1 Wakati nilitaka kuponesha Israeli, uovu ya Efraimu na makali ya Samaria zikahonekana, maana wali kuwa na danganya: Mwizi akafika, habari ija julikana inje. 2 Awa seme moyoni mwao ju nikumbuke makali yao yote; sasa matendo yao ina wazunguka, iko mbele yangu. 3 Wana furahisha wafalme kwa makali yao, na wa kubwa wa uongo yao. 4 Ni wa zinifu, wiko sawa sawa na tanuru yale wachoma mikate wana wakisha: wana ongeza moto tangu kuunga bunga mpaka ivimbe na chaku. 5 Siku ya mfalme wetu, wakubwa wana jufanya wa gonjwa ju ya bulevi ya vino; mfalme akanyolosha mukono wake kwa watu ya mazarahu. 6 Wana weka ma ambushi kua roho sawa na tanara yale busiku kucha wachoma mikate wana ilaliya; na asubui ina waka waka sana. 7 Wako saa tanaka ina waka, na ina raruwa wa amuzi wao; wafalme wote wana anguka: ata mu moja yao aniite. 8 Efraimu anajichanga na mataifa, Efraimu ni mukate isiyo gehuziwa. 9 Wagenu wana maliza nguvu yake, na hana habari; Buzee ina mukuiya na hana habari. 10 Kiburi ya Israeli ina shunda juu yake; awa rudiliye Bwana, Mungu yao, na awa mutafute ata ayo yote. 11 Efraimu iko saa njiwa bumbafu, hana akili; anataka kuenda Misri, na jiendea Asira. 12 Waka enda, nita watega na makila yangu, nita washusha sawa ndege waanga, nita wa fukuza kama vile nili waambia ku makutano yao. 13 Ole wao, juu wana ni kimbia! uharibifu kwao juu wana nigeukia! nili taka ku wa komboa, akini wana ni danganya mambo. 14 Aba ku nilalamikie moyoni mwao, lakini wana ji omboleza ku vitanda yao. Wana kusanyika juu ya chakula na vinywaji 15 Nili wa fukuza, na wapatia nguvu ku mikono; na wana niwazia mubaya.. 16 Aba rudie kwake aliyo juu; wako sawa pindi ya uwongo. Wakubwa wao wata kufa mupanga, ju ya misemi yao mabaya. Ni ile itafanya wakuwa kitu ya kuchekesha ku inchi ya Misri.