1 Mukuye turudiye kwa Bwana : Ju alipaswa lakini anatuponesha , alipiga lakini ata funika bidonda yetu . 2 Atatufufwa kisha siku mbili siku ya tatu ata tuinua na tuta simama mbele yake. 3 Juweni tutafate kujua Bwana , kuya kwake ni ha kika kama ya asububi na mapema . Atarudia ju yetu kama vuli ina polesha bulongo. 4 Nita kufanya nini, Efraimu? Na wewe Yuda ? Uruma yenu ni kama mawingo ya asubui kama umande inapotea mbio . 5 Njo maana nita wapiga kupita wa nabi, ni tawauwa ku misema ya kinyua yangu, na ma hamua yangu ita toka kama mwangaza. 6 Ju na penda turuma apona zabitu kujua ya mungu ina pita sadaka ya kuteketeza. 7 Biko kama wa wepesi kuvunjo agano, njo vile balinigeu kiya . 8 Gileadi ni muji ya watenda mahuvu iku na maoma ya damu. 9 Kundi ya wakohani iko koma kundi ku ambushi na kuuwa watu ku njiiiia ya shakemu; ju wana jihacha ku mambo maovu. 10 Kunyumba ya Israeli niliona mambo ya ajabu pale Efraimu akazini , Israeli anaji chafuwa. 11 Na weye Yuda , mavuno inatayarishaa, wakati nita rudisha watu wangu wale walishikwa manteka.