Sura 14

1 Israeli , rudia kwa Bwana, Mungu wako, sababu uzaniko yako njo ina kwangusha. 2 Wende ubebe masemo ya Bwana, na utuye uwambiye. Umuwambiye: aurumie ma uzuni yetu, na utu pokeye kwa furaha! Tu ta ku tolea, sadaka ya lulimi yetu pafasi ya ngombe. 3 Mu Ashuria ata tuponesha, atuta panda ku punda, na atuta sema na kitabu yenye tuna tengeneza shiye peke kama: Mungu wetu!Sababu nikwa ko njo yatima anapata ufarizi. 4 Mita tengeneza kuto kwamini yabo, nitakwana upendo yabo kweli; sababu kisilani yangu ina bengeukia. 5 Mitakwa kama umande ua Israeli, ita toa mauwa kama yungi, na ita tosha mizizi kama lebanoni. 6 Matawi yake inaedeleya; itakwa na buzuri ya muzeituni na harufu yake kama Lebanoni. 7 Batarudia kuikala chiniya kivuli yake, bana fufuka savile na faka, na bata toa mauwa kama muzabibu; harufu yake kama vigno ya Lebanoni. 8 Efraimu, akasema: nifanye nini tena na sanamu? nimebajibu, nita mwangalia, nita kwa kwake kama muberoshi mu bichi: nikwangu njo utapata matunda yako. 9 Mwenye akili ashunge iyi maneno! mwenye mafikiri aijuwe!sababu njia ya Bwana ni ya kweli, na batu ya kweli bata itembeleya, lakini batu ya zambi bata anguka ndani yayo.