SURA 13

1 Wakati Ephraimu alikwa na sema ili kwa tetemeko alijitukuza ku Israeli. Lakini wakati bali alimuchukiya, na alikufa. 2 Nakwa sasa bana endelea na zambi, bana ifanya na makuta yabo ma sana mu ya ku yeyusha ata sana mu ya sawa sawa na ufamu yabo peke yabo bote ni kazi ya fundi. Bana semeya kwa ajiliyabo: benye kutoa sadaka babusu ndama. 3 Njo kwamana bata kwa kama wingu ya asubui, kama umande yenye inapita mapema, kama makapi yenye iko na pepuka mbali ya hema, kama vile moshi yenye inatokeya ku dirisha. 4 Na miye, ni ko Bwana, Mungu wako, wa inchi ya Egyoitu. Auyuwe Mungu mwengine kulikomiye; na akuna muokozi kuliko miye. 5 Mina kuyuwa ku jangwa, ndani ya inchi ya kiumingi. 6 Balishiba ndani ya malisho yabo; bali shiba, na moyo ya ba ilitukuzwa, njomahana bana ni sahabu. 7 ndakwa kwabo kama vile simba; kama chui, nita ba chunga ku njiya. 8 Nita kutana nabo, kama dubu mwenye bana munyangana batoto yake, na nita pasula mishipa ya moyo; nita bameza kama simba; nyama ya pori itambiya. 9 Benye bana kwangamiza, Israeli, manake ulikwa juu yangu, juu ya mwenye angelikusaidia. 10 Mufalme wako iko wapi? akuponeshe ndani ya miji! baamuzi ya biko wapi kwa ajili yenye ulikwa na sema: munipe mufalme nabakubwa? 11 Ni me kupa mufalme kwa bisilani, na nimemu ondosha ndani ya asira yangu. 12 Uovu ya Efraimu ina chungiwan zambi yake ina wekewa pembeni. 13 Buchungu ya mwana muke wakuzaa itakuya kwake, ni mtoto mwenye a na akili, mpaka ya wakali, ule mtoto hakutoka ku tumbo ya mama yake. 14 Nita bakomboa ku nguvu ya masiku ya kaburi, nita baokoa ku mauti. Ee mauti, wa mapigo yako? Kaburi wapi Bwaribifubwako? Lakini kutubu kufa ku macho yango! 15 Efraimu alizaa sana ndani ya ba ndugu yake, mupepeo ya ku mashariki itakuya, mupepeo ya Bwana ita simama ku jangwa, ita kausha mitoni yabo, ita kausha mashimu ya mayi, bata nyanganya bitu yabo yote ya bei. 16 Samaria ata azibiwa, sababu ana tombokeya Munfu wake, bata anguka kwa mupanga; ba yukulu yabo bata vunjiwa, na bata pasula ma tumbo ya bana muke yabo benye biko na mimba.