1 Sikieni neno la Bwana, nyiwe watoto wa Izraeli, kwani Bwana atasambisha wakaaji wa inchi wote, lwani hakuna ukweli, hakuna huruma, hakuna ku mujuwa Mungu ndani ya inchi yote. 2 Kwao, kulikua tu kulapa kwa bongo uwaji, wizi na uzinifu, na kutumia kinguvu na kutenda uuwaji na u uwaji. 3 Na ndivyo inchi ndani ya kilio wakaaji wote wata kua wamezofika pamoja na wanyama ya pori na ndege ya anga, ata samaki ya bahaki kubwa wa tapotea. 4 Lakini mutu asipinge, na mutu asi itike kula umiwa, kwani watu wako biko kama wenye kugombania na makuhani. 5 Wewe ata anguka mchana, nabii na wewe muta anguka usiku, na nita nitamungamizamama yako mzazi. 6 Watu wangu wana haribika kwasababu wana kosa akili, kua ginsi ulitupilia akili, nitakutupilia pia, na nitakutosha ku ukuhani wangu kwa sababu ulisahau sheria ya Mungu wako nimie nitasahabu batoto yako. 7 Kadiri balikua mingi, ndiyo hivyo walizi kutenda zambi mbele yangu nitabadirisha utakufu wao kua a ibu. 8 Kujilisha zambi ya watu wangu wakijifurahisha na uhovu wao. 9 Itakavyo kuwa makuhani mfano wa watu, tawa hukumu kufu atana na njia yao, nita mulipa kufuatana na matendo yao. 10 Na wakila wasisibe, watafanya uzinifu, lakini hawa ongezeka, kwa sababu waliacha kumu angalilia Bwana na amri yake. 11 uzinfu [usharati], vinyo na vinyo nyipia inapotezaka ufanamu wa utu. 12 Watu wangu wana abudu sanamu ya mti, na bakora aka waubiri mambo; kwani roho ya uzinifu una poteza mtu njia na wano fanya uzinifu mbali na Mungu wao. 13 Wali towa mazabihu juu ya vichwa, ya milima wa lichoma ubani juu ya milima chini ya mialoni milibua na miela, kwani uvuli ni mwema. na hapo wa binti wenu wamefanya uzinifu, na wa bibi ya batoto yenu wamefanya usharati. 14 Sita wa azibu wa binti wenu kwa sababu wali sharatika hata mabibi ya watoto wenu kwani wao ni wazi nifu kwani weme enda pempeni juu ya wazinifu, wamejitowa kazabihu ku wana wake makahaba, wajinga. 15 Ukijipana na uzinifu, Ee Izraeli, lakini Yuda isijifanya wa makosa, usiende pa Gigali, wala msipande kule Beth-Aveni na msiape; Bwana yu hai! 16 Kwa sababu Izraeli umeonesha uraidi mfano wa ndama mukaidi, sasa namuna gani Bwana atawalisha kama mwana kondoo katika mahali penye na fasi. 17 Efraïmu ame ambatana na masamu mumu ache! 18 Wakati walimaliza kunyua wakaji pana ku uzinifu. Viongozi wao wapenda aibu. 19 Upepo uli wafunika na mabawa yake na wapata haya kwa ajili ya mazahabu yao.