Sura 5

1 Musikie haya, makohani! sikilizeni nyumba ya Izraeli! Tega masikio, nyumba ya mufalme! Kwani hukumu iyi inanyu anangalia nyie kwa sababu munakua muteko kule Mizpa. Na makila imetegua juu taburi. 2 Na kwa mazabahu, na wahasi wanazidi kuzama na mabaya, na tawatilia hazabu kwabo bote. 3 Ni namujua Efraïmu, na Izraeli hokose ku onakana kwa sasa Efraïmu, ulisharatika, na Ezraeli aliji chafua. 4 Matendo yao haita awacha ku geuga kwa Mungu wao, maana roho ya uzinigu iko ndani yake, bila ku mujua Bwana. 5 Kiburi cha Izraeli ki na mutambulisha Izraeli na Efraïmu wa ata fungua na ma bayao Yuda pia ata angakia nao. 6 Wataenda na wa kondoo yao na ngombe zao kutafuta Bwana, nao nawata ona kama: Amikwisha kuji tenga nao. 7 Wa metenda kwa ukafiri kwa Bwana. Kwani walizala watoto maharamu; Mwezi mu moja unaenea kwa kuwa meza na vitu vyo vyote. 8 Mupige taru mbeta ndani ya gibea na baragumu pale pa rama lalamika pa Beth-Aveni nyuma yako Ee benyamini. 9 Efraïmu wa mutowa yote ni siku ya hukumu, ni na arifu ku kabila ya Izraeli kitu kimoja kia muhimu. 10 Viongozi ya Yuda wako mfano ya wale wenye kubadirisha alama ya mipaka; Nita tawanyisha kasirani yangu kama upepo wa maji. 11 Efraïmu em onelewa, ku vunjwa na bu amzi, kwani walifata mipango yenyi iliwa furaisha. 12 Kwa haya nitakua mfano wa nondo kwa Efraïmu, nitakua kama ubovu kwa nyumba ya Yuda. 13 Efraïmu ka ona mabaya yake ku sonoa na Yuda amejuta; Efraïmu akaenda kwa asuru, akatuma watu kwa mufalme Yerebu, lakini yeye mufalme awezi ku waponya, wala kutia dawa ku vidonda wao. 14 Nitakua mfano wa simba kwa Efraïmu, mfano wa mwana simba kwa nyumba ya Yuda, mimi, mimi, nita pasua, kisha, nitajiendea yangu nita beba na ku na atakaye nitowa chakula changu. 15 Ni ta jiendea yangu, nita rudia tena ndani ya makao yangu hadi wata itikia ukosefu wao. na tafuta Mungu, na wawati watakua katika mateso wata nitafuta watarudi kwangu.