1 Usiji furahishe, Ee, Israeli kwa sababu ya furaha, kama vile watu. Na ginsi ulifanya uzinifu kwa ku muacha Mungu na ile ulipenda mushara machafu ndani ya shamba la ngano! 2 Kiwanja na kino kia kusagisha haitawalisha. Na vinyo ya utamu ita watatiza. 3 Hawata bakia ndani ya inchi ya Bwana; Efraimu atarudia pale Misri. Na watakula pa ashuru chakula isio safi. 4 Wa simufanye Bwana kimimilio cha pombe na hayo haita mupendeza sadaka zao. Sadaka yao itakuwa kama mukate wa matanga. Wote watakaye kula watakuwa wenye kuchafuka; na mikate yao itabakia yabo tu, Haita ingiya ndani ya nyumba ya Bwana. 5 Mutafanya je siku kuu, siku ya karamu ya Bwana? 6 Kwa maana angalia wamekimbia huharibifu wao. Lakini Misri ita wa ita wa pokea, Mof ita wa zika, yenye vilikua vya faida kwao feza na magumu itaifunika, miba itakuwa ju ya hema yao. 7 Siku ya kazabu inaeneya, inafika siku ya kulipiwa: Israeli ita ijua ule nabii ni mwenda wazimu ule mutu mwenye roho ana wazimu, kwa sababu ya wingi wa ubaya wake na kwa sababu ya adui unakua mukubwa. 8 Efraimu alikua milinzi pamoja na Mungu wangu; nabii mtego ya muwinda ndeke iko katika njia yao yote. Katika nyumba ya Mungu wake kuko wa adui. 9 Wa me ingia ndani ya rushua, kama siku ya Gibea. Bwana ata kumbuka ma zambi zao ata azibu zambi zao. 10 Nilikuta Israeli kama mizabibu jangwani na, niliona wa baba yenu kma matunda ya mizabibu, lakini walienda wote kwa Baali-Peori, waki jiweka magufuru kwa kiyu cha aibu, na waka wa chukizi kama kitu kile walikipenda. 11 Naye, Efraimu utukufu wake utafikia mbali mfano wa ndege hakuna tena wenye kuzaa, hakuna mimba ao kuanza mimba. 12 Kama wata lea watoto wao, nitafanya wa siguwe kufikia wana ume wakukomala; na ole wao, wakati nili watupilia mbali! 13 Efraim naye niku muangalilia kwa mbali upande wa tiro, na kupanda mahali pazuri, lakini Efraimu amepeleka watoto kwa mwenye ata wa uwa. 14 Ee Bwana utabapatia kitu gani? watapewa nini? ... Ubapatie tumbu yenye kuharibu mimba, na maziba yenye kukauka. 15 Mabaya yabo katika Gilgali, niliwa chukiya kwa ajili ya matendo yao mabaya, nita wafukuza watoto ndani ya nyumba yangu. Sita bapenda tena. wakubwa wao wote biko ma adui. 16 Amepigwa Efraimu; mizizi inakauka; haita tosha tena matunda na wakiwa na watoto, nita uwa mutoto wako mupendwa saana. 17 Na Mungu wangu ata watupilia mbali, kwa sababu aba kumusikia kwa iyo wata tangatanga inchi popote.