1 Piga tarumbeta! Adui amekuja kamatai juu ya nyumba ya Bwana, kwa sababu wana vunja agano langu, na wakakataa kufuata sheria yangu. 2 Wapa piga kelele kwangu: watasema Mungu wangu tuna kujua, sisi wa Israeli. 3 Israeli alikataa wena; adui atamufuatilia. 4 Walitia wa falme wao bila oda yangu; wali wali chora masamu yao kwafeza na zahabu; kwa mana watateketezua wote. 5 Bwana alikata ntoto wa ngombe yako, Ee Samaria!kasirani (hasira) yanguitawaka juu yabo ti wakati gani utakataa kufisafisha (kutubu). 6 Kitu hiki kimetokea Yerusalemu, mufundi ndio alio kifanya, na si Mungu Ndio kwa sababu wana ngombe wa Samaria ita vunjua vipande vipande. 7 Kwasababu walipanda pupepeo, na wa tavuna zaruwa kali bila kupata nata musuke moja ya ngano; ile yenye ita towa mazao yasio kuwa na bunga ndani yake na kama ingilikua na unga ni wageni njo bangili ikula. 8 Israeli anamezua: anakua katika inchi yenye chombo kusikua na mataa (kitu cha bure). 9 Kwani wamekxenda asuru, mfano wa punda mwenda peke waku pori. Efraimu ameji andaa kua ku pata marafiki. 10 Ata akaji andaa ndani na mataifa sasa nita wakusanya, na punde kidogo mateso ita wapata juu ya mizigoya wa mufalme na bakubwa wao. 11 Efraimu ame ongeza mazahabu kwa zambi na ile mazahabu njo ili tuma atende zambi. 12 Ijapokua nika mwandia sheria yangu katika amri mingi, ha iona kama kigeni. 13 Aka towa sadaka za kunchinja nyama na kuakunitolea, hutoa zabihu ya nyama na ku ikuli. Bwana hakukubali, sasa ivi Bwana ataikumbuka uovu wao. Ata azibu upetevu wao na warudi pa misri. 14 Israeli naye akamusahabu alie mu umba. Na akajenga na korofa na Yuda ame ongeza miji yenye maboma na nita tuma moto kumiji yao, na nitateketeza na nyumba yao.