Sura 3

1 Bwana akaniambia : wende tena na utongoze mwana muke mwenye barundaka na rafiki na muzinfu umupe kama vile Bwana apenda watoto wa Israeli benye balipana ku miungu ingine na wakapenda kula mikate ya mizabibu. 2 Nili mununua kwa bipande kumi na vitano ya feza na homeri moya ya shayiki na nusu ya homeri shayiki. 3 Na nika mwambia , bakia na mie muda murefu,usipane na umbaraga usiwe mke wa mume ata umoja na nitakwa mie pia kwako. 4 Kwani wana wa Israeli watabaki muda mrefu bila mfalme, bila kiongozi bila zabihu, bila sanamu, bila nguzo na bila kinyago. 5 Kwisha hayo yote , watoto wa Istraeli watarudia, na watamutafuta, Bwana Mungu wao na bata mwendea Bwana n kwa wena wake paka wakati ya mwisho.