenda Lakisi; akapika kambi mbele yake, na akaishambulia. 32 Bwana akatoa Lakisi katika mikono ya Israeli, aka ikamata siku ya pili, na ku ipika kwa ukali wa upango, muji na wote wanye kwa ndani yake, vile alitendea Libena. 33 Wakati ule, Holamu, mfalme wa Gezela akapanda kusaidia Lakisi. Yoshua akamu pika pamoja na taifa yake, bila ku acha mutu akimbie. 34 Yoshua, pamoja na Israeli yote, wakapita Lakisi kwenda Egolani, waka pika kambi mbele yake na ku ishambulia. 35 Wakai kamata siku ile, na ku ipika kwa ukali wa upanga, muji na wote walikuwa ndani; Yoshua akai laani siku ileile, vile alitendea Lakisi. 36 Yoshua, pamoja na Israeli yote, waka toka egelo mpaka Hebelona, na wakaishambulia. 37 Wakaikamata, na kuyapika kwa ukali wa upanga muji na mfalme wake pamoja na miji yote yenye ilikuwa chini ya uongozi wake, na wote wali kuwa ndani ya miji ile Yoshua aku acha ata mutu moya kukimbia, vile alifanya katika Egelone, akai lapia laana wote wale kuwa ndani. 38 Yoshua pamoja na Israeli yote, waka enda njia ya Debira, na ku ishambulia. 39 Akaikamata, muji, mfalme wake pamoja na miji yenye kuwa chini ya uongozi waka; wakaipika wakai lapia laana na wote wali kuwa ndani ya miji, bila ku acha ata mutu moja ku kimbia; Yoshua akaitendea Debira vile ali itendea Hebelone na Libena. 40 Yoshua akapika inchi yote, mulima, kusina bonde na inchi ya pembeni, na akawapika wafalme wote; haku acha ata moja ku kimbia, na akai lapia laana yote yenye pumzi, vile Bwana, Mungu wa Israeli, ali pana ada. 41 Yoshua aka wapika toka Kadesi-Barnea mpaka Gaza, akapika inchi yote toka Gosheni mpaka Gabaone. 42 Yoshua akabeba, wakati ule ule wa falme na ma inchi zao, maana Bwana, Mungu wa Israeli, ali pikana juu ya Israeli. 43 Naye Yoshua, pamoja na Israeli, waka rudi ku kambi ya Gilegali.