1 Israeli ilikuwa muzabibi ataa matunda mingi wakati alikuwa na matunda mingi, ni wakati mazabau zili ongezeka, na bwema ilizidi ku inchi, na pale wali tengeneza ma sanamu . 2 Roho yao ikagawanyika: wata jibe bea azabu Bwana ata vunza ma maza bau zao, na haribisha masana mu zao. 3 Na wata sema sasa: Hatena mfalme, sababu atu kuogopa bwana,; Na mfalme ata tufanyizia nini. 4 Wana sema misemi ya bure, viapo ya bongo, wakati ya masikilizona ya agano: Na hukumu itaota, kama mutiya sumu ku matuta ya shamba . 5 Wakaaji ya samaria waeni, watu wataingia ku kilio ku ma sanamu na wakohani zao wata tetemeka ju yao, ju ya utukufu yake, ile itapotea ndani yao. 6 Itabebewa ku Ashuru, ikuwe sadaka kwa mfalme ya rebu. Efraimu ata haibika, na Israeli atapa haya na ma shawi yake. 7 Itafanyikwa ku samaria, ku mfalme yake, kama povu yulu ya maji. 8 Paali pa juu ya Beth-Aveni, kule Israeli alitenda zambi, ita haribishua; Mwiba na mibigili ita ota ku ma mazabau zao. Wata sema na vilima ndago: ituangukie! 9 Tanguya masikuma bibea ulifanya zambi, Israeli ! pale ya kusimama, na vita na watu wabeya haibafikie ku bibea. 10 Nita ba likuza peke yangu, na taifa ita kusanyika bali nao, wakati watakapo fungwa na minyololo sababu ya makosa yao mbili. 11 Efraimu ni ndama anafundishiwa, na anapenda kupwa, lakini nita jijongea kushingu yake nzuri, nitafunga Efaimu, yuda ata lima, yakobo ata sawanisha. 12 Mupande kufatana na uhaki, muvune kufakana teheman, mu chimbe ma shamba ya mupia! wakati ya keitafuta bwana, mpaka akuye, mwange uhaki yake kwenu. 13 Nuli lima ubaya, na kuvuna aovu, mukule mbegu ya bongo; jie uli tumainia njia yako, ku bwingi ya esabu ya mashuja yako. 14 Batu bako batatomboka, ma boma yako ita bamolewa vile Betharbeli, siku ya vita, fasi na batoto yake blitwangiwa. 15 Nadio ile ita baletea batheli, ju ya bwingi ya mabaya yenu, asubuyi na mapema, inatimizika kwa mfalme ya Israeli.