1 Wijana ya Israeli, nili mupenda, na nali ita mutoto yangu inje ya Misri. 2 Lakini bana jiendea mbali ku bale bali bahita; baka toa zabihu kwa mabaali, na kutoa ubani kwa ma sasamu ya kuchonga. 3 Niliogoza atuwa ya Efraimu, ku bashika mikono, aba kuona kama nili ba ponesha. 4 Nili ba kokota na kamba ya binadamu, na mafungo ya mapendo, nika kuwa kama yule aka angusha muzigo karibu na kinywa yao, nili bakaribisha ku chakula. 5 Aba kurudia ku inchi ya Misri, alakini mwashuri atakuwa mfalme yao, ju bali katala kuni rudilia. 6 Miyi yao ita aribika kwa mupanga, ata iregeza, ita haribu, sababu ya wawazo balisewa. 7 Batu yangu banapenda kuenda mbali yangu; bana baita kwa ule aliye juu, lakini ata mumoja aria mutukuza. 8 Nita fanya nawe nini, Efraimu? na weza kuku toa Israeli? ni kufanye kama Adma?ni ku rudishiye sawa sawa na Seboimu? roho yangu ina piga piga ndani yangu, hurema yangu ina waka. 9 Sita tenda sawa sawa wa hasira yangu, mita hacha ku habisha Efraimu, ju niko Mungu, si mwanadamu, niko mutakatifu ndani yako, sita kuya na kilani. 10 Batafata Bwana, ule wa ngoloma sawa chui, ju ata nguluma, aatoto bata kimbilia ku bahari. 11 Bata kimbia kutoka Misri, kama ndege, na ku inchi ya Ashuri, kama njiwa. Nita bapatia makao, asema Bwana. 12 Efraimu inazunguka na bongo, na nyumba ya Israeli na udanganyifu; Yuda ni tena bila woga mbele ya Mungu, mbele ya mutakatifu mwaminifu.